< Kapłańska 16 >
1 Potem PAN mówił do Mojżesza po śmierci dwóch synów Aarona, którzy umarli, gdy złożyli ofiarę przed PANEM.
Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
2 I PAN powiedział do Mojżesza: Powiedz swojemu bratu Aaronowi, żeby nie wchodził w każdym czasie do Miejsca Świętego poza zasłonę przed przebłagalnią, która jest na arce, aby nie umarł. W obłoku bowiem będę się ukazywać nad przebłagalnią.
Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
3 Oto w taki sposób Aaron będzie wchodzić do Świętego Miejsca: z młodym cielcem na ofiarę za grzech i z baranem na całopalenie.
Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
4 Ubierze się w świętą lnianą tunikę, na ciele będzie miał lniane spodnie, opasze się lnianym pasem i włoży [na głowę] lnianą mitrę. To są święte szaty; obmyje więc swoje ciało w wodzie i założy je.
Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
5 A od zgromadzenia synów Izraela weźmie dwa kozły na ofiarę za grzech i jednego baranka na całopalenie.
Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
6 I Aaron złoży swego cielca na ofiarę za grzech za siebie samego, i dokona przebłagania za siebie i swój dom.
Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
7 Weźmie też dwa kozły i postawi je przed PANEM u wejścia do Namiotu Zgromadzenia.
Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
8 I Aaron rzuci losy o dwa kozły, jeden los dla PANA, a drugi los dla kozła ofiarnego.
Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
9 I przyprowadzi Aaron [tego] kozła, na którego padł los dla PANA, i złoży go w ofierze za grzech.
Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
10 Ale kozła, na którego padł los dla kozła ofiarnego, postawi żywego przed PANEM, aby nim dokonać przebłagania i wypuścić go na pustynię jako kozła ofiarnego.
Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
11 I przyprowadzi Aaron cielca na ofiarę za grzech za siebie samego, i dokona przebłagania za siebie i swój dom, i zabije cielca na ofiarę za grzech za siebie samego.
Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
12 Następnie weźmie pełną kadzielnicę węgla rozpalonego z ołtarza przed PANEM oraz dwie pełne garści wonnego utłuczonego kadzidła i wniesie poza zasłonę.
Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
13 I nasypie kadzidło na ogień przed PANEM, aby obłok kadzidła okrył przebłagalnię, która jest nad arką, aby nie umarł.
Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
14 Potem weźmie z krwi tego cielca i pokropi swym palcem nad przebłagalnią ku wschodowi. Przed przebłagalnią będzie kropić tą krwią siedem razy swym palcem.
Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
15 Następnie zabije kozła na ofiarę za grzech za lud i wniesie jego krew poza zasłonę, i uczyni z jego krwią, jak uczynił z krwią cielca: pokropi nią nad przebłagalnią i przed przebłagalnią.
Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
16 Tak dokona przebłagania nad Miejscem Świętym za nieczystości synów Izraela, za ich przestępstwa i za wszystkie ich grzechy. Tak też uczyni z Namiotem Zgromadzenia, który jest wśród nich, pośrodku ich nieczystości.
Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
17 A żaden człowiek nie może przebywać w Namiocie Zgromadzenia, gdy on będzie wchodzić do Miejsca Świętego, by dokonać przebłagania, aż wyjdzie i dokona przebłagania sam za siebie, swój dom i za całe zgromadzenie Izraela.
Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
18 Potem wyjdzie do ołtarza, który jest przed PANEM, i dokona za niego przebłagania: weźmie nieco krwi cielca i krwi kozła i pomaże rogi ołtarza dokoła.
Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
19 Pokropi go z wierzchu tą krwią swym palcem siedem razy, oczyści go i poświęci go od nieczystości synów Izraela.
Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
20 A gdy dokona przebłagania za Miejsce Święte, Namiot Zgromadzenia i ołtarz, przyprowadzi żywego kozła.
Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
21 I Aaron położy obie ręce na głowie żywego kozła, wyznawać będzie nad nim wszystkie nieprawości synów Izraela i wszystkie ich przestępstwa ze wszystkimi ich grzechami i złoży je na głowę tego kozła, i wypuści [go] przez wyznaczonego człowieka na pustynię.
Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
22 Tak poniesie ten kozioł na sobie wszystkie ich nieprawości do ziemi pustej. I wypuści tego kozła na pustynię.
Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
23 Potem Aaron wejdzie do Namiotu Zgromadzenia, zdejmie z siebie lniane szaty, które włożył, gdy wszedł do Miejsca Świętego, i zostawi je tam.
Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
24 Obmyje też swoje ciało w wodzie na Miejscu Świętym i włoży swoje szaty, wyjdzie i złoży swoje całopalenie i całopalenie ludu i dokona przebłagania za siebie i za lud.
Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
25 A tłuszcz ofiary za grzech spali na ołtarzu.
Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
26 A ten, który wypuścił kozła jako kozła ofiarnego, wypierze swoje szaty i obmyje swoje ciało w wodzie, potem wejdzie do obozu.
Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
27 Cielca zaś ofiary za grzech i kozła ofiary za grzech, których krew została wniesiona do Miejsca Świętego dla przebłagania, wyniosą poza obóz i spalą w ogniu ich skóry, ich mięso i ich gnój.
Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
28 A ten, który je spali, wypierze swoje szaty i obmyje swoje ciało w wodzie, potem wejdzie do obozu.
Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
29 To będzie dla was wieczną ustawą: W dziesiątym [dniu tego] siódmego miesiąca będziecie trapić swoje dusze i nie będziecie wykonywać żadnej pracy, zarówno rodowity mieszkaniec, jak i przybysz, który gości wśród was;
Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
30 Bo w tym dniu kapłan dokona za was przebłagania, aby was oczyścić od wszystkich waszych grzechów, abyście byli oczyszczeni przed PANEM.
Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
31 Będzie to dla was szabatem odpoczynku i będziecie trapić wasze dusze ustawą wieczną.
Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
32 A dokona przebłagania kapłan, który jest namaszczony i poświęcony do pełnienia służby na miejsce swego ojca, a włoży lniane szaty, szaty święte;
Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
33 I dokona przebłagania za Miejsce Najświętsze i Namiot Zgromadzenia, i za ołtarz, dokona też przebłagania za kapłanów i cały lud zgromadzenia.
Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
34 I będzie to dla was wieczną ustawą, aby raz w roku dokonywać za synów Izraela przebłagania za wszystkie ich grzechy. I uczynił Mojżesz tak, jak mu PAN rozkazał.
Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.