< Izajasza 17 >

1 Brzemię Damaszku. Oto Damaszek przestanie być miastem, a stanie się rumowiskiem.
Neno kuhusu Dameski: “Tazama, Dameski haitakuwa tena mji bali itakuwa lundo la magofu.
2 Miasta Aroeru [będą] opuszczone. Będą dla trzód, by się [tam] kładły, a nikt [ich] nie spłoszy.
Miji ya Aroeri itaachwa na itaachiwa mifugo ambayo italala huko, bila yeyote wa kuyaogopesha.
3 Nastąpi koniec twierdzy Efraima i królestwa Damaszku. A z resztką Syrii będzie jak z chwałą synów Izraela, mówi PAN zastępów.
Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu, nao uweza wa ufalme kutoka Dameski; mabaki ya Aramu yatakuwa kama utukufu wa Waisraeli,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
4 I stanie się w tym dniu tak, [że] chwała Jakuba zmaleje, a jego tłuste ciało schudnie.
“Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia, unono wa mwili wake utadhoofika.
5 I będzie tak jak [wtedy], gdy żniwiarz zbiera zboże, a jego ramię ścina kłosy; będzie jak ten, co zbiera kłosy w dolinie Refaim.
Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka na kuvuna nafaka kwa mikono yake, kama wakati mtu aokotapo masazo ya masuke katika Bonde la Warefai.
6 Pozostanie na nim jednak pokłosie, jak przy otrząsaniu drzewa oliwnego: dwie lub trzy oliwki [zostaną] na samym wierzchołku drzewa, a cztery lub pięć na urodzajnych gałęziach, mówi PAN, Bóg Izraela.
Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki, kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa, kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni, nne au tano katika matawi yazaayo sana,” asema Bwana, Mungu wa Israeli.
7 W tym dniu człowiek spojrzy na swego Stwórcę i jego oczy będą spoglądać na Świętego Izraela.
Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao, na kuelekeza macho yao kwa yule Aliye Mtakatifu wa Israeli.
8 A nie popatrzy [więcej] na ołtarze, dzieło swoich rąk, ani nie będzie patrzeć [na to], co uczyniły jego palce ani na gaje, ani na posągi.
Hawataziangalia tena madhabahu, kazi za mikono yao, nao hawataheshimu nguzo za Ashera, na madhabahu za kufukizia uvumba zilizofanywa kwa mikono yao.
9 W tym dniu jego miasta warowne będą jak porzucony konar i sucha gałąź, które opuścili przed synami Izraela – i będzie spustoszenie.
Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.
10 A ponieważ zapomniałeś o Bogu twojego zbawienia i nie pamiętałeś o skale twojej mocy, to [choć] zasadzasz rozkoszne sadzonki i sadzisz obce winorośle;
Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu, hamkumkumbuka Mwamba aliye ngome yenu. Kwa hiyo, hata ingawa mlipandikiza mimea iliyo mizuri sana na kuotesha mizabibu ya kigeni,
11 I w dniu sprawiasz, że sadzonka rośnie, i rano doprowadzasz swój siew do rozkwitu, w dniu żniwa będziesz żąć mnóstwo smutku i nieuleczalnej rozpaczy.
hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote na asubuhi ile ile unayoipanda, unaifanya ichipue, hata hivyo mavuno yatakuwa kama si kitu katika siku ile ya ugonjwa na maumivu yasiyoponyeka.
12 Biada tłumom licznych ludów, [które] huczą jak rozhukane morze, i zgiełkowi narodów, które szumią jak szum wód gwałtownych!
Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi, wanaghadhibika kama bahari iliyochafuka! Lo! Makelele ya mataifa wanavuma kama ngurumo za maji mengi!
13 Narody szumią jak szum wielkich wód, ale PAN je zgromi i uciekną daleko gnane wiatrem jak plewy na górach i jak biegacz stepowy przed wichurą.
Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi, wakati anapoyakemea yanakimbia mbali, yanafukuzwa mbele ya upepo kama makapi juu ya milima, kama jani livingirishwapo na dhoruba.
14 Oto w porze wieczornej trwoga, a nim nadejdzie poranek, już go nie [ma]. Taki jest dział tych, którzy nas łupią, i los tych, którzy nas plądrują.
Wakati wa jioni, hofu ya ghafula! Kabla ya asubuhi, wametoweka! Hili ndilo fungu la wale wanaotupora, fungu la wale wanaotunyangʼanya mali zetu.

< Izajasza 17 >