< II Kronik 19 >

1 A Jehoszafat, król Judy, wrócił do swojego domu w pokoju, do Jerozolimy.
Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
2 I wyszedł mu naprzeciw widzący Jehu, syn Chananiego, i powiedział do króla Jehoszafata: Czy powinieneś był pomagać bezbożnym i miłować tych, którzy nienawidzą PANA? Przez to właśnie [wisi] nad tobą gniew PANA.
Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
3 Znalazły się jednak dobre czyny w tobie, bo powycinałeś gaje z ziemi i przygotowałeś swoje serce, aby szukać Boga.
Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
4 Zamieszkał więc Jehoszafat w Jerozolimie. I znowu wyruszył na objazd do ludu, od Beer-Szeby aż do góry Efraim, i nawrócił ich do PANA, Boga swoich ojców.
Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
5 I ustanowił sędziów w ziemi we wszystkich warownych miastach Judy, w każdym mieście.
Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
6 I powiedział do sędziów: Uważajcie na to, co czynicie, bo sądzicie nie dla człowieka, ale dla PANA, który jest z wami podczas sprawowania sądu.
Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
7 Niech więc będzie w was bojaźń PANA. Strzeżcie się i czyńcie [sprawiedliwość]. Nie ma bowiem nieprawości u PANA, Boga naszego, i nie ma względu na osoby ani przyjmowania darów.
Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
8 Także i w Jerozolimie Jehoszafat ustanowił [niektórych] spośród Lewitów, kapłanów i naczelników rodów Izraela dla sądu PANA i do [rozstrzygania] sporów tych, którzy się udawali do Jerozolimy.
Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
9 I nakazał im: Czyńcie to w bojaźni PANA, wiernie i doskonałym sercem.
Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
10 A przy wszystkich sporach, które wam przedłożą wasi bracia mieszkający w swoich miastach, czy dotyczą one przelania krwi, czy prawa, przykazania, ustaw czy sądów, napominajcie ich, aby nie grzeszyli przeciwko PANU, aby gniew nie spadł na was i na waszych braci. Tak czyńcie, a nie zgrzeszycie.
Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
11 A oto najwyższy kapłan Amariasz [będzie] postawiony nad wami we wszystkich sprawach PANA, a Zebadiasz, syn Izmaela, książę w domu Judy – we wszystkich sprawach króla. Lewici będą również waszymi urzędnikami. Umacniajcie się i czyńcie [tak], a PAN będzie z dobrym.
Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”

< II Kronik 19 >