< Hioba 20 >

1 Wtedy Sofar z Naama odpowiedział:
Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
2 Dlatego moje myśli skłaniają mnie do odpowiedzi i z tego powodu [mówię] pośpiesznie.
“Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
3 Słuchałem obraźliwego upomnienia i duch mojego zrozumienia podsuwa mi odpowiedź:
Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
4 Czy nie wiesz, że od wieków, odkąd człowieka postawiono na ziemi;
Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
5 Radość niegodziwych [jest] krótka, a wesołość obłudnika [trwa] okamgnienie?
ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
6 Choćby jego wyniosłość sięgała aż do niebios, a jego głowa – do obłoków;
Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
7 [To jednak] zginie on na wieki jak jego własny gnój, [a] ci, którzy go widzieli, powiedzą: Gdzie [on] się podział?
bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
8 Uleci jak sen i nie znajdą go; ucieknie jak nocne widzenie.
Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
9 Oko, które go widziało, nie zobaczy go więcej, i już nie ujrzy go jego miejsce.
usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
10 Jego synowie będą się korzyć przed ubogim, jego ręce zwrócą swe bogactwo.
Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
11 Jego kości są pełne [grzechów] jego młodości, razem z nim spoczną w prochu.
Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
12 A choć zło jest słodkie w jego ustach i zataja je pod swoim językiem;
Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
13 Chociaż rozkoszuje się nim i nie opuszcza go, zatrzymując je na swoim podniebieniu;
japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
14 [To jednak] jego pokarm we wnętrznościach przemienia się, [staje się] żółcią żmii w jego wnętrzu.
chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
15 Połknął bogactwa i zwróci je; Bóg je wyrzuci z jego brzucha.
Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
16 Będzie ssał jad żmii, zabije go język węża.
Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
17 Nie zobaczy rzek, potoków, strumieni miodu ani masła.
Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
18 Zwróci swój zysk i nie połknie go; i choć znowu zdobędzie wielki majątek, nie ucieszy się [z niego].
Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
19 Bo uciskał [i] opuszczał ubogich, przemocą zabrał dom, którego nie zbudował.
Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
20 Dlatego nie zazna pokoju w swoim wnętrzu, nie zatrzyma tego, czego pragnął.
Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
21 Z jego pokarmów nic nie zostanie, nie rozmnożą się jego dobra.
Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
22 Mimo obfitości jego dostatku dosięgnie go bieda. Wszelka ręka nikczemnych uderzy na niego.
katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
23 Gdy będzie miał czym napełnić swój brzuch, [Bóg] ześle na niego zapalczywość swego gniewu, wyleje na niego [i] na jego pokarmy.
Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
24 [Gdy] będzie uciekał przed żelazną bronią, przebije go łuk spiżowy.
Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
25 Wyjęta będzie [strzała] z grzbietu, a grot przeszyje jego wątrobę; ogarnie go strach.
Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
26 Wszelka ciemność zaczai się w jego kryjówkach. Pożre go ogień niewzniecony, a ten, kto pozostał w jego przybytku, będzie udręczony.
Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
27 Niebo odkryje jego nieprawość, a ziemia powstanie przeciwko niemu.
Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
28 Dobytek jego domu przepadnie, [jego dobra] rozpłyną się w dniu [Bożego] gniewu.
Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
29 Taki [jest] dział Boga dla niegodziwego i dziedzictwo przeznaczone mu przez Boga.
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”

< Hioba 20 >