< Hioba 17 >
1 Mój oddech jest skażony, moje dni gasną, groby na mnie [czekają].
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 Czy nie szydercy są przy mnie? Czy moje oko nie czuwa przez ich zniewagi?
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 Złóż więc zastaw za mnie u siebie. Któż jest ten, który za mnie poręczy?
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 Ich serce bowiem ukryłeś przed zrozumieniem, dlatego [ich] nie wywyższysz.
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 Kto pochlebia przyjaciołom, tego dzieciom zgasną oczy.
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 Uczynił mnie tematem przysłowia wśród ludzi i pośmiewiskiem przed nimi.
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 Moje oko zaćmiło się od smutku, a wszystkie moje członki są jak cień.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 Prawi zdumieją się nad tym, a niewinny powstanie przeciwko obłudnikowi.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 Sprawiedliwy będzie trwał przy swojej drodze, a kto ma czyste ręce, nabierze siły.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 Lecz wy wszyscy zawróćcie i przyjdźcie; bo mądrego wśród was nie znajduję.
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 Moje dni przeminęły, rozwiały się moje zamiary, myśli mego serca.
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 Noc zamieniają w dzień, światłość skraca się z powodu ciemności.
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 Gdybym czegoś oczekiwał, grób [będzie] moim domem, w ciemności rozłożyłem swoje posłanie. (Sheol )
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
14 Powiedziałem do zniszczenia: Jesteś moim ojcem, a robactwu: Moja matko i moja siostro.
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 Gdzie jest więc teraz moja nadzieja? Kto zobaczy moją nadzieję?
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 Zstąpią do zasuw grobu, gdy razem odpoczniemy w prochu. (Sheol )
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )