< Hioba 26 >
1 A Hiob tak odpowiedział:
Kisha Ayubu akajibu:
2 Jakże uratowałeś tego, który nie ma mocy? Jakże wybawiłeś ramię, które nie ma siły?
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Jakże doradziłeś temu, który nie ma mądrości? Jakże dokładnie nauczyłeś tej sprawy?
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 Komu powiedziałeś te słowa? Czyj to duch wyszedł od ciebie?
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 Rzeczy martwe rodzą się pod wodami oraz ich mieszkańcy.
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 Piekło jest odkryte przed nim i zatracenie nie ma przykrycia. (Sheol )
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
7 Rozciągnął północ nad pustym miejscem [i] ziemię zawiesił na niczym.
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 Zawiązuje wody w swoich obłokach, a obłok nie pęka pod nimi.
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 Zatrzymuje widok swego tronu, rozciąga nad nim swój obłok.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 Wodom nakreślił granice, aż nastąpi koniec światłości i ciemności.
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 Filary niebios trzęsą się i zdumiewają się jego gromem.
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 Swoją mocą dzieli morze, a swoją roztropnością uśmierza jego nawałnicę.
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 Swoim duchem przyozdobił niebiosa, a jego ręka stworzyła pokrzywionego węża.
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 Oto tylko cząstka jego dróg, ale jakże mało o nim słyszymy! A kto pojmie grzmot jego wielkiej potęgi?
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”