< Jozuego 18 >
1 Wtedy całe zgromadzenie synów Izraela zebrało się w Szilo i wznieśli tam Namiot Zgromadzenia, gdyż ziemia została przez nich opanowana.
Kisha kusanyiko lote la watu wa Israeli walikusanyika pamoja hapo Shilo. Walilijenga hema la kukutania hapo na waliishinda nchi mbele yao.
2 A pozostało wśród synów Izraela siedem pokoleń, którym nie przydzielono ich dziedzictwa.
Kulikuwa na makabila saba miongoni mwa watu wa Israeli ambayo yalikuwa bado hayajapewa urithi wao.
3 Wtedy Jozue powiedział do synów Izraela: Jak długo będziecie zwlekać z tym, aby wejść i posiąść ziemię, którą dał wam PAN, Bóg waszych ojców?
Yoshua aliwaambia watu wa Israeli, “Je mtaacha mpaka lini katika kuingia nchi ambayo Yahweh, Mungu wa baba zenu, amewapeni ninyi?
4 Wybierzcie spośród siebie po trzech mężczyzn [z każdego] pokolenia, których poślę, aby obeszli ziemię i opisali ją według ich dziedzictwa, a potem powrócą do mnie.
Chagueni ninyi wenyewe watu watatu kutoka katika kila kabila, na nitawatuma. Wataenda na kuipeleleza nchi juu na chini. Wataandika maelezo pamoja na maelekezo kuhusu urithi wao, na kisha watarudi kwangu.
5 I podzielą ją na siedem części: Juda pozostanie w swych granicach na południu, a dom Józefa pozostanie w swych granicach na północy.
Wataigawanya nchi katika sehemu saba. Yuda itasalia katika eneo lao upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu itaendelea katika himaya yao katika upande wa kaskazini.
6 Sporządźcie więc opis ziemi, [dzieląc ją] na siedem części, i przynieście [go] tu do mnie, a ja rzucę dla was losy tu przed PANEM, naszym Bogiem.
Mtaigawanya nchi katika sehemu saba na kisha mtaniletea maelezo hayo hapa kwangu. Nami nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh Mungu wetu.
7 Lewici bowiem nie mają działu pośród was, gdyż ich dziedzictwem jest kapłaństwo PANA; a Gad, Ruben i połowa pokolenia Manassesa otrzymali swe dziedzictwa po wschodniej stronie Jordanu, które dał im Mojżesz, sługa PANA.
Walawi hana sehemu miongoni mwenu, kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao. Makabila ya Gadi, Rubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapokea urithi wao ng'ambo ya Yordani. Huu ni urithi ambao Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa wao.
8 Wtedy ci mężczyźni wstali i poszli, a Jozue nakazał tym, którzy szli, aby opisali ziemię: Idźcie i obejdźcie ziemię, i opiszcie ją, a potem wróćcie do mnie, a ja rzucę dla was losy przed PANEM tu, w Szilo.
Hivyo, watu waliinuka na wakaenda. Yoshua akawaamuru wale walioenda kuandika maelezo ya nchi, akisema, “Pandeni juu na mshuke chini katika nchi na andikeni maelezo kuhusu nchi na kisha mrejee kwangu. Nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh huko Shilo.
9 Odeszli więc ci mężczyźni i obchodzili ziemię, i opisali ją w księdze według miast, [dzieląc] na siedem części; potem wrócili do Jozuego, do obozu w Szilo.
Watu walienda na walitembea juu na chini katika nchi na wakaandika maelezo kuihusu nchi hiyo juu ya gombo kwa miji yake katika sehemu saba, kwa kutaja miji, kila mmoja katika sehemu moja. Kisha wakarudi kwa Yoshua katika kambi huko Shilo.
10 I Jozue rzucił dla nich losy w Szilo przed PANEM, i tam podzielił Jozue ziemię synom Izraela według ich przydziałów.
Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao huko Shilo mbele za Yahweh. Na hapo Yoshua akaigawa nchi kwa watu wa Israeli, kila kabila lilipewa sehemu ya nchi.
11 I padł los dla pokolenia synów Beniamina według ich rodzin, a granica ich losu wypadła między synami Judy a synami Józefa.
Katika kabila la Benyamini, ugawanaji wa nchi ulifanyika kwa kupewa kwa koo zao. Eneo la nchi waliyopewa lilikuwa kati ya wazawa wa Yuda na wazawa wa Yusufu.
12 Ich granica po stronie północnej zaczynała się od Jordanu, biegła na północne zbocze Jerycha, ciągnęła się przez góry na zachód i kończyła się przy pustyni Bet-Awen.
Katika upande wa kusini, mpaka wao ulianzia katika Yordani. Mpaka ulipanda hata sehemu ya juu kaskazini mwa Yeriko, na kisha ukapita katikati ya nchi ya milima upande wa magharibi. Huko ukafika hadi nyika ya Bethi Aveni.
13 A stamtąd granica biegła do Luz, od strony południowej Luz, czyli Betel, a schodziła do Atarot-Addar pod górę, która leży na południe od dolnego Bet-Choron.
Kutoka hapo mpaka ulipita upande wa kusini katika mwelekeo wa Luzi (sehemu ile ile inayoitwa Betheli). Kisha mpaka ukashuka chini hata Atarothi Adda, karibu na mlima uliolekea kusini mwa Bethi Horoni.
14 Potem granica skręcała obok morza na południe od góry położonej naprzeciw Bet-Choron na południu, i kończyła się w Kiriat-Baal, czyli Kiriat-Jearim, mieście synów Judy. To jest strona zachodnia.
Kisha mpaka ukaendelea upande mwingine: katika upande wa magharibi uligeukia upande wa kusini, ulienda mbele kuukabili mlima ulio ng'ambo ya Bethi Horoni. Mpaka huu ulikomea huko Kiriathi Baali ( ambao ndio Kiriathi Yearimu), mji ambao ulikuwa ni wa kabila la Yuda. Na huu ndio ulikuwa ni mpaka katika upande wa magharibi.
15 Strona zaś południowa [zaczynała się] od końca Kiriat-Jearim; następnie granica biegła na zachód i dochodziła do źródła wód Neftoach.
Katika upande wa kusini, mpaka ulianzia nje tu ya Kiriathi Yearimu. Mpaka uliendelea kutoka Efroni hata chemichemi ya maji ya Neftoa.
16 I granica ta ciągnęła się do końca góry położonej naprzeciw doliny syna Hinnom, leżącej w dolinie Refaim na północy, i schodziła do doliny Hinnom po stronie Jebus na południe, i stamtąd biegła do źródła Rogiel.
Kisha mpaka ulishuka chini hadi mpaka wa mlima ambao ulikuwa mkabala ya bonde la Beni Hinomu, ambalo lililokuwa katika upande wa kaskazini mwishoni mwa bonde la Refaimu. Kisha ulishuka chini kuelekea bonde la Hinomu, sehemu ya kusini mwa mteremko wa Wayebusi, na uliendelea kushuka chini hadi Eni Rogeli.
17 Potem skręcała na północ i dochodziła do En-Szemesz, i dalej do Gelilot, które jest naprzeciw wzniesienia Adummim, stamtąd schodziła do kamienia Bohana, syna Rubena.
Ulizunguka upande wa kaskazini, kuelekea mwelekeo wa Eni Shemeshi, na kutoka hapa ulienda hadi Gelilothi, ambao ulikuwa mkabala na mwinuko wa Adumimu. Kisha ulishuka chini kuelekea Jiwe la Bohani mwana wa Rubeni.
18 Następnie przebiegała ku zboczu, które było naprzeciw Araby na północ, i ciągnęła się do Araby.
Ulipita kuelekea upande wa kaskazini wa bega la Bethi Araba na chini kuelekea Araba.
19 Stamtąd granica biegła do zbocza Bet-Chogla na północy, a kończyła się przy zatoce północnej Morza Słonego, na południu od ujścia Jordanu. To [była] granica południowa.
Mpaka ulipita hadi upande wa bega la kaskazini la Bethi Hogla. Mpaka ulikome katika ghuba ya kaskazini mwa Bahari ya Chumvi, katika upande wa kusini mwishoni mwa Yordani. Huu ulikuwa ni mpaka wa upande wa kusini.
20 Jordan zaś stanowi granicę od strony wschodniej. To było dziedzictwo synów Beniamina według otaczających jego granic, według ich rodzin.
Yordani ulikuwa mpaka wake katika upande wa mashariki. Na huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Benyamini, na walipewa kwa kila ukoo wao, mpaka baada ya mpaka, kwa kuizunguka nchi yote.
21 A miastami pokolenia synów Beniamina według ich rodzin były: Jerycho, Bet-Chogla i dolina Kesis;
Kwa hiyo sasa miji ya kabila la Benyamini kufuatana na koo zao ilikuwa ni Yeriko,
22 Bet-Araba, Semaraim, Betel;
Bethi Hogla, Emeki Kezizi, Bethi Araba, Zemaraimu, Betheli,
24 Kefar-Ammonaj, Ofni i Geba: dwanaście miast wraz z przyległymi do nich wioskami.
Kefari Amoni, Ofini, na Geba. Ilikuwa ni miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Kulikuwa pia na miji ya Gibeoni, Rama, Beerothi,
27 Rekem, Jerpeel, Tarala;
Rekemu, Iripeeli, Tarala,
28 Sela, Elef, Jebus, czyli Jerozolima, Gibeat i Kiriat: czternaście miast wraz z przyległymi do nich wioskami. To było dziedzictwo synów Beniamina według ich rodzin.
Zela, Haelefu, Yebusi (ambao ndio Yerusalemu), Gibea, na Kiriathi. Kulikuwa na miji kumi na nne, pamoja na vijiji vyake. Huu ulikuwa ni urithi wa Benyamini kufuatana na koo zao.