< Ozeasza 5 >

1 Słuchajcie tego, kapłani, zważ [na to], domu Izraela, i nakłoń ucha, domu króla. Przeciwko wam bowiem [jest] sąd, ponieważ byliście sidłem dla Mispy i siecią rozciągniętą na Taborze.
Sikilizeni haya, makuhani! kuweni makini, nyumba ya Israeli! Sikilizeni, nyumba ya mfalme! Kwa maana hukumu itakuja juu yenu nyote. Mmekuwa mtego huko Mizpa na wavu uliosambazwa juu ya Tabori.
2 Owszem, udają się podstępnie na rzeź, ale ja ukarzę każdego z nich.
Waasi husimama sana katika mauaji, lakini nitawaadhibu wote.
3 Znam Efraima i Izrael nie jest ukryty przede mną, bo teraz, Efraimie, uprawiasz nierząd, a Izrael się splugawił.
Najua Efraimu, na Israeli hajajificha kwangu. Efraimu, sasa umekuwa kama kahaba; Israeli ni unajisi.
4 Nie chcą zmienić swoich czynów, aby się nawrócić do swego Boga, dlatego że duch nierządu jest wśród nich i nie poznali PANA.
Matendo yao hayawataruhusu kumgeukia Mungu, maana mawazo ya uzinzi yako ndani yao, na hawatamjua Bwana.
5 Pycha Izraela świadczy przeciwko niemu. Dlatego Izrael i Efraim upadną z powodu swojej nieprawości, upadnie wraz z nimi też Juda.
Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; Kwa hiyo Israeli na Efraimu watajikwaa kwa hatia zao; na Yuda pia wataanguka pamoja nao.
6 Ze swoimi trzodami i swoim bydłem pójdą szukać PANA, ale [go] nie znajdą, bo odstąpił od nich.
Watakwenda pamoja na kondoo zao na ng'ombe zao kumtafuta Bwana, lakini hawatamuona, kwa kuwa amejiondoa kutoka kwao.
7 Sprzeniewierzyli się PANU, bo napłodzili obcych synów, [a] teraz miesiąc pożre ich wraz z ich dziedzictwami.
Walikuwa wasio waaminifu kwa Bwana, kwa kuwa wamezaa watoto haramu. Sasa sherehe mpya za mwezi zitawaangamiza na mashamba yao.
8 Zadmijcie w trąbę w Gibea i w trąbę w Rama; krzyczcie w Bet-Awen: [Wróg] za tobą, Beniaminie!
Piga tarumbeta huko Gibea, na tarumbeta huko Rama. Sauti ya kilio cha vita huko Beth Aveni 'Tutakufuata, Benyamini!'
9 Efraim będzie spustoszony w dniu kary. Oznajmiłem wśród pokoleń Izraela to, co pewne.
Efraimu itakuwa ukiwa siku ya adhabu. Miongoni mwa makabila ya Israeli nimetangaza habari itakayotokea.
10 Książęta Judy stali się jak ci, którzy przesuwają granice. Wyleję na nich swój gniew jak wodę.
Viongozi wa Yuda ni kama wale wanaondoao jiwe la mipaka. Nami nitamwaga ghadhabu yangu juu yao kama maji.
11 Efraim jest uciskany i pokruszony sądem, gdyż chętnie chodził za rozkazem [ludzkim].
Efraimu ameangamizwa; ameangamizwa kwa hukumu, kwa sababu ametembea kwa hiari kufuata sanamu.
12 Dlatego będę dla Efraima jak mól, a dla domu Judy jak próchnica.
Kwa hiyo nitakuwa kama nondo kwa Efraimu, na kama uozo kwa nyumba ya Yuda.
13 Gdy Efraim zauważył swoją chorobę, a Juda swoją ranę, uciekł Efraim do Asyryjczyka i posłał do króla Jareb. Ale on was nie będzie mógł uzdrowić ani uleczyć waszej rany.
Efraimu alipoona ugonjwa wake, Yuda akaona jeraha lake; Efraimu akaenda Ashuru; Yuda akatuma wajumbe kwa mfalme mkuu. Lakini hakuweza kuwaponya watu au kuponya jeraha lako.
14 Będę bowiem dla Efraima jak srogi lew, a dla domu Judy jak młody lew. Ja, ja [sam] porwę i odejdę; wezmę, a nikt mi [go] nie wydrze.
Kwa hiyo nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama simba kwa nyumba ya Yuda. Mimi, naam mimi, nitapotea na kwenda mbali; Nitawachukua, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
15 Pójdę i wrócę do swego miejsca, aż uznają swoją winę i zaczną szukać mojego oblicza. W swoim utrapieniu będą mnie pilnie szukać.
Nitakwenda na kurudi mahali pangu, mpaka watambue hatia yao na kutafuta uso wangu, hata wakanitafute kwa bidii katika dhiki yao.

< Ozeasza 5 >