< Psalmów 29 >

1 Psalm Dawida. Oddajcie PANU, synowie mocarzy, oddajcie PANU chwałę i moc.
Zaburi ya Daudi. Mpeni Bwana, enyi mashujaa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
2 Oddajcie PANU chwałę [należną] jego imieniu, oddajcie PANU pokłon w ozdobie świętości.
Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
3 Głos PANA nad wodami; zagrzmiał Bóg chwały, PAN nad wielkimi wodami.
Sauti ya Bwana iko juu ya maji; Mungu wa utukufu hupiga radi, Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.
4 Głos PANA potężny, głos PANA pełen majestatu.
Sauti ya Bwana ina nguvu; sauti ya Bwana ni tukufu.
5 Głos PANA łamie cedry, PAN łamie cedry Libanu;
Sauti ya Bwana huvunja mierezi; Bwana huvunja vipande vipande mierezi ya Lebanoni.
6 I sprawia, że skaczą jak cielę, Liban i Sirion jak młody jednorożec.
Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama, Sirioni urukaruke kama mwana nyati.
7 Głos PANA krzesze płomienie ognia.
Sauti ya Bwana hupiga kwa miali ya umeme wa radi.
8 Głos PANA wstrząsa pustynią, PAN wstrząsa pustynią Kadesz.
Sauti ya Bwana hutikisa jangwa; Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.
9 Głos PANA sprawia, że z bólem rodzą łanie i ogołacają się lasy, a w jego świątyni każdy opowiada o [jego] chwale.
Sauti ya Bwana huzalisha ayala, na huuacha msitu wazi. Hekaluni mwake wote wasema, “Utukufu!”
10 PAN zasiada nad potopem, PAN zasiada [jako] Król na wieki.
Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
11 PAN doda mocy swojemu ludowi, PAN pobłogosławi swój lud pokojem.
Bwana huwapa watu wake nguvu; Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.

< Psalmów 29 >