< II Samuela 16 >
1 A gdy Dawid zszedł trochę ze szczytu góry, oto Siba, sługa Mefiboszeta, zaszedł mu drogę z parą osiodłanych osłów, na których było dwieście chlebów, sto pęczków rodzynek, sto świeżych owoców i bukłak wina.
Daudi alipokuwa amekwenda kitambo juu ya kilele cha kilima, Siba mtumishi wa Mefiboshethi akaja kumlaki akiwa na punda wawili waliokuwa wamebeba vipande mia mbili vya mikate, vishada mia moja vya mizeituni, vishada mia moja vya tini na mfuko wa ngozi uliojaa mvinyo.
2 Wtedy król zapytał Sibę: Po co to? Siba odpowiedział: Osły są dla rodziny króla, by na nich jeździła, chleb i owoc na posiłek dla sług, a wino jest do picia dla znużonych na pustyni.
Mfalme akamuliza Siba, “Kwa nini umeleta hivi vitu?” Siba akajibu, “punda ni kwa ajili ya familia yako kupanda, mikate na matunda ni kwa ajili ya matumizi ya askari wako, na mvinyo ni kwa ajili kunywa watakaozimia nyikani.”
3 Zapytał król: A gdzie jest syn twego pana? Siba odpowiedział królowi: Został w Jerozolimie. Powiedział bowiem: Dziś dom Izraela przywróci mi królestwo mojego ojca.
Mfalme akauliza, “Na mjukuu wa bwana wako yuko wapi?” Siba akamjibu mfalme, “Tazama, yeye amesalia Yerusalemu kwa maana alisema, 'Leo nyumba ya Israeli itanirudishia ufalme wa baba yangu.”
4 Wtedy król powiedział do Siby: Oto twoje jest wszystko, co należało do Mefiboszeta. Siba pokłonił się i odpowiedział: Obym znalazł łaskę w twoich oczach, mój panie, królu.
Kisha mfalme akamwambia Siba, “Tazama, yote yaliyomilikiwa na Mefiboshethi sasa yatakuwa yako.” Siba akajibu, “Nainama kwa unyenyekevu kwako bwana wangu mfalme. Na nipate kibari mbele zako.”
5 Kiedy król Dawid przybył do Bachurim, oto wyszedł stamtąd człowiek z rodziny domu Saula imieniem Szimei, syn Gery. Ten wyszedł, a gdy szedł, przeklinał.
Mfalme Daudi alipokaribia Bahurimu, akaja mtu kutoka katika ukoo wa Sauli, jina lake Shimei mwana wa Gera. Kadiri alivyokuwa akitembea alikuwa akilaani.
6 I rzucał kamieniami w Dawida i wszystkie sługi króla Dawida, chociaż cały lud i wszyscy wojownicy [szli] po jego prawej i lewej stronie.
Akamrushia Daudi mawe na maofisa wa mfalme, bila kujali jeshi na walinzi wa mfalme waliokuwa kulia na kushoto mwa mfalme.
7 I tak mówił Szimei, przeklinając: Wyjdź, wyjdź, krwawy człowieku, człowieku Beliala.
Shimei akalaani, “Nenda zako, toka hapa, mwovu wewe, mtu wa damu!
8 PAN sprowadził na ciebie całą krew domu Saula, w miejsce którego zostałeś królem, i oddał PAN królestwo w ręce Absaloma, twego syna. A oto twoje zło spotkało ciebie, bo jesteś krwawym człowiekiem.
Yahwe amelipa yote kwa ajili ya damu ya familia ya Sauli, ambaye unatawala badala yake. Yahwe ameweka ufalme katika mkono wa Absalomu mwanao. Na sasa umeangamia kwa kuwa ni mtu wa damu.”
9 Wtedy Abiszaj, syn Serui, powiedział do króla: Czemu ten zdechły pies przeklina mojego pana, króla? Pozwól, że pójdę i utnę mu głowę.
Ndipo Abishai mwana wa Seruya, akamwambia mfalme, “Kwa nini mbwa mfu anamlaani bwana wangu mfalme? Tafadhari niache niende nikamwondolee kichwa chake.”
10 Ale król odpowiedział: Co ja [mam] z wami, synowie Serui? Niech przeklina, gdyż PAN mu kazał: Przeklinaj Dawida. Któż więc może powiedzieć: Czemu tak czynisz?
Lakini mfalme akasema, “Nifanye nini nanyi enyi wana wa Seruya? Pengine ananilaani kwa kuwa Yahwe amemwambia, 'Mlaani Daudi.' Nani sasa awezaye kumwambia, 'Kwa nini unamlaani mfalme.”
11 Dawid powiedział jeszcze do Abiszaja i do wszystkich swoich sług: Oto mój syn, który wyszedł z mego wnętrza, nastaje na moje życie. Cóż dopiero ten Beniaminita? Zostawcie go, niech przeklina, bo PAN mu [tak] rozkazał.
Hivyo Daudi akamwambia Abishai na watumishi wake wote, “Tazameni, mwanangu aliyezaliwa kutoka katika mwili wangu anatafuta uhai wangu. “Si zaidi sana mbenjamini huyu akatamani anguko langu? Mwacheni alaani, kwa maana Yahwe amemwamru kufanya hivyo.
12 Może PAN wejrzy na moje utrapienie i odpłaci mi dobrem za jego dzisiejsze przekleństwo.
Huenda Yahwe akaangalia maangaiko niliyofungiwa, na kunirudishia mema kwa jinsi nilivyolaaniwa leo.”
13 Dawid i jego ludzie szli więc drogą, Szimei zaś szedł zboczem góry obok niego, a idąc, przeklinał, rzucał kamieniami w niego i miotał prochem.
Hivyo Daudi na watu wake wakaendelea njiani wakati Shimei kando yake ubavuni mwa mlima, aliendelea kulaani na kumrushia mavumbi na mawe huku akienda.
14 I tak król i cały lud, który był z nim, przybyli znużeni i odpoczęli tam.
Kisha mfalme na watu wake wote wakachoka, na akapumzika wakati wa usiku walipopumzika wote.
15 Lecz Absalom i cały lud, mężczyźni Izraela, przyszli do Jerozolimy, a Achitofel [był] z nim.
Absalomu na watu wote wa Israeli waliokuwa pamoja naye wakaja Yerusalemu na Ahithofeli alikuwa pamoja naye.
16 A gdy Chuszaj Arkita, przyjaciel Dawida, przyszedł do Absaloma, Chuszaj powiedział do Absaloma: Niech żyje król, niech żyje król!
Ikawa Hushai Mwarki, rafiki yake Daudi, akaja kwa Absalomu, naye akamwambia Absalomu, “Mfalme aishi daima! mfalme aishi daima.
17 Wtedy Absalom zapytał Chuszaja: Taka to jest twoja miłość do twego przyjaciela? Czemu nie poszedłeś ze swoim przyjacielem?
Absalomu akamwambia Hushai, “Je huu ndiyo utiifu wako kwa rafiki yako? Kwa nini haukwenda pamoja naye?”
18 Chuszaj odpowiedział Absalomowi: Nie! Lecz kogo wybierze PAN, ten lud i wszyscy mężczyźni Izraela, do tego będę należał i z nim pozostanę.
Hushai akamwambia Absalomu, “Hapana! badala yake, yule ambaye Yahwe, watu hawa na watu wote wa Israeli wamemchagua huyo ndiye nitakaye kuwa upande wake na ndiye nitakaye kaa naye.
19 Po drugie: Komu będę służył? Czy nie jego synowi? Jak służyłem twemu ojcu, tak będę i tobie.
Kwani ni nani ninayepaswa kumtumikia? Je sipaswi kutumika mbele za mwana? kama nilivyotumika mbele za baba yako ndivyo nitakavyofanya mbele zako”
20 Wtedy Absalom powiedział do Achitofela: Radźcie, co mam czynić.
Kisha Absalomu akamwambia Ahithofeli, “Tupe shauri lako kuhusu tunachopaswa kufanya.”
21 Achitofel odpowiedział Absalomowi: Wejdź do nałożnic swego ojca, które zostawił, aby strzegły domu. A gdy cały Izrael usłyszy, że zostałeś znienawidzony przez swego ojca, wtedy wzmocnią się ręce wszystkich, którzy [są] z tobą.
Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Nenda ulale na masuria wa baba yako aliowaacha kutunza kasri, na waisraeli wote watasikia kwamba umekuwa kitu kinachonuka kwa baba yako. Kisha mikono ya wote walio pamoja nawe itatiwa nguvu.”
22 Rozbili więc dla Absaloma namiot na dachu. I Absalom wszedł do nałożnic swego ojca na oczach całego Izraela.
Hivyo wakatanda hema kwa ajili ya Absalomu juu ya kasri na Absalomu akalala na masuria wa baba yake mbele za Israeli wote.
23 A rada Achitofela, której udzielał w tym czasie, była niczym rada od Boga. Taka była wszelka rada Achitofela, zarówno u Dawida, jak i u Absaloma.
Nyakati hizo ushauri aliokuwa akitoa Ahithofeli ulikuwa ni kama mtu anavyosikia kutoka katika kinywa cha Mungu mwenyewe. Hivyo ndivyo jinsi ushauri wa Ahithofeli ulivyoonekana kwa Daudi na Absalomu