< Pieśń nad Pieśniami 5 >
1 Wszedłem do mojego ogrodu, moja siostro, [moja] oblubienico. Zbierałem moją mirrę z moimi wonnościami; zjadłem mój plaster z moim miodem, piję moje wino z moim mlekiem. Jedzcie, przyjaciele, pijcie, a pijcie obficie, moi mili.
Nimekuja katika bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; Nimekusanya udi wangu na manukato yangu. Nimekula mziga wangu wa asali na asali yangu; Nimekunywa mvinyo wangu pamoja na maziwa yangu. Marafiki wanazungumza na wapenzi Kuleni, marafiki; kunyweni na mlewe na mapenzi. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
2 Ja śpię, ale moje serce czuwa. [Oto] głos mego umiłowanego, który puka i [mówi]: Otwórz mi, moja siostro, moja umiłowana, moja gołębico, moja nieskalana. Moja głowa bowiem jest pełna rosy, moje kędziory – kropli nocy.
Nilikuwa nimelala, lakini moyo wangu ulikuwa umeamka katika ndoto. Sauti ya mpenzi wangu yabisha na kusema, “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, wangu usiye na doa, kwa kuwa kichwa changu kimelowa na matone, nywele zangu na unyevu wa usiku.”
3 Zdjęłam już swoją suknię, jakże mam ją wkładać? Umyłam swoje nogi, jakże mam je pobrudzić?
“Nimevua joho langu; lazima nilivae tena? Nimeosha miguu yangu; lazima ni ichafue?”
4 Mój umiłowany wsunął swoją rękę przez otwór, a moje wnętrze poruszyło się we mnie.
Mpenzi wangu anaeka mkono wake kwenye kitasa, na moyo wangu ukawaka kwa ajili yake.
5 Wstałam, aby otworzyć mojemu umiłowanemu, a oto z moich rąk kapała mirra, z moich palców mirra spływała na uchwyt zasuwy.
Nimeamka kumfungulia mlango mpenzi wangu; mikono yangu ikawa yamiminika na udi, vidole vyangu na unyevu wa udi, katika komeo la mlango.
6 Otworzyłam mojemu umiłowanemu, lecz mój umiłowany [już] odszedł i zniknął. Moja dusza zasłabła na jego głos. Szukałam go, ale nie znalazłam, wołałam go, ale mi nie odpowiedział.
Nimemfungulia mlango mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu aligeuka na kwenda. Moyo wangu ukadidimia; nikakosa tumaini. Nikamtafuta, lakini sikumpata; nikamuita, lakini hakunijibu.
7 Znaleźli mnie strażnicy, którzy obchodzili miasto; pobili mnie i zranili, strażnicy murów zabrali mi zasłonę.
Walinzi waliokuwa wakizunguka mjini walinipata mimi; walinipiga chini na kunijeruhi; askari katika ukuta walichukua nguo yangu ya juu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
8 Zaklinam was, córki Jerozolimy: Jeśli znajdziecie mojego umiłowanego, to powiedzcie mu, że jestem chora z miłości.
Ninataka uhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwamba mkimuona mpenzi wangu, mwambie ninaumwa sababu ya upendo wangu kwake. Wanawake wa mji wakizungumza na mwanamke mdogo
9 Czym przewyższa twój umiłowany [innych] umiłowanych, o najpiękniejsza wśród kobiet? Czym przewyższa twój umiłowany [innych] umiłowanych, że tak nas zaklinasz?
Mpenzi wako ana ubora gani kuliko mwanaume mwengine, wewe uliye mzuri miongoni mwa wanawake? Kwanini mpenzi wako bora kuliko mpenzi mwengine, hadi utuulize tuweke nadhiri kama hii? Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
10 Mój umiłowany jest biały i rumiany, i najznakomitszy spośród dziesięciu tysięcy.
Mpenzi wangu amenawiri na ana ng'aa, kati ya wanaume elfu kumi.
11 Jego głowa jest [jak] najczystsze złoto; jego kędziory faliste, czarne jak kruk.
Kichwa chake ni dhahabu safi; nywele zake ni laini na nyeusi kama kunguru.
12 Jego oczy są jak gołębice nad strumieniami wody, [jakby] umyte w mleku, osadzone w swej oprawie.
Macho yake ni kama ya hua pembezoni ya vijito vya maji, yameoshwa na maziwa, yameundwa kama mikufu.
13 Jego policzki jak grządka wonności, [jak] pachnące kwiatki; jego wargi jak lilie ociekające wyborną mirrą.
Mashavu yake ni kama vitanda vya manukato, vinavyotoa arufu ya marashi. Midomo yake nni nyinyoro, inayo tiririka udi.
14 Jego ręce [jak] złote pierścienie wysadzone berylem; jego tors [jak] jasna kość słoniowa pokryta szafirem.
Mikono yake ni ya mianzi ya dhahabu iliyo zungushiwa mikufu; tumbo lake ni pembe lililo funikwa yakuti samawi.
15 Jego nogi [jak] słupy z marmuru, postawione na szczerozłotych podstawkach; jego oblicze [jak] Liban, wyborne jak cedry.
Miguu yake ni nguzo za marimari, iliyo ekwa juu ya dhahabu safi; muonekano wake ni kama Lebanoni, mizuri kama mierezi.
16 Jego usta przesłodkie i jest on cały przepiękny. Taki jest mój umiłowany i taki jest mój przyjaciel, córki Jerozolimy.
Mdomo wake ni mtamu; ni mzuri sana. Huyu ni mpenzi wangu, na huyu ni rafiki yangu, mabinti wa Yerusalemu.