< Jeremiasza 48 >
1 Przeciw Moabowi tak mówi PAN zastępów, Bóg Izraela: Biada [miastu] Nebo, bo jest spustoszone. Kiriataim jest pohańbione i zdobyte. Misgab jest zawstydzone i przerażone.
Kuhusu Moabu: Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: “Ole wake Nebo, kwa maana utaharibiwa. Kiriathaimu utaaibishwa na kutekwa; Misgabu itaaibishwa na kuvunjavunjwa.
2 Nie będzie już chwały dla Moabu, w Cheszbonie obmyślono przeciwko niemu nieszczęście: Chodźcie, wytępmy go spośród narodów. I ty, Madmenie, zostaniesz wykorzeniony, miecz będzie cię ścigał.
Moabu haitasifiwa tena; huko Heshboni watu watafanya shauri baya la anguko lake: ‘Njooni na tuangamize taifa lile.’ Wewe nawe, ee Madmena, utanyamazishwa; upanga utakufuatia.
3 Głos krzyku z Choronaim, spustoszenie i wielkie zniszczenie.
Sikiliza kilio kutoka Horonaimu, kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.
4 Moab jest zmiażdżony, usłyszy się krzyk jego małych.
Moabu utavunjwa, wadogo wake watapiga kelele.
5 Będzie bowiem ciągły płacz przy wchodzeniu do Luchit, a przy schodzeniu do Choronaim wrogowie usłyszą krzyk nad zniszczeniem.
Wanapanda kwenda njia ya kuelekea Luhithi, wakilia kwa uchungu wanapotembea, kwenye njia inayoshuka kwenda Horonaimu, kilio cha uchungu kwa ajili ya uharibifu kinasikika.
6 Uciekajcie, ratujcie swoje życie i bądźcie jak wrzos na pustyni.
Kimbieni! Okoeni maisha yenu, kuweni kama kichaka jangwani.
7 Ponieważ pokładasz ufność w swoich dziełach i skarbach, ty też będziesz zdobyty. Kemosz pójdzie do niewoli wraz ze swoimi kapłanami i książętami.
Kwa kuwa mmetumainia matendo yenu na mali zenu, ninyi pia mtachukuliwa mateka, naye Kemoshi atakwenda uhamishoni, pamoja na makuhani wake na maafisa wake.
8 Niszczyciel przyjdzie do każdego miasta i [żadne] miasto nie ocaleje. Dolina też zginie i równina będzie spustoszona, jak mówi PAN.
Mharabu atakuja dhidi ya kila mji, wala hakuna mji utakaookoka. Bonde litaangamizwa na uwanda utaharibiwa, kwa sababu Bwana amesema.
9 Dajcie skrzydła Moabowi, niech szybko uleci, bo jego miasta zostaną spustoszone, tak że nie będzie [w nich] mieszkańców.
Wekeni chumvi kwa ajili ya Moabu, kwa kuwa ataangamizwa; miji yake itakuwa ukiwa, pasipo kuwa na mtu atakayeishi ndani yake.
10 Przeklęty, kto wykonuje dzieło PANA podstępnie; przeklęty także, kto swój miecz powstrzymuje od krwi.
“Alaaniwe yeye afanyaye kazi ya Bwana kwa hila! Alaaniwe yeye auzuiaye upanga wake usimwage damu!
11 Moab miał pokój od swojej młodości, spoczywał na swoich drożdżach i nie był przelewany z naczynia do naczynia, nie poszedł do niewoli. Dlatego zachował się w nim jego smak i jego zapach się nie zmienił.
“Moabu amestarehe tangu ujana wake, kama divai iliyoachwa kwenye machujo yake, haikumiminwa kutoka chombo kimoja hadi kingine, hajaenda uhamishoni. Kwa hiyo ana ladha ile ile kama aliyokuwa nayo, nayo harufu yake haijabadilika.
12 Dlatego oto nadchodzą dni, mówi PAN, że poślę na niego najeźdźców, którzy go uprowadzą, a opróżnią jego naczynia i potłuką jego dzbany.
Lakini siku zinakuja,” asema Bwana, “nitakapotuma watu wamiminao kutoka kwenye magudulia, nao watamimina; wataacha magudulia yake yakiwa matupu na kuvunja mitungi yake.
13 I Moab będzie się wstydzić Kemosza, jak dom Izraela wstydził się Betel, jego nadziei.
Kisha Moabu atamwonea aibu mungu wao Kemoshi, kama vile nyumba ya Israeli walivyoona aibu walipotegemea mungu wa Betheli.
14 Jakże możecie mówić: Jesteśmy mocnymi i dzielnymi wojownikami w walce?
“Mwawezaje kusema, ‘Sisi ni mashujaa, watu jasiri katika vita’?
15 Moab jest zburzony i wyszedł ze swoich miast, a wyborni jego młodzieńcy pójdą na rzeź, mówi Król, jego imię to PAN zastępów.
Moabu ataangamizwa na miji yake itavamiwa, vijana wake waume walio bora sana watachinjwa,” asema Mfalme, ambaye jina lake ni Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
16 Zbliża się klęska Moabu, jego nieszczęście nadchodzi spiesznie.
“Kuanguka kwa Moabu kumekaribia, janga kubwa litamjia kwa haraka.
17 Opłakujcie go, wszyscy, jego [sąsiedzi]; wszyscy, którzy znacie jego imię, mówcie: Jakże się złamała mocna laska i berło ozdobne!
Ombolezeni kwa ajili yake, ninyi nyote mnaomzunguka, ninyi nyote mnaojua sifa zake, semeni, ‘Tazama jinsi ilivyovunjika fimbo ya kifalme yenye nguvu, tazama jinsi ilivyovunjika fimbo iliyotukuka!’
18 Zejdź ze swej chwały i siądź w pragnieniu, córko, mieszkanko Dibonu! Bo niszczyciel Moabu nadciągnie przeciwko tobie, rozrzuci twoje twierdze.
“Shuka kutoka fahari yako na uketi katika ardhi iliyokauka, enyi wenyeji wa Binti wa Diboni, kwa maana yeye aangamizaye Moabu atakuja dhidi yako, na kuangamiza miji yako iliyozungushiwa maboma.
19 Stań na drodze i przypatrz się uważnie, mieszkanko Aroeru! Spytaj tego, który ucieka, i tej, która uchodzi: Co się dzieje?
Simama kando ya barabara na utazame, wewe unayeishi Aroeri. Muulize mwanaume anayekimbia na mwanamke anayetoroka, waulize, ‘Kumetokea nini?’
20 Moab jest zawstydzony, bo jest rozgromiony; zawódźcie i krzyczcie, opowiadajcie w Arnon, że Moab jest spustoszony.
Moabu amefedheheshwa, kwa kuwa amevunjavunjwa. Lieni kwa huzuni na kupiga kelele! Tangazeni kando ya Arnoni kwamba Moabu ameangamizwa.
21 Sąd nadszedł na ziemię tej równiny, na Cholon, na Jahazę i na Mefaat;
Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu: katika Holoni, Yahasa na Mefaathi,
22 Na Dibon, na Nebo i na Bet-Dyblataim;
katika Diboni, Nebo na Beth-Diblathaimu,
23 Na Kiriataim, na Betgamul i na Bet-Meon.
katika Kiriathaimu, Beth-Gamuli na Beth-Meoni,
24 Na Keriot, na Bosrę i na wszystkie miasta ziemi Moabu, dalekie i bliskie.
katika Keriothi na Bosra; kwa miji yote ya Moabu, iliyoko mbali na karibu.
25 Róg Moabu został odcięty i jego ramię złamane, mówi PAN.
Pembe ya Moabu imekatwa, mkono wake umevunjwa,” asema Bwana.
26 Upójcie go, ponieważ wynosił się przeciw PANU. Niech Moab tarza się w swoich wymiocinach i niech również stanie się pośmiewiskiem.
“Mlevye, kwa kuwa amemdharau Bwana. Moabu na agaegae katika matapishi yake, yeye na awe kitu cha dhihaka.
27 Czy Izrael nie był dla ciebie pośmiewiskiem? Czy złapano go wśród złodziei? Ilekroć bowiem mówisz o nim, skaczesz [z radości].
Je, Israeli hakuwa kitu chako cha kudhihakiwa? Je, alikamatwa miongoni mwa wezi, kiasi cha kutikisa kichwa chako kwa dharau kila mara unapozungumza juu yake?
28 Opuszczajcie miasta i zamieszkajcie na skale, mieszkańcy Moabu! Bądźcie jak gołębica, która się gnieździ na ścianach gardzieli urwiska.
Ondokeni kwenye miji yenu, mkaishi katikati ya miamba, enyi mnaoishi Moabu. Kuweni kama huwa ambaye hutengeneza kiota chake kwenye mdomo wa pango.
29 Słyszeliśmy o pysze Moabu, że jest niezmiernie pyszny, o jego zuchwałości, o jego zarozumiałości, o jego dumie i o wyniosłości jego serca.
“Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu: kutakabari kwake kwa kiburi na majivuno, kiburi chake na ufidhuli wake, na kujivuna kwa moyo wake.
30 Znam jego gniew, mówi PAN, lecz mu się nie poszczęści; jego kłamstwa nie dojdą do skutku.
Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,” asema Bwana, “nako kujisifu kwake hakumsaidii chochote.
31 Dlatego nad Moabem będę zawodził, nad całym Moabem będę wołał, i nad ludźmi z Kir-Cheres [moje serce] będzie wzdychało.
Kwa hiyo namlilia Moabu, kwa ajili ya Moabu yote ninalia, ninaomboleza kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi.
32 Płaczę nad tobą, jak opłakiwano Jazer, winorośli Sibmy! Twoje latorośle sięgają aż za morze, dochodzą aż do morza Jazer. Na twoje letnie owoce i na twoje winobranie wpadł niszczyciel.
Ninalia machozi kwa ajili yenu, kama Yazeri aliavyo, enyi mizabibu ya Sibma. Matawi yako yameenea hadi baharini; yamefika hadi bahari ya Yazeri. Mharabu ameyaangukia matunda yako yaliyoiva na mizabibu yako iliyoiva.
33 I zniknęły wesele i radość z urodzajnych pól i z ziemi Moabu, i sprawiłem, że wino się skończyło z pras; nie będą go tłoczyć wśród okrzyków, a ich okrzyk nie będzie okrzykiem.
Shangwe na furaha vimetoweka kutoka bustani na mashamba ya Moabu. Nimekomesha kutiririka kwa divai kutoka mashinikizo; hakuna hata mmoja ayakanyagaye kwa kelele za shangwe. Ingawa kuna kelele, sio kelele za shangwe.
34 Od krzyku Cheszbonu aż do Eleale i aż do Jahazy wydają swój głos, z Soaru aż do Choronaim, [jak] trzyletnia jałówka; bo wody Nimrim też staną się spustoszeniem.
“Sauti ya kilio chao inapanda kutoka Heshboni hadi Eleale na Yahazi, kutoka Soari hadi Horonaimu na Eglath-Shelishiya, kwa kuwa hata maji ya Nimrimu yamekauka.
35 I sprawię, mówi PAN, że już nie będzie w Moabie nikogo, kto składa ofiarę na wyżynach lub pali kadzidło swoim bogom.
Nitakomesha wale wote katika Moabu watoao sadaka mahali pa juu, na kufukiza uvumba kwa miungu yao,” asema Bwana.
36 Dlatego moje serce będzie jęczeć nad Moabem jak flet; nad ludźmi z Kir-Cheres moje serce zawodzi jak flet, gdyż ich zgromadzony dobytek wniwecz się obrócił.
“Kwa hiyo moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama filimbi; unaomboleza kama filimbi kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi. Utajiri waliojipatia umetoweka.
37 Na każdej bowiem głowie będzie łysina i każda broda zostanie ogolona. Na wszystkich rękach [będą] nacięcia i na biodrach wory.
Kila kichwa kimenyolewa na kila mwenye ndevu zimekatwa; kila mkono umekatwa na kila kiuno kimefunikwa kwa nguo ya gunia.
38 Na wszystkich dachach Moabu i na jego ulicach tylko powszechny lament, bo rozbiłem Moab jak naczynie nieużyteczne, mówi PAN.
Juu ya mapaa yote katika Moabu na katika viwanja hakuna kitu chochote isipokuwa maombolezo, kwa kuwa nimemvunja Moabu kama gudulia ambalo hakuna mtu yeyote anayelitaka,” asema Bwana.
39 Będą zawodzić, [mówiąc]: Jakże jest rozbity! Jak haniebnie uciekł Moab! Moab będzie pośmiewiskiem i postrachem dla wszystkich, którzy są dokoła niego.
“Tazama jinsi alivyovunjikavunjika! Jinsi wanavyolia kwa huzuni! Tazama jinsi Moabu anavyogeuka kwa aibu! Moabu amekuwa kitu cha kudhihakiwa, kitu cha kutisha kwa wale wote wanaomzunguka.”
40 Tak bowiem mówi PAN: Oto [wróg] jak orzeł przyleci i rozciągnie swe skrzydła nad Moabem.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Tazama! Tai anashuka chini, akitanda mabawa yake juu ya Moabu.
41 Keriot jest zdobyty i twierdze są wzięte, a serce mocarzy Moabu w tym dniu będzie jak serce rodzącej kobiety.
Miji itatekwa na ngome zake zitatwaliwa. Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Moabu itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wa kuzaa.
42 Moab zostanie zniszczony, przestanie być ludem, bo wynosił się przeciwko PANU.
Moabu ataangamizwa kama taifa kwa sababu amemdharau Bwana.
43 Strach, dół i sidło nad tobą, który mieszkasz w Moabie, mówi PAN.
Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea, enyi watu wa Moabu,” asema Bwana.
44 Kto ucieknie przed strachem, wpadnie w dół, a kto wyjdzie z dołu, wpadnie w sidła. Sprowadzę bowiem na niego, na Moab, rok jego nawiedzenia, mówi PAN.
“Yeyote atakayeikimbia hiyo hofu kuu ataanguka ndani ya shimo, yeyote atakayepanda kutoka shimoni, atanaswa katika mtego, kwa sababu nitaletea Moabu mwaka wa adhabu yake,” asema Bwana.
45 W cieniu Cheszbonu zatrzymali się ci, którzy uciekali przed przemocą. Ale ogień wyjdzie z Cheszbonu i płomień ze środka Sichona i pożre krańce Moabu, i czaszkę tych, którzy czynią zgiełk.
“Katika kivuli cha Heshboni, wakimbizi wamesimama pasipo msaada, kwa kuwa moto umezimika huko Heshboni, mwali wa moto kutoka katikati ya Sihoni; unaunguza vipaji vya nyuso za Moabu, mafuvu yao wenye kujivuna kwa kelele.
46 Biada tobie, Moabie! Ginie lud Kemosza, bo twoi synowie zostali zabrani do niewoli i twoje córki – na wygnanie.
Ole wako, ee Moabu! Watu wa Kemoshi wameangamizwa; wana wako wamepelekwa uhamishoni na binti zako wamechukuliwa mateka.
47 Odwrócę jednak niewolę Moabu w dniach ostatecznych, mówi PAN. Dotąd sąd nad Moabem.
“Lakini nitarudisha mateka wa Moabu, katika siku zijazo,” asema Bwana. Huu ndio mwisho wa hukumu juu ya Moabu.