< 1 Crônicas 25 >

1 E David, juntamente com os capitães do exercito, separou para o ministerio os filhos de Asaph, e de Heman, e de Jeduthun, para prophetizarem com harpas, com alaudes, e com psalterios: e este foi o numero dos homens aptos para a obra do seu ministerio.
Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
2 Dos filhos de Asaph foram Zaccur, e José, e Nethanias, e Asarela, filhos de Asaph: a cargo de Asaph, que prophetizava debaixo da direcção do rei David.
Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
3 Quanto a Jeduthun, foram os filhos de Jeduthun: Gedalias, e Zeri, e Jesaias, e Hasabias, e Mattithias, seis, a cargo de seu pae Jeduthun, para tanger harpas, o qual prophetizava, louvando e dando graças ao Senhor.
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
4 Quanto a Heman: os filhos de Heman: Bukkias, Matthanias, Uziel, Sebuel, e Jerimoth, Hananias, Hanani, Eliatha, Giddalti, e Romamthi-ezer, Josbekasa, Mallothi, Hothir, e Mahazioth.
Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
5 Todos estes foram filhos de Heman, o vidente do rei nas palavras de Deus, para exaltar a corneta: porque Deus dera a Heman quatorze filhos e tres filhas.
Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
6 Todos estes estavam ao lado de seu pae para o canto da casa do Senhor, com psalterios, alaudes e harpas, para o ministerio da casa de Deus; e, ao lado do rei, Asaph, Jeduthun, e Heman.
Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
7 E era o numero d'elles, juntamente com seus irmãos instruidos no canto do Senhor, todos os mestres, duzentos e oitenta e oito.
Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
8 E deitaram as sortes ácerca da guarda egualmente, assim o pequeno como o grande, o mestre juntamente com o discipulo.
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
9 Saiu pois a primeira sorte a Asaph, a saber: a José; a segunda a Gedalias; e eram elle, e seus irmãos, e seus filhos, ao todo, doze.
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
10 A terceira a Zaccur, seus filhos e seus irmãos; doze.
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
11 A quarta a Isri, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
12 A quinta a Nethanias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
13 A sexta a Bukkias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
14 A setima a Jesarela, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
15 A oitava a Jesaias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
16 A nona a Matthanias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
17 A decima a Simei, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
18 A undecima a Azareel, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
19 A duodecima a Hasabias, seus filhos e seus irmãos; doze.
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
20 A decima terceira a Subael, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
21 A decima quarta a Mattithias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
22 A decima quinta a Jeremoth, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
23 A decima sexta a Hananias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
24 A decima setima a Josbekasa, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
25 A decima oitava a Hanani, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
26 A decima nona a Mallothi, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
27 A vigesima a Eliatha, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
28 A vigesima primeira a Hothir, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
29 A vigesima segunda a Giddalthi, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
30 A vigesima terceira a Mahazioth, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
31 A vigesima quarta a Romamthi-ezer, seus filhos, e seus irmãos; doze.
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

< 1 Crônicas 25 >