< Wyjścia 6 >

1 Wtedy PAN powiedział do Mojżesza: Teraz zobaczysz, co uczynię faraonowi. Mocną ręką bowiem wypuści ich i mocną ręką wypędzi ich ze swojej ziemi.
Kisha Yahweh akasema na Musa, “Sasa utaona nitakacho fanya kwa Farao. Utaona hili, kwa kuwa ata waacha waenda kwa mkono wangu hodari. Kwasababu ya mkono wangu hodari, ata waondoa nje ya nchi.”
2 Nadto Bóg mówił do Mojżesza: Ja jestem PANEM.
Mungu akasema na Musa na kumwambia, “Mimi ni Yahweh.
3 Objawiłem się Abrahamowi, Izaakowi i Jakubowi [pod tym imieniem]: Bóg Wszechmogący, ale z mojego imienia JEHOWA nie byłem przez nich poznany.
Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo kama Mungu mwenye nguvu; lakini kwa jina langu, Yahweh, sikujuliikana kwao.
4 Ustanowiłem też z nimi moje przymierze, aby dać im ziemię Kanaan, ziemię ich pielgrzymowania, w której przebywali jako obcy.
Pia niliimarisha agano langu na wao, ilikuwapatia nchi ya Kanani, nchi walioishi kama sio raia, nchi walio tanga tanga.
5 Usłyszałem także jęk synów Izraela, których Egipcjanie trzymają w niewoli, i wspomniałem na moje przymierze.
Zaidi ya yote, nimesikia kilio cha Waisraeli ambao wa Misri wame wa chukua watumwa, na nimekumbuka agano langu.
6 Dlatego powiedz synom Izraela: Ja jestem PAN, wyprowadzę was spod ciężarów Egipcjan, wyrwę was z ich niewoli i wybawię was wyciągniętym ramieniem i przez wielkie sądy.
Kisha basi, sema kwa Waisraeli, 'Mimi ni Yahweh. Nitawatoa kwenye utumwa chini ya wa Misri, na kuwaweka huru na nguvu zao. Nitawaokoa kwa kudhihirisha nguvu zangu, na kwa matendo ya ajabu ya hukumu.
7 Wezmę was sobie za lud i będę wam Bogiem. Poznacie, że ja jestem PAN, wasz Bóg, który was wyprowadza spod ciężarów Egipcjan.
Nitawaleta kwangu kama watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu. Mtajua kuwa mimi ndiye Yahweh Mungu wenu, aliye watoa kwenye utumwa chini ya wa Misri.
8 I wprowadzę was do ziemi, którą przysiągłem dać Abrahamowi, Izaakowi i Jakubowi; i dam ją wam w dziedzictwo. Ja [jestem] PAN.
Nitawaleta kwenye nchi niliyo muahidi kumpa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Nitawapa kama mali yenu. Mimi ni Yahweh.”'
9 I Mojżesz mówił tak do synów Izraela, ale nie usłuchali go z powodu udręki ducha i ciężkiej niewoli.
Musa alipo waambia haya Waisraeli, hawakumsiliza kwasababu ya mateso magumu ya utumwa wao.
10 Wtedy PAN powiedział do Mojżesza:
Hivyo Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia,
11 Idź, powiedz faraonowi, królowi Egiptu, żeby wypuścił synów Izraela ze swej ziemi.
“Nenda umwambie Farao, mfalme wa Misri, awaache watu wa Israeli waondoke kwenye nchi yake.”
12 Mojżesz zaś odpowiedział przed PANEM: Oto synowie Izraela nie posłuchali mnie, jakże więc posłucha mnie faraon? Jestem przecież nieobrzezanych warg.
Musa akamwambia Yahweh, “Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi, kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?”
13 Wtedy PAN przemówił do Mojżesza i Aarona i dał im rozkaz dla synów Izraela i dla faraona, króla Egiptu, aby wyprowadzili synów Izraela z ziemi Egiptu.
Yahweh akasema na Musa na Aruni. Akawapa amri ya Waisraeli na Farao, mfalme wa Misri, awatoe Waisraeli kutoka nchi ya Misri.
14 Oto naczelnicy domów ich ojców: synowie Rubena, pierworodnego Izraela: Henoch, Pallu, Chesron i Karmi. To są rodziny Rubena.
Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao: wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Rubeni.
15 Synowie Symeona: Jemuel, Jamin, Ohad, Jakin, Sochar i Szaul, syn Kananejki. To są rodziny Symeona.
Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli - mwana wa mwanamke wa Kanani. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Simeoni.
16 Oto imiona synów Lewiego według ich pokoleń: Gerszon, Kehat i Merari. A lat życia Lewiego [było] sto trzydzieści siedem.
Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137.
17 Synowie Gerszona: Libni i Szimei, według ich rodzin.
Wana wa Gerishoni walikuwa Libni na Shimei.
18 Synowie Kehata: Amram, Ishar, Chebron i Uzziel. A lat życia Kehata [było] sto trzydzieści trzy.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133.
19 Synowie Merariego: Machli i Muszi. To są rodziny Lewiego według ich pokoleń.
Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hawa walikuja kuwa mababu wa ukoo wa Walawi, pamoja na uzao wao.
20 I Amram pojął za żonę Jokebed, swoją ciotkę, która urodziła mu Aarona i Mojżesza. A lat życia Amrama [było] sto trzydzieści siedem.
Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa.
21 Synowie Ishara: Korach, Nefeg i Zikri.
Wana wa Izhari walikuwa Kora, Nefegi, na Zikri.
22 Synowie Uzziela: Miszael, Elsafan i Sitri.
Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elizafani na Sithri.
23 I Aaron pojął za żonę Eliszebę, córkę Aminadaba, siostrę Nachszona. Ona mu urodziła Nadaba, Abihu, Eleazara i Itamara.
Aruni alimuoa Elisheba, binti wa Aminadabu, dada wa Nashoni. Alimzaa Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
24 A synowie Koracha: Assir, Elkana i Abiasaf. To są rodziny Korachitów.
Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasa. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Wakora.
25 I Eleazar, syn Aarona, pojął za żonę jedną z córek Putiela. Ona mu urodziła Pinchasa. Oto [są] naczelnicy ojców Lewitów według ich rodzin.
Eleazari, mwana wa Aruni, alimuoa mmoja wa mabinti Wa Putieli. Alimzalia Fineazi. Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao miongoni mwa Walawi, pamoja na uzao wao.
26 To [są] ci właśnie Aaron i Mojżesz, do których mówił PAN: Wyprowadźcie synów Izraela z ziemi Egiptu według ich zastępów.
Hawa wanaume wawili walikuwa Musa na Aruni ambao Yahweh alisema, “Waleteni Waisraeli kutoka nchi ya Misri, kwa makundi ya wanaume wapiganaji.”
27 To oni mówili do faraona, króla Egiptu, aby wyprowadzić synów Izraela z Egiptu. [To jest] właśnie Mojżesz i Aaron.
Aruni na Musa wakazungumza na Farao, mfalme wa Misri, awaruhusu Waisraeli watoke Misri. Hawa walikuwa Musa na Aruni wale wale.
28 A w tym dniu, kiedy PAN mówił do Mojżesza w ziemi Egiptu;
Pale Yahweh alipo zungumza na Musa katika nchi ya Misri,
29 PAN powiedział do niego: Ja jestem PAN. Mów do faraona, króla Egiptu, wszystko, co do ciebie mówię.
alimwambia, “Mimi ni Yahweh. Sema kwa Farao, mfalme wa MIsri, kila kitu nitacho kwambia.”
30 Mojżesz zaś odpowiedział przed PANEM: Oto jestem nieobrzezanych warg, jakże posłucha mnie faraon?
Lakini Musa alimwambia Yahweh, “Mimi sio mzuri wa kuongea, hivyo kwanini Farao anisikilize mimi?”

< Wyjścia 6 >