< Liczb 17 >

1 Potem PAN powiedział do Mojżesza:
BWANA akanena na Musa, akasema,
2 Mów do synów Izraela i weź od każdego z nich po lasce według domów ich ojców, od wszystkich ich naczelników według domów ich ojców dwanaście lasek, [a] imię każdego napisz na jego lasce.
“Waambie wana wa Israeli wakuletee fimbo za kutembelea moja kwa kila jamaa, fimbo kumi na mbili. Uandika jina la kila mmoja kwenye hizo fimbo.
3 A imię Aarona napiszesz na lasce Lewiego, gdyż jedna laska będzie [dla każdego] naczelnika z domu ich ojców.
Utaandika jina la Haruni kwenye jina la Lawi. Kutakuwa na fimbo moja kwa kila kiongozi kutoka kwenye kabila la mababu zake.
4 I położysz je w Namiocie Zgromadzenia przed Świadectwem, gdzie się z wami spotykam.
Utaziweka hizo fimbo kwenye hema ya kukutania mbele ya amri za agano, ambapo Mimi hukutana na wewe. Itakuwa hivi,
5 I stanie się tak, że laska tego, kogo wybiorę, zakwitnie; i uśmierzę przed sobą szemrania synów Izraela, jakie kierują przeciwko wam.
fimbo ya mtu yule ninayemchagua itachipua. Nitazuia watu wa Israeli walalamikao, ambao wanaongea kinyume na wewe.”
6 Gdy Mojżesz przekazał to synom Izraela, wszyscy ich naczelnicy oddali mu swoje laski, po jednej lasce od każdego naczelnika z domu swego ojca, razem dwanaście lasek. Wśród ich lasek była też laska Aarona.
Kwa hiyo Musa akawaambia wana wa Israeli. Viongozi wote wa kabila wakampatia fimbo, fimbo moja kutoka kwa kila kiongozi, aliyechaguliwa kutoka kwenye kila kabila ya babu zao, jumla yake fimbo kumi na mbili. Fimbo ya Haruni ilikuwa miongoni mwa fimbo hizo.
7 Potem Mojżesz złożył te laski przed PANEM w Namiocie Świadectwa.
Ndipo Musa alipoziweka zile fimbo mbele ya BWANA katika hema ya amri ya agano.
8 Nazajutrz, gdy Mojżesz przyszedł do Namiotu Świadectwa, oto laska Aarona, z domu Lewiego, zakwitła, wypuściła pączki, wydała kwiat i dojrzałe migdały.
Siku iliyofuata Musa aliingia kwenye hema ya amri ya agano, na tazama, fimbo ya Haruni kwa ajili ya Kabila la Lawi ilikuwa imetoa machipukizi. Machipukizi yalikuwa hadi kuchanua maua na kuzaa malozi mabivu!
9 Wtedy Mojżesz wyniósł wszystkie laski sprzed PANA do wszystkich synów Izraela; a gdy [je] ujrzeli, każdy z nich wziął swoją laskę.
Musa akazitoa fimbo zote kutoka kwa BWANA kwa watu wote wa Israeli, na kila mtu akachukua fimbo yake.
10 I PAN powiedział do Mojżesza: Połóż laskę Aarona z powrotem przed Świadectwem, aby była zachowana na znak dla buntowników, a położysz kres ich szemraniu przeciwko mnie, aby nie pomarli.
BWANA akamwambua Musa, “Iweke fimbo ya Haruni mbele ya amri za agano. Iweke iwe ishara ya hatia mbele ya watu waliopinga ili ukomeshe malalamiko dhidi yangu, vinginevyo watakufa.”
11 I Mojżesz [tak] uczynił; jak PAN mu rozkazał, tak uczynił.
Musa akafanya kama BWANA alivyoagiza.
12 I synowie Izraela powiedzieli do Mojżesza: Oto umieramy, giniemy, wszyscy giniemy;
Wana wa Israeli wakanena na Musa wakisema, “tutakufa hapa! Wote tutaangamia!
13 Każdy, kto zbliża się do przybytku PANA, umrze. Czy mamy doszczętnie zginąć?
Kila mmoja anayekuja hapa, anayekaribia masikani ya BWANA, atakufa. Je, ni lazima wote tuangamie?”

< Liczb 17 >