< Izajasza 15 >
1 Brzemię Moabu. Ponieważ w nocy Ar-Moab został zburzony i spustoszony, ponieważ w nocy Kir-Moab został zburzony i spustoszony;
Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
2 Wstąpił do Bajit i do Dibonu, na wyżyny, by płakać. Moab będzie lamentować nad Nebo i Medebą; wszystkie ich głowy będą ogolone, a każda broda będzie obcięta.
Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
3 Na jego ulicach przepasują się worem; na jego dachach i placach każdy będzie zawodził, rozpływając się we łzach.
Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
4 Cheszbon i Eleale będą krzyczeć, a ich głos będzie słychać aż w Jahaza. Dlatego uzbrojeni wojownicy Moabu będą biadać, a dusza każdego rozrzewni się w sobie.
Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
5 Moje serce jęczy [nad] Moabem, jego uchodźcy [uciekną] aż do Zoar [jak] jałowica trzyletnia; bo drogą pod górę do Luchit pójdą z płaczem, a na drodze do Choronaim podniosą krzyk [z powodu] klęski.
Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
6 Wody Nimrim staną się bowiem pustkowiem, bo trawa uschła, zieleń zwiędła, nie ma nic zielonego.
Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
7 Dlatego swój majątek i to, co zgromadzili, przenoszą nad Potok Wierzbowy.
Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
8 Bo krzyk obiega granicę Moabu, aż do Eglaim jego lament i aż do Beer-Elim jego zawodzenie;
Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
9 Ponieważ wody Dimonu będą pełne krwi, gdyż sprowadzę na Dimon jeszcze więcej – lwy na tych, którzy uszli z Moabu i na resztkę tej ziemi.
Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.