< Jozuego 14 >
1 A oto co synowie Izraela odziedziczyli w ziemi Kanaan, co przydzielili im jako dziedzictwo kapłan Eleazar i Jozue, syn Nuna, oraz naczelnicy wśród ojców pokoleń synów Izraela.
Basi haya ndiyo maeneo Waisraeli waliyopokea kama urithi katika nchi ya Kanaani, ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliwagawia.
2 Ich dziedzictwa [dokonano] za pomocą losów, jak PAN rozkazał przez Mojżesza, dla dziewięciu i pół pokolenia.
Urithi wao uligawanywa kwa kura kwa yale makabila tisa na nusu, kama Bwana alivyoamuru Mose.
3 Gdyż Mojżesz dał dziedzictwo dwom pokoleniom i połowie pokolenia za Jordanem, ale Lewitom nie dał dziedzictwa wśród nich.
Mose alikuwa amewapa yale makabila mawili na nusu urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi miongoni mwa hao wengine,
4 Synowie Józefa stanowili bowiem dwa pokolenia: Manassesa i Efraima. Lewitom więc nie dano udziału w ziemi oprócz miast do zamieszkania z przyległymi do nich pastwiskami dla ich stad i dobytku.
kwa kuwa wana wa Yosefu walikuwa makabila mawili; Manase na Efraimu. Walawi hawakupata mgawo wa ardhi, bali walipewa miji tu kwa ajili ya kuishi, pamoja na maeneo ya malisho kwa ajili ya makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe wao.
5 Jak PAN rozkazał Mojżeszowi, tak postąpili synowie Izraela i podzielili ziemię.
Kwa hiyo Waisraeli wakagawana ile nchi, kama vile Bwana alivyomwagiza Mose.
6 Wtedy synowie Judy przyszli do Jozuego w Gilgal i powiedział do niego Kaleb, syn Jefunnego, Kenizzyta: Ty wiesz, co PAN powiedział Mojżeszowi, mężowi Boga, o mnie i o tobie w Kadesz-Barnea.
Kisha watu wa Yuda wakamwendea Yoshua huko Gilgali, naye Kalebu mwana wa Yefune yule Mkenizi, akamwambia, “Unajua jambo ambalo Bwana alimwambia Mose mtu wa Mungu huko Kadesh-Barnea kukuhusu wewe na mimi.
7 Miałem czterdzieści lat, gdy Mojżesz, sługa PANA, posłał mnie z Kadesz-Barnea na wybadanie ziemi i przyniosłem mu wiadomość zgodnie z tym, co miałem w sercu.
Nilikuwa na umri wa miaka arobaini, wakati Mose mtumishi wa Bwana, aliponituma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza hiyo nchi. Nami nikamletea taarifa kama kulingana na nilivyosadiki moyoni.
8 Lecz moi bracia, którzy chodzili ze mną, zatrwożyli serce ludu. Ja [zaś] poszedłem całkowicie za PANEM, swoim Bogiem.
Lakini ndugu zangu tuliopanda nao waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa hofu. Bali mimi, nilimfuata Bwana Mungu wangu kwa moyo wote.
9 W tym dniu Mojżesz przysiągł: Zaprawdę, ziemia, którą deptała twoja noga, stanie się dziedzictwem twoim i twoich synów na wieki, ponieważ całkowicie poszedłeś za PANEM, moim Bogiem.
Hivyo katika siku ile, Mose akaniapia, ‘Nchi ambayo umeikanyaga kwa miguu yako itakuwa urithi wako na wa watoto wako milele, kwa sababu umemfuata Bwana Mungu wangu kwa moyo wote.’
10 A teraz oto PAN zachował mnie przy życiu, jak powiedział; już minęło czterdzieści pięć lat od tego czasu, kiedy PAN powiedział to do Mojżesza, gdy Izraelici wędrowali po pustyni. I oto mam dziś osiemdziesiąt pięć lat;
“Sasa basi, kama vile Bwana alivyoahidi, ameniweka hai kwa miaka arobaini na mitano tangu wakati alipomwambia Mose jambo hili, wakati Waisraeli wakiwa wanazunguka jangwani. Hivyo mimi hapa leo, nina umri wa miaka themanini na mitano!
11 A jeszcze dziś jestem tak silny, jak byłem w tym dniu, gdy Mojżesz mnie wysłał. Jaka wtedy [była] moja siła, taka jest teraz moja siła do wojny, by wyruszać i wracać.
Bado ninazo nguvu kama siku ile Mose aliponituma. Bado ninazo nguvu za kwenda vitani sasa kama vile nilivyokuwa wakati ule.
12 Teraz więc daj mi tę górę, o której PAN powiedział w owym dniu. Sam bowiem słyszałeś tego dnia, że tam są Anakici, a miasta [są] wielkie i warowne. Jeśli PAN będzie ze mną, wypędzę ich, jak [mi] PAN obiecał.
Basi nipe nchi hii ya vilima, ambayo Bwana aliniahidi siku ile. Wewe mwenyewe ulisikia wakati ule kwamba Waanaki walikuwako huko na miji yao ilikuwa mikubwa na yenye maboma, lakini, kwa msaada wa Bwana, nitawafukuza watoke huko kama vile alivyonena.”
13 I Jozue błogosławił mu, i dał Kalebowi, synowi Jefunnego, Hebron w dziedzictwo.
Ndipo Yoshua akambariki Kalebu mwana wa Yefune, na akampa Hebroni kama urithi wake.
14 Dlatego Hebron stał się dziedzictwem Kaleba, syna Jefunnego Kenizzyty, aż do dziś, bo całkowicie [poszedł] za PANEM, Bogiem Izraela.
Hivyo Hebroni imekuwa mali ya Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi tangu wakati ule, kwa sababu alimwandama Bwana, Mungu wa Israeli, kwa moyo wote.
15 A Hebron zwano wcześniej Kiriat-Arba. [Arba] był wielkim człowiekiem wśród Anakitów. A ziemia zaznała pokoju od wojny.
(Hebroni uliitwa Kiriath-Arba hapo mwanzo, kutokana na huyo Arba ambaye alikuwa mtu mkuu kupita wote miongoni mwa Waanaki.) Kisha nchi ikawa na amani bila vita.