< Hioba 34 >

1 Elihu mówił dalej:
Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
2 Słuchajcie, mądrzy, moich słów i wy, uczeni, posłuchajcie mnie.
“Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
3 Ucho bowiem bada słowa, jak podniebienie smakuje pokarm.
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
4 Wybierzmy sobie sąd, rozeznajmy między sobą, co jest dobre.
Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
5 Hiob bowiem powiedział: Jestem sprawiedliwy, a Bóg odrzucił moją sprawę.
Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
6 Czy mam kłamać wbrew swojej racji? Nieuleczalna jest moja rana, bez przestępstwa.
Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
7 Czy jest człowiek podobny do Hioba, który pije obelgi jak wodę?
Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
8 I który obraca się w towarzystwie czyniących nieprawość i chodzi z niegodziwcami?
ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
9 Powiedział bowiem: Nic to nie pomoże człowiekowi, że ma upodobanie w Bogu.
Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
10 Dlatego posłuchajcie mnie, ludzie rozumni: Daleki jest Bóg od niegodziwości, Wszechmocny – od nieprawości.
Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
11 Bo odpłaci człowiekowi według jego czynu i wynagrodzi każdemu według jego drogi.
na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
12 Nie, naprawdę Bóg nie czyni przewrotnie, Wszechmocny nie wypacza sądu.
Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
13 Któż mu powierzył ziemię? Kto urządził cały okrąg świata?
Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
14 Gdyby zwrócił ku człowiekowi swoje serce, gdyby wziął do siebie jego ducha i tchnienie;
Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
15 To zginęłoby wszelkie ciało razem, a człowiek w proch by się obrócił.
basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
16 Jeśli więc masz rozum, posłuchaj tego [i] nadstaw uszu na moje słowa.
Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
17 Czy ma panować ten, który nienawidzi prawości? Czy potępisz tego, który jest bardzo sprawiedliwy?
Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
18 Czy wypada do króla mówić: Nikczemniku? A do książąt: Bezbożni?
Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
19 Tym bardziej do tego, który nie ma względu na książąt i nie stawia bogacza nad ubogim? Oni wszyscy bowiem są dziełem jego rąk.
Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
20 Umrą nagle, o północy lud będzie wzruszony i przeminie, a mocarz zostanie usunięty bez [udziału] ręki [ludzkiej].
Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
21 Jego oczy bowiem patrzą na drogi człowieka i [on] widzi wszystkie jego kroki.
Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
22 Nie ma ciemności ani cienia śmierci, gdzie mogliby się ukryć ci, którzy czynią nieprawość.
Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
23 Na człowieka bowiem nie wkłada więcej [niż to, co słuszne], aby stawił się na sąd przed Bogiem.
Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
24 Rozbije wielu mocarzy i innych osadzi w ich miejsce.
Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
25 A ponieważ zna ich czyny, wywraca ich w nocy, aby byli zmiażdżeni.
Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
26 Chłoszcze ich jako niegodziwych w miejscu widocznym;
Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
27 Za to, że odstąpili od niego i nie zważali na żadne jego drogi;
kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
28 Z tego powodu dochodzi do niego wołanie biednych, a on wysłuchuje wołania ubogich.
Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
29 Gdy zaprowadzi pokój, któż go zburzy? A gdy zakryje swoje oblicze, któż go ujrzy? [A czyni] tak zarówno narodowi, jak i człowiekowi;
Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
30 Aby obłudnik już nie panował i nie był pułapką dla ludzi.
ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
31 Doprawdy, powinieneś mówić do Boga: Poniosłem [karę], a nie będę [już] grzeszyć.
Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
32 Naucz mnie tego, [czego] nie widzę; jeśli popełniłem nieprawość, [już] więcej tego nie uczynię.
nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
33 Czy [wszystko] ma być po twojej myśli? On odpłaci, czy odrzucisz, czy wybierzesz, a nie ja. Ale jeśli wiesz lepiej, to powiedz.
Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
34 Niech mi powiedzą ludzie rozumni, niech człowiek mądry posłucha mnie:
Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
35 Hiob mówi niemądrze, a jego słowa nie są roztropne.
Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
36 Niech Hiob zostanie doświadczony do końca za swoje odpowiedzi odnośnie do niegodziwych ludzi.
Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
37 Dodaje bowiem buntu do swego grzechu, klaszcze przy nas rękoma i mnoży swoje słowa przeciwko Bogu.
Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”

< Hioba 34 >