< Liczb 34 >
1 Potem PAN powiedział do Mojżesza:
BWANA akanena na Musa akasema,
2 Rozkaż synom Izraela i powiedz im: Gdy wejdziecie do ziemi Kanaan, to jest ziemia, która wam przypadnie jako dziedzictwo, ziemia Kanaan w swoich granicach;
“Waamuru watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani, nchi ambayo itakuwa mali yenu, nchi ya Kanaani na mipaka yake, mpaka wenu wa kusini utaendelea kutoka nyika ya Sini hadi mpaka wa Edomu.
3 Wasza południowa granica będzie od pustyni Syn wzdłuż granic Edomu, a granica południowa pobiegnie od brzegu Morza Słonego, od wschodu.
Mwisho wa mpaka wa kusini utakuwa mwisho wa bahari ya chumvi kuelekea mashariki.
4 Granica ta skręci od południa ku Maale-Akrabbim i pobiegnie aż do Syn, i dojdzie od południa do Kadesz-Barnea. Stamtąd pobiegnie do Chasar-Addar i przejdzie aż do Asmon.
Mpaka wenu utageukia kusini kutoka mlima kuelekea Akrabimu na kupitia nyika ya Sini. na kutokea huko utaelelkea kusini mwa Kadeshi Barinea na kuelekea Hazari Adari mpaka Azimoni.
5 A ta granica skręci od Asmon aż do rzeki Egiptu, a skończy się przy morzu.
Kutoka huko, mpaka utageuka kutoka Azimoni kuelekea kijito cha Misri na kukifuata mpaka baharini.
6 Jako zachodnią granicę będziecie mieli Morze Wielkie – ono będzie waszą zachodnią granicą.
Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenuwa Magharibi.
7 A to będzie wasza północna granica: od Morza Wielkiego wymierzycie sobie do góry Hor.
Mpaka wenu wa kaskazini utaanzia kwenye bahari kuu hadi Mlima Hori,
8 Potem od góry Hor wymierzycie granicę aż do wejścia do Hemat; a krańce tej granicy sięgną do Sedada.
kisha kutoka Mlima Hori hadi Lebo Hamathi, kisha Zedadi.
9 Następnie granica ta pobiegnie aż do Zifronu, a skończy się w Chasar-Enan. To będzie wasza północna granica.
Mpaka utaendelea hadi Zifroni na kuishia Hazari Enani. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa kaskazini.
10 A wschodnią granicę wymierzycie od Chasar-Enan do Szefam.
Kisha mtaweka alama za mpaka wenu wa mashariki ambao utaanzia Hazari Enani kuelekea kusini Shefamu.
11 Granica ta pobiegnie od Szefam aż do Ribla, od wschodu Ain; i ta granica zejdzie w dół, i dosięgnie brzegu morza Kinneret od wschodu.
Kisha mpaka wa kusini utaendelea kutoka Shefamu hadi Ribla, upande wa masharikia mwa Aini. Mpaka utaedelea upande huo wa mashariki hadi upande wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.
12 Następnie ta granica zejdzie ku Jordanowi, a zakończy się przy Morzu Słonym. To będzie wasza ziemia ze swymi granicami wokoło.
Kisha mpaka utaendelea kuelekea kusini hadi mto Yorodani na hadi bahari ya chumvi. Hii ndiyo itakuwa nchi yenu, kwa kuifuata mipaka yake yote inayozunguka.'”
13 Wtedy Mojżesz rozkazał synom Izraela: To jest ziemia, którą odziedziczycie przez losowanie, którą PAN rozkazał dać dziewięciu i pół pokoleniu.
Kisha Musa akawaamuru watu wa Israeli akasema, “Hii ndiyo nchi ambayo mtaipokes kwa kura, ambayo BWANA ameamuru kuwapa wale makabila tisa na nusu.
14 Bo pokolenie synów Rubena według domów swych ojców i pokolenie synów Gada według domów swych ojców już otrzymały swoje dziedzictwo i połowa pokolenia Manassesa już otrzymała swoje dziedzictwo.
Kabila ya uzao wa Reubeni, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na uzao wa kabila la Gadi, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na nusu ya Manase wamepata ardhi yao.
15 Te dwa i pół pokolenia otrzymały swoje dziedzictwo po tej stronie Jordanu, naprzeciw Jerycha, na wschodzie.
Wale makabila mawili na nusu wameshapata mgawo wao ng'ambo ya mto Yorodani upande wa mashariki, kuelekea kule linakotokea jua.”
16 I PAN powiedział do Mojżesza:
BWANA akanena na Musa akasema,
17 Oto imiona mężczyzn, którzy rozdzielą wam ziemię: kapłan Eleazar i Jozue, syn Nuna.
“Haya ndiyo majinaya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni.
18 Weźmiecie też po jednym naczelniku z każdego pokolenia do rozdzielenia ziemi w dziedzictwo.
Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.
19 A oto imiona tych mężczyzn: z pokolenia Judy – Kaleb, syn Jefunnego.
Haya ndiyo majina ya wanaume: Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
20 Z pokolenia synów Symeona – Samuel, syn Ammihuda.
Kutoka kwenye kabila la uzao wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
21 Z pokolenia Beniamina – Eliad, syn Kislona.
Kutoka kabila la Benjamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
22 Z pokolenia synów Dana – naczelnik Bukki, syn Jogliego.
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Dani, Buki mwana wa Jogili.
23 Z synów Józefa, z pokolenia synów Manassesa – naczelnik Channiel, syn Efoda;
Kiongozi kutoka uzao wa Yusufu, kwenye kabila la Manase, Hannieli mwana wa Efodi.
24 A z pokolenia synów Efraima – naczelnik Kemuel, syn Sziftana.
Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Efraimu, Kemueli mwana wa Shiftani.
25 Z pokolenia Zebulona – naczelnik Elisafan, syn Parnacha.
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Zabuloni, Elizafani mwana wa Parinaki.
26 Z pokolenia synów Issachara – naczelnik Paltiel, syn Azzana.
Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Isakari, Palitieli mwana wa Azzani.
27 Z pokolenia synów Aszera – naczelnik Achihud, syn Szelomiego.
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Asheri, Ahihudi mwana wa Shelomi.
28 A z pokolenia synów Neftalego – naczelnik Pedahel, syn Ammihuda.
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Naftali, Pedaheli mwana wa Amihudi.”
29 To są ci, którym PAN rozkazał rozdzielić dziedzictwo synom Izraela w ziemi Kanaan.
BWANA aliwaamuru wanaume hawa kuigawa nchi ya Kanaani na kuwapa kila kabla sehemu yao.