< Ozeasza 1 >
1 Słowo PANA, które doszło do Ozeasza, syna Beeriego, za dni Uzjasza, Jotama, Achaza, Ezechiasza, królów Judy, i za dni Jeroboama, syna Joasza, króla Izraela.
Hili ni neno la Bwana lililofika kwa Hosea mwana wa Beeri siku za Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu mwana wa Yoashi, mfalme wa Israeli.
2 Początek słowa PANA przez Ozeasza. PAN powiedział do Ozeasza: Idź, weź sobie nierządnicę za żonę i dzieci nierządu. Ziemia bowiem uprawiała wstydliwy nierząd, odwróciła się od PANA.
Wakati Bwana alipozungumza kwanza kupitia Hosea, akamwambia, “Nenda ukajitwalie mke ambaye ni kahaba. Atakuwa na watoto ambao ni matokeo ya ukahaba wake. Kwa maana nchi inafanya uzinzi mkubwa kwa kumwacha Bwana.”
3 Poszedł więc i wziął sobie za żonę Gomerę, córkę Diblaima, a ona poczęła i urodziła mu syna.
Basi Hosea akaenda akamwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba, akazaa mtoti mwanamume.
4 PAN powiedział do niego: Nadaj mu imię Jizreel, bo już niedługo pomszczę na domu Jehu krew Jizreel i sprawię, [że] ustanie królestwo domu Izraela.
Bwana akamwambia Hosea, Mwite jina lake Yezreeli. Kwa maana kwa muda mfupi nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa sababu ya kumwaga damu huko Yezreeli; nami nitamaliza ufalme wa nyumba ya Israeli.
5 W tym dniu złamię łuk Izraela w dolinie Jizreel.
Itatokea siku ile nitakapovunja upinde wa Israeli katika bonde la Yezreeli.
6 I poczęła znowu, i urodziła córkę. [PAN] powiedział do niego: Nadaj jej imię Lo-Ruchama, bo już nie zlituję się nad domem Izraela, lecz na pewno go wytępię.
Gomeri akachukua mimba tena akamzaa binti. Ndipo Bwana akamwambia Hosea, “Mwite jina lake Lo Ruhama; kwa maana sitawahurumia tena nyumba ya Israeli, nisije nikawasamehe kwa njia yoyote.
7 Ale zlituję się nad domem Judy i wybawię go przez PANA, jego Boga, lecz nie wybawię łukiem ani mieczem, ani wojną, ani końmi, ani jeźdźcami.
Hata hivyo nitawahurumia nyumba ya Yuda, nami nitawaokoa mwenyewe, Bwana, Mungu wao. Sitawaokoa kwa upinde, upanga, vita, farasi, au wapanda farasi. '
8 Gdy odstawiła [od piersi] Lo-Ruchamę, znowu poczęła i urodziła syna.
Baada ya Gomeri kumwachisha Lo Ruhama, alipata mimba na kuzaa mtoto mwingine mwanamume.
9 I [PAN] powiedział: Nadaj mu imię Lo-Ammi, bo wy nie jesteście moim ludem, ja też nie będę waszym [Bogiem].
Ndipo Bwana akasema, “Mwite jina la Lo Ami; kwa kuwa ninyi si watu wangu, wala mimi si Mungu wenu.”
10 Jednak liczba synów Izraela będzie jak piasek morski, którego nie można zmierzyć ani zliczyć. I stanie się, że w miejscu, gdzie im mówiono: Nie jesteście moim ludem, będzie się do nich mówić: Wy jesteście synami Boga żywego.
Hata hivyo idadi ya watu wa Israeli itakuwa kama mchanga wa bahari, ambayo haiwezi kupimwa au kuhesabiwa. Itakuwa pale ambapo waliambiwa, “Ninyi si watu wangu,” wataambiwa, “Ninyi ni watu wa Mungu aliye hai.”
11 I będą zgromadzeni razem synowie Judy i synowie Izraela, ustanowią sobie jedną głowę i wyjdą z tej ziemi. Wielki bowiem [będzie] dzień Jizreel.
Watu wa Yuda na watu wa Israeli watakusanyika pamoja. Wao wataweka kiongozi mmoja wao wenyewe, na watatoka kutoka nchi, kwa maana itakuwa siku ya Yezreeli kuu.