< Rodzaju 8 >

1 Bóg pamiętał jednak o Noem i wszystkich zwierzętach, i wszelkim bydle, które [było] z nim w arce, i sprowadził Bóg wiatr na ziemię, a wody zaczęły opadać.
Mungu akamtazama Nuhu, wanyama wote wa mwitu, na wanyama wote wa kufugwa ambao walikuwa pamoja naye kwenye safina. Mungu akafanya upepo uvume juu ya nchi, na maji yakaanza kuzama chini.
2 I źródła głębi i okna nieba zamknęły się, i deszcz z nieba został zatrzymany.
Chemichemi za vilindi pamoja na madirisha ya mbingu vikafungwa, na mvua ikakoma kunyesha.
3 Wody stopniowo ustępowały z powierzchni ziemi, a po upływie stu pięćdziesięciu dni wody opadły.
Maji ya gharika yakaanza kuzama kidogo kidogo katika nchi. na mwisho wa siku miamoja na hamsini maji yakawa yamezama chini.
4 I arka osiadła na górach Ararat w siódmym miesiącu, siedemnastego dnia [tego] miesiąca.
safina ikatulia katika mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, juu ya milima ya Ararati.
5 A wody opadały nadal aż do dziesiątego miesiąca. I w dziesiątym miesiącu, pierwszego dnia, ukazały się szczyty gór.
Maji yakaendelea kuzama chini hadi mwezi wa kumi. Siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.
6 Po upływie czterdziestu dni Noe otworzył okno arki, które zrobił.
Ikatokea kwamba baada ya siku arobaini Nuhu alifungua dirisha la safina ambayo aliitengeneza.
7 I wypuścił kruka, który wylatywał i wracał, aż wyschły wody na ziemi.
Akatuma kunguru na akaruka hadi maji yalipo kauka katika nchi.
8 Potem wypuścił gołębicę, aby zobaczyć, czy wody opadły z powierzchni ziemi.
Kisha akatuma njiwa kuona kama maji yamezama chini kutoka kwenye uso wa nchi,
9 A gdy gołębica nie znalazła dla siebie miejsca spoczynku, wróciła do niego do arki, bo wody [były] jeszcze na całej powierzchni ziemi. Wyciągnął więc swoją rękę, pochwycił ją i wziął do siebie do arki.
lakini njiwa hakuona sehemu ya kutua unyayo wake, na akarudi kwake ndani ya safina, kwa kuwa maji yalikuwa bado yamefunika nchi yote. Akanyoosha mkono wake, akamchukua na kumuweka ndani ya safina pamoja naye.
10 A gdy odczekał jeszcze drugie siedem dni, ponownie wypuścił gołębicę z arki.
Akasubiri siku saba zingine akatuma tena njiwa kutoka kwenye safina.
11 I gołębica wróciła do niego pod wieczór, a oto w dziobie zerwany liść oliwny. Tak Noe poznał, że wody opadły z powierzchni ziemi.
Njiwa akarudi kwake jioni. Tazama! katika mdomo wake kulikuwa na jani bichi la mzeituni lililochumwa. Kwa hiyo Nuhu akatambua kuwa maji yamekwisha zama chini ya nchi.
12 Odczekał jeszcze drugie siedem dni i wypuścił gołębicę, ale już do niego nie wróciła.
Akasubiri siku saba zingine na akamtuma njiwa tena. Njiwa hakurudi kwake tena.
13 W sześćset pierwszym roku, w pierwszym miesiącu, pierwszego [dnia], wyschły wody na ziemi. Wtedy Noe zdjął przykrycie arki i zobaczył, że powierzchnia ziemi była sucha.
Ikawa kwamba katika mwaka wa mia sita na moja, katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, maji yalikuwa yamekauka katika nchi. Nuhu akaondoa kifuniko cha safina, akatazama nje, na akaona kwamba, Tazama, uso wa nchi ulikuwa umekauka.
14 A w drugim miesiącu, dwudziestego siódmego dnia [tego] miesiąca, wyschła ziemia.
Katika mwezi wa pili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, nchi ilikuwa imekauka.
15 I Bóg powiedział do Noego:
Mungu akamwambia Nuhu,
16 Wyjdź z arki, ty i z tobą twoja żona, twoi synowie i żony twoich synów.
“Toka nje ya safina, wewe, mke wako, wanao wa kiume, na wake wa wanao pamoja nawe.
17 Wyprowadź ze sobą wszystkie zwierzęta, które [są] z tobą, z wszelkiego ciała, ptactwa, bydła i wszelkich zwierząt pełzających, które pełzają po ziemi, i niech się rozrodzą na ziemi, niech będą płodne i niech się rozmnażają na ziemi.
Wachukuwe utoke nje pamoja nao kila kiumbe hai chenye mwili ambacho kiko nawe - ndege, wanyama wa kufugwa, na kila kitambaacho ambacho hutambaa juu ya nchi - ili kwamba viweze kukua na kuwa na idadi kubwa zaidi ya viumbe hai katika nchi yote, kwa kuzaliana na kuongezeka juu ya nchi.”
18 Wyszedł więc Noe i z nim jego synowie, jego żona i żony jego synów.
Kwa hiyo Nuhu akatoka nje pamoja na watoto wake wa kiume, mke wake, na wake wa wa wanawe pamoja naye.
19 Wyszły także z arki wszelkie bydlęta, wszelkie zwierzęta pełzające, wszelkie ptactwo oraz wszystko, co pełza po ziemi, według swoich rodzajów.
Kila kiumbe hai, kila kitambaacho, na kila ndege, na kila kiendacho juu ya nchi, kwa kabila zao, wakaiacha safina.
20 Potem Noe zbudował ołtarz dla PANA i wziął z każdego czystego zwierzęcia i z każdego czystego ptactwa, i złożył całopalenia na tym ołtarzu.
Nuhu akajenga madhabahu kwa Yahwe. Akachukua baadhi ya wanyama walio safi na baadhi ya ndege walio safi, na kutoa sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu.
21 I PAN poczuł miłą woń, i PAN powiedział w swoim sercu: Nie będę więcej przeklinał ziemi z powodu człowieka, bo myśl serca człowieka [jest] zła od jego młodości. Nie wytracę więcej wszystkiego, co żyje, jak [teraz] uczyniłem.
Yahwe akanusa harufu nzuri ya kuridhisha na akasema moyoni mwake, “Sita laani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, ingawa nia za mioyo yao ni mbaya tokea utoto. Wala sita haribu kilakitu chenye uhai, kama nilivyo fanya.
22 Póki ziemia będzie trwać, nie ustaną siew i żniwo, zimno i gorąco, lato i zima, dzień i noc.
Wakati nchi isaliapo, majira ya kupanda mbegu na mavuno, baridi na joto, kiangazi na majira ya baridi, mchana na usiku havitakoma.”

< Rodzaju 8 >

A Dove is Sent Forth from the Ark
A Dove is Sent Forth from the Ark