< Psalmów 137 >

1 Nad rzekami Babilonu, tam siedzieliśmy i płakaliśmy, wspominając Syjon.
Kando ya mito ya Babeli tuliketi na tulilia tulipokumbuka kuhusu Sayuni.
2 Na wierzbach tamtej krainy zawiesiliśmy nasze harfy;
Tulitundika vinubi vyetu kwenye miti ya Babylon.
3 Bo tam ci, którzy nas wzięli w niewolę, żądali od nas pieśni, a nasi ciemięzcy – radości, [mówiąc]: Śpiewajcie nam [którąś] z pieśni Syjonu.
Huko watekaji wetu walitaka tuwaimbie, na wale walio tudhihaki walitutaka sisi tufurahi, wakisema, “Tuimbieni moja ya nyimbo za Sayuni.”
4 Jakże możemy śpiewać pieśń PANA na obcej ziemi?
Tungewezaje kuimba wimbo unaomuhusu Yahwe katika nchi ya ugeni?
5 Jeśli zapomnę o tobie, Jeruzalem, niech sama o sobie zapomni moja prawica.
Kama nikikusahau wewe, Yerusalemu, basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.
6 Niech mi język przylgnie do podniebienia, jeśli nie będę pamiętał o tobie, jeśli nie postawię Jeruzalem ponad największą moją radość.
Ulimi wangu na ushikamane juu ya kinywa changu kama nisipokufikiria tena, na kama sipendelei zaidi Yerusalemu kuliko furaha yangu kuu.
7 Pamiętaj, PANIE, synów Edomu [i] dzień Jeruzalem, gdy mówili: Zburzcie, zburzcie [je] aż do jego fundamentu.
Kumbuka, Ee Yahwe, kile walichofanya Waedomu siku ya anguko la Yerusalemu. Walisema, “Ibomoeni, ibomoeni mpaka chini kwenye misingi yake.”
8 O córko Babilonu, i ty będziesz spustoszona. Błogosławiony, kto ci odpłaci [za] zło, jakie nam uczyniłaś.
Binti za Babeli, hivi karibuni wataharibiwa- mtu na abalikiwe, yeyote atakaye walipizia yale mliotufanyia sisi.
9 Błogosławiony, kto schwyci i roztrzaska twe dzieci o skałę.
Mtu na abarikiwe, yeyote achukuaye na kusambaratisha watoto wenu juu ya jiwe.

< Psalmów 137 >