< Hioba 12 >
1 Potem Hiob odpowiedział:
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 Doprawdy jesteście ludem i wraz z wami zginie mądrość.
“Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
3 Ale ja również mam rozum, jak [i] wy, i nie jestem od was gorszy. Kto nie zna tych rzeczy?
Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
4 Jestem pośmiewiskiem dla swojego przyjaciela; ja, który wołam do Boga, a on odpowiada; sprawiedliwy [i] doskonały [jest] pośmiewiskiem.
Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
5 Ten, który jest bliski upadku, to pochodnia wzgardzona w umyśle [tego], który żyje w pokoju.
Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
6 Namioty łupieżców są spokojne i bezpieczni są ci, którzy drażnią Boga, a którym Bóg [obficie] daje w ręce.
Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
7 Ale zapytaj zwierząt, a one cię pouczą, i ptaków nieba, a powiedzą tobie.
Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
8 Albo rozmawiaj z ziemią, a ona cię nauczy, i opowiedzą ci ryby morskie.
Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
9 Któż spośród nich wszystkich nie wie, że ręka PANA to wykonała?
Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
10 W jego ręku jest dusza wszelkiej istoty żywej i duch wszelkiego człowieka.
Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
11 Czy ucho nie bada mowy, a podniebienie nie smakuje pokarmu?
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
12 U starców jest mądrość, a w długości dni roztropność.
Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
13 [Ale] u niego jest mądrość i siła, u niego rada i roztropność.
Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
14 Oto on burzy, [a] nikt nie może odbudować, zamyka człowieka, a nikt nie może otworzyć.
Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
15 Oto gdy zatrzyma wody, wysychają, gdy je wypuści, wywracają ziemię.
Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
16 U niego jest moc i mądrość. Do niego należy zwiedziony i zwodziciel.
Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
17 Pozbawia radców [mądrości] i sędziów czyni głupcami.
Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
18 Rozwiązuje więzy królów i przepasuje ich biodra pasem.
Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
19 Odprowadza złupionych książąt i wywraca mocarzy.
Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
20 Odbiera mowę prawdomównym i zabiera starcom rozsądek.
Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
21 Wylewa pogardę na książąt i osłabia siły mocarzy.
Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
22 [On] odsłania głębokie rzeczy z ciemności i wyprowadza na światło cień śmierci.
Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
23 Rozmnaża narody i wytraca je, rozszerza narody i pomniejsza je.
Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
24 On zabiera serca przełożonym ludu ziemi i sprawia, że błądzą po pustyni bezdrożnej;
Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
25 I chodzą po omacku w ciemności bez światła, i sprawia, że zataczają się jak pijani.
Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.