< Hioba 32 >
1 A [gdy] ci trzej mężczyźni przestali odpowiadać Hiobowi, ponieważ był sprawiedliwy we własnych oczach;
Hivyo hawa watu watatu walikoma kumjibu Ayubu kwasababu alikuwa ni mwenye haki katika macho yake mwenyewe.
2 Wtedy zapłonął gniewem Elihu, syn Barakeela, Buzyta, z rodu Ram; rozgniewał się na Hioba, gdyż usprawiedliwiał siebie bardziej niż Boga.
Ndipo iliwaka hasira ya Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi, wa familia ya Ramu, iliwaka dhidi ya Ayubu kwa kuwa alijihesabia haki mwenyewe kuliko Mungu.
3 Rozpalił się także jego gniew na jego trzech przyjaciół, bo nie znaleźli żadnej odpowiedzi, a jednak potępiali Hioba.
Hasira ya Elihu iliwaka pia kinyume cha marafiki zake watatu kwasababu hawakupata jibu kwa ajili ya Ayubu, na bado walimhukumu Ayubu.
4 Elihu czekał, aż Hiob skończy odpowiedź, gdyż oni byli od niego starsi.
Sasa Elihu alikuwa amemsubiri Ayubu ili aweze kuzungumza naye kwa kuwa watu wengine walikuwa wakubwa kuliko yeye.
5 Gdy Elihu zauważył, że w ustach trzech mężczyzn nie ma żadnej odpowiedzi, zapłonął gniewem.
Hata hivyo, wakati Elihu alipoona ya kuwa hapakuwa na jibu katika midomo ya watu hawa watatu, hasira yake iliwaka.
6 I Elihu, syn Barakeela, Buzyta, odpowiedział: Ja jestem młody, a wy jesteście starzy, dlatego bałem się i nie śmiałem wyjawić wam swego zdania.
Ndipo Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi alinena na kusema, “Mimi ni mdogo, na ninyi ni wazee. Hii ndio sababu nilijizuia na sikuthubutu kuzungumza mawazo yangu mwenyewe.
7 Myślałem: Niech przemówią dni, a mnogość lat [niech] uczy mądrości.
Nilisema, “Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima.
8 Ale to duch jest w człowieku i tchnienie Wszechmogącego daje rozum.
Lakini kuna roho ndani ya mtu; pumzi ya Mwenye nguvu humpa yeye ufahamu.
9 Wielcy nie [zawsze są] mądrzy, a starcy nie [zawsze] rozumieją sąd.
Si tu watu wakubwa ndio wenye hekima, wala watu wazee pekee ambao hufahamu haki.
10 Dlatego mówię: Posłuchajcie mnie, ja też wypowiem swoje zdanie.
Hivyo basi nakwambia wewe, “Nisikilizeni mimi; Nitakwambia pia uelewa wangu.'
11 Oto czekałem na wasze słowa, przysłuchiwałem się waszym dowodom, gdy przygotowywaliście mowę.
Tazama, niliyasubiria maneno yenu; nilisikiliza hoja zenu wakati mlipokuwa mnafikiri juu ya kile cha kusema.
12 I przypatrywałem się wam, a oto żaden z was nie przekonał Hioba i nikt nie odpowiedział na jego słowa;
Hakika, niliwajali sana ninyi, lakini, tazama, hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kumshawishi Ayubu wala ambaye aliweza kumjibu maneno yake.
13 I nie możecie powiedzieć: Znaleźliśmy mądrość. [Sam] Bóg go strąca, nie człowiek.
Iweni waangalifu msije mkasema, 'Tumepata hekima!' Mungu atakuwa amemshinda Ayubu; mtu wa kawaida hawezi akafanya hivyo.
14 Nie do mnie skierował swoje słowa, a ja nie odpowiem mu waszymi słowami.
Kwa kuwa Ayubu hajasema mojamoja maneno yake juu yangu, basi sitamjibu kwa maneno yenu.
15 Zaniepokoili się i już nie odpowiadali; przestali mówić.
Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema.
16 Czekałem, lecz nie mówili, ale stanęli i już nic nie powiedzieli.
Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?
17 Odpowiem ze swojej strony, wypowiem też swoje zdanie.
La, nitajibu pia upande wangu; Nitawaambia pia ufahamu wangu.
18 Jestem bowiem pełny słów, mój duch przymusza mnie.
Kwa kuwa nimejawa na maneno mengi, roho ndani yangu inanisukuma.
19 Oto moje wnętrze jest jak wino, które nie ma ujścia; jak nowe bukłaki [zagrożone] pęknięciem.
Tazama, kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.
20 Będę więc mówić, aby ulżyć sobie; otworzę swoje wargi i odpowiem.
Nitazungumza ili kwamba niweze kuburudishwa; nitafungua kimya changu na kusema.
21 Nie będę miał względu na nikogo i nikomu nie będę schlebiał.
Sitaonesha upendeleo; wala sitatoa sifa za majina kwa mtu yeyote.
22 Nie umiem bowiem schlebiać, gdyż mój Stwórca wnet by mnie porwał.
Kwa kuwa sijui namna ya kutoa sifa; kama nitafanya hivyo, Muumba wangu atanikatilia mimi mbali.