< II Kronik 8 >
1 A po upływie dwudziestu lat, w których Salomon zbudował dom PANA i swój dom;
Ikawa karibu ya mwisho wa miaka ishirini, kipindi ambacho Selemani alikuwa ameijenga nyumba ya Yahwe na ya kwake mwenye,
2 Odbudował też miasta, które Huram zwrócił Salomonowi, i oddał je na mieszkanie synom Izraela.
kwamba Selemani akaiajenga miji ambayo Hiramu alikuwa amempa, na ndani yake akawaweka watu wa Israeli.
3 Potem Salomon wyruszył do Chamat Soby i zdobył je.
Selemani akauavamia Hamathzoba, akaushinda.
4 Odbudował też Tadmor na pustyni oraz wszystkie miasta, [w których miał] składy, a które zbudował w Chamat.
Akaijenga Tadmori katika nyika, na miji yote ya hazina, ambayo aliijenga katika Hamathi.
5 Odbudował także Bet-Choron górne i Bet-Choron dolne, miasta warowne, z murami, bramami i ryglami;
Pia akaujenga Beth-horoni wa juu, na Beth-horoni wa chini, miji iliyozungushiwa kwa ukuta, malango, na makomeo.
6 Również Baalat i wszystkie miasta, w których Salomon miał składy, wszystkie też miasta rydwanów i miasta jeźdźców i wszystko to, co mu się podobało wybudować w Jerozolimie, w Libanie i w całej ziemi swego panowania.
Akaujenga Baalathi na miji yote ya hazina aliyoimiliki, na miji yote kwa ajili ya magari yake na miji kwa ajili ya wapanda farasi wake, na chochote alichotamani kujenga kwa ajili ya starehe zake katika Yerusalemu, katika Lebanoni, na katika nchi zote zilizokuwa chini ya utawala wake.
7 A wszystkie ludy, które ocalały spośród Chetytów, Amorytów, Peryzzytów, Chiwwitów i Jebusytów, które nie były z Izraela;
Kuhusu watu wengine wote ambao walikuwa wamesalia wa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, Wayebusi, ambao hawakuwa wa Israeli,
8 Lecz [stanowiły] potomstwo tych, którzy pozostali po nich w ziemi, a których synowie Izraela nie mogli wytracić – te Salomon obciążył pracą przymusową aż do dziś.
watoto wao ambao waliachwa baada yao katika nchi, ambaoa watu wa Israeli hawakuwaangamiza—Selemani akawafanyisha kazi kwa nguvu, ndivyo walivyo hata leo.
9 Ale z synów Izraela Salomon nie uczynił niewolników do swoich prac, byli tylko dzielnymi wojownikami, naczelnikami jego dowódców i przełożonymi nad jego rydwanami i jeźdźcami.
Vile vile, Selemani hakuwafanyisha kazi kwa nguvu watu wa Israeli. Badala yake, wakawa wanajeshsi wake, maakida wake, wakuu wake, na maakida wa magari ya majeshi yake na wapanda farasi wake.
10 Ci byli naczelnikami spośród wodzów, których miał król Salomon; było ich dwustu pięćdziesięciu, którzy panowali nad ludem.
Pia hawa walikuwa wakuu wa wakuu wakisimamia wasimamizi waliokuwa wa mfalme Selemani, walikuwa 250, waliowasimamia watu walioifanya kazi.
11 Lecz córkę faraona Salomon przeniósł z miasta Dawida do domu, który jej zbudował. Powiedział bowiem: Moja żona nie będzie mieszkała w domu Dawida, króla Izraela, bo jest święty przez to, że weszła do niego arka PANA.
Selemani akamleta binti Farao nje ya mji wa Daudi kwenye nyumba aaliyokuwa amemjengea, kwa maana alisema, “Mke wangu lazima asiishi kataika nyumba ya Daudi mfalme wa Israeli, kwa sababu kila linapokuja sanduku la Yahwe ni takatifu”.
12 Wtedy Salomon złożył PANU całopalenia na ołtarzu PANA, który zbudował przed przedsionkiem;
Kisha Selemani akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu yake ambayo alikuwa ametengeza mbele ya ukumbi.
13 Zgodnie ze zwyczajem, składając każdego dnia według nakazu Mojżesza, w szabaty, w dni nowiu księżyca i w uroczyste święta, trzy razy w roku: w Święto Przaśników, w Święto Tygodni i w Święto Namiotów.
Akatoa sadaka kama ilivyohitaka katika ratiba ya kila siku; akazitoa, kwa kufuata maelekezo yaliyokuwa katika amari ya Musa, katika siku za Sabato, miezi mipya, na katika siku zilizopangwa mara tatu kila mwaka: Sikukuu ya mikate isiyochachwa, sikukuu ya majuma, na sikuku ya vibanda.
14 I ustanowił według rozporządzenia Dawida, swojego ojca, zmiany kapłanów w ich służbie oraz Lewitów w ich obowiązkach, aby chwalili [Boga] i służyli przy kapłanach według ustalonego porządku każdego dnia. Odźwiernych też ustanowił według ich zmian przy każdej bramie. Taki bowiem [był] rozkaz Dawida, męża Bożego.
Katika kuyatunza maagizo ya baba yake Daudi, Selemani akayapanga makundi ya makuhani kwenye kazi yao, na Walawi kwenye nafasi zao, ili kumsisfu Mungu na kuhudumu mbele za makuhani, kama ilivyotakiwa katika ratiba ya kila siku. Pia akawateua walinda lango kwa zamu zao kwa kila lango, kwa maana Daudi, mtu wa Mungu, alikuwa ameagiza hivyo pia.
15 I nie odstąpiono w żadnej sprawie od rozkazu króla dotyczącego kapłanów i Lewitów oraz skarbów.
Watu hawa hawakupotea kutoka kwenye amri ya mfalme kwa makuhani na Walawi kuhusu jambo lolote, au kuhusu vyumba vya hazina.
16 I tak zostały przygotowane wszystkie dzieła Salomona od dnia, w którym położono fundamenty domu PANA, aż do jego ukończenia. W ten sposób został dokończony dom PANA.
Kazi yote aliyoagizwa na Selemani ikakamilika, kutoka siku msingi wa nyumba ya Yahwe ulipowekwa hadi ilipokamilika. Nyumba ya Yahwe ikamalizika.
17 Wtedy Salomon wyruszył do Esjon-Geber i do Elot nad brzegiem morza w ziemi Edomu.
Kisha Selemani akaenda Esion geberi, na Elothi, juu ya pwani katika nchi ya Edomu.
18 I Huram za pośrednictwem swoich sług, posłał mu okręty i żeglarzy obeznanych z morzem. Wraz ze sługami Salomona popłynęli do Ofiru, wzięli stamtąd czterysta pięćdziesiąt talentów złota i przywieźli [je] do króla Salomona.
Hiramu akatuma meli zake kupitia watumishi wake ambao walikuwa wana maji wenye uzoefu. Wakasafiri na Selemani na watumishi wa Semani hadi Ofiri. Wakachukua kutoka huko talanta 450 za dhahabu ambazo walimletea Selemani.