< I Samuela 2 >

1 Wtedy Anna modliła się i powiedziała: Moje serce raduje się w PANU, mój róg jest wywyższony w PANU. Moje usta szeroko otworzyły się przeciwko moim wrogom, gdyż raduję się z twego zbawienia.
Hana aliomba akasema, “moyo wangu wamtukuza BWANA. Pembe yangu imejulikana katika BWANA. Kinywa changu kinatamba dhidi ya maadui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
2 Nikt nie jest tak święty jak PAN. Nie ma bowiem nikogo oprócz ciebie i nikt nie jest taką skałą jak nasz Bóg.
Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA, kwa kuwa hakuna mwingine zaidi yako; hakuna mwamba kama Mungu wetu.
3 Nie mówcie już pysznych słów i niech z waszych ust nie wychodzą słowa wyniosłe. PAN bowiem [jest] Bogiem wiedzy, on waży czyny.
Msijivune sana hivyo kwa kiburi; vinywa vyenu visitoke majivuno. Kwa kuwa BWANA ni Mungu wa maarifa; yeye huyapima matendo kwa mizani.
4 Łuki mocarzy [zostały] złamane, a słabi są przepasani mocą.
Pinde za mashujaa zimevunjika, bali wale wanaojikwaa hujivika nguvu kama mshipi.
5 Syci najmują się za chleb, a głodni przestali [głodować]. Nawet niepłodna urodziła siedmioro, a wielodzietna więdnie.
Wale walio na shibe ya kutosha wamejikodisha ili wapate chakula; wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Hata yule aliye kuwa tasa amezaa watoto saba, bali mwanamke mwenye watoto wengi amenyong'onyea.
6 PAN zabija i ożywia, wprowadza do grobu i wyprowadza. (Sheol h7585)
BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol h7585)
7 PAN czyni ubogim i bogatym, poniża i wywyższa.
BWANA humfanya maskini, na yeye ndiye humtajirisha mtu. Yeye hudhili, lakini pia hukweza
8 Podnosi z prochu ubogiego, a z gnoju podnosi żebraka, by posadzić ich z książętami i pozwolić im odziedziczyć tron chwały. Do PANA bowiem należą filary ziemi, na nich osadził świat.
Yeye humwinua juu maskini toka mavumbini: Huwainua wahitaji toka jalalani na kuwaketisha pamoja na wakuu na kuwarithisha kiti cha enzi cha utukufu. Kwa kuwa nguzo za dunia ni za BWANA na ameukalisha ulimwengu juu yake.
9 Strzeże stóp swych świętych, a bezbożni zamilkną w ciemności, bo nie swoją siłą zwycięży człowiek.
Yeye atazilinda nyayo za watu wake waaminifu, bali waovu watanyamazishwa gizani, kwa maana hakuna atayeshinda kwa nguvu zake.
10 PAN pokruszy swoich przeciwników i zagrzmi przeciwko nim z nieba. PAN będzie sądził krańce ziemi, udzieli siły swemu królowi i wywyższy róg swego pomazańca.
Wale wampingao BWANA watavunjwa vipande vipande; atawapiga radi kutokea mbinguni. BWANA atahukumu miisho ya dunia; atampa nguvu mfalme wake na kuinua pembe ya mtiwa mafuta wake.”
11 Potem Elkana wrócił do Rama, do swego domu, a dziecko służyło PANU przy kapłanie Helim.
Nndipo Elikana akenda Rama, nyumbani kwake. Na yule mtoto akamtumikia BWANA machoni pa Eli, kuhani.
12 Lecz synowie Heliego byli synami Beliala i nie znali PANA.
Basi, watoto wa Eli walikuwa wakorofi. Wao hawakumheshimu BWANA.
13 Był bowiem taki zwyczaj kapłanów wobec ludu: kiedy ktoś składał ofiarę, sługa kapłana przychodził, gdy mięso się gotowało, z trójzębnymi widelcami w ręce.
Desturi ya makuhani na watu ilikuwa kwamba endapo mtu yeyote ametoa dhabihu, mtumishi wa kuhani angekuja akiwa na uma wa meno matatu mkononi mwake, nyama ilipokuwa inatokoswa.
14 I wkładał je do garnka, kotła, rondla lub misy i to, co wyjął widełkami, kapłan zabierał dla siebie. Tak czynili w Szilo wszystkim Izraelitom, którzy tam przychodzili.
Naye angeutia uma huo sufuriani, au birikani au chomboni au chunguni; nyama yote ambayo ingeinuliwa na uma huo ingetwaliwa na kuhani mwenyewe. Ndivyo walivyofanya huko Shilo kwa Waisraeli wote waliokwenda huko.
15 Ponadto, zanim jeszcze spalono tłuszcz, przychodził sługa kapłana i mówił do człowieka składającego ofiary: Daj mięso na pieczeń dla kapłana, bo nie weźmie on od ciebie mięsa gotowanego, tylko surowe.
Tena, kabla ya kuteketeza mafuta, mtumishi wa kuhani alikuja, na kumwambia aliyekuwa akitoa dhabihu, “Tenga nyama ya kuchoma kwa ajili ya kuhani; kwa sababu hataikubali ile ya kutokosa kutoka kwako, bali tu ile mbichi.”
16 A jeśli taki człowiek mu odpowiedział: Niech najpierw spalą tłuszcz, a potem weź sobie, czego pragnie twoja dusza, wtedy on mówił: Nic z tego! Daj teraz! A jeśli nie dasz, zabiorę siłą.
Ikiwa mtu atamwambia, “Wachome mafuta kwanza, na kisha uchukue kiasi utakacho.” Ndipo angesema, “Hapana, utanipatia sasa hivi; la sivyo; Nitaichukua kwa lazima.”
17 Tak więc grzech tych sług był bardzo wielki przed PANEM, gdyż ludzie lekceważyli ofiary PANA.
Dhambi ya vijana hawa ilikuwa mbaya sana mbele za BWANA, kwa sababu waliidharau dhabihu ya BWANA.
18 Samuel zaś służył przed PANEM jako chłopiec, przepasany lnianym efodem.
Lakini Samweli alimtumikia BWANA akiwa mdogo akivaa nguo ya naivera ya kitani.
19 A jego matka robiła mu mały płaszcz i przynosiła mu [go] co roku, gdy chodziła z mężem składać doroczną ofiarę.
Kila mwaka mama yake alimtengenezea kanzu dogo na kumletea, wakati wakija na mmewe kutoa dhabihu ya kila mwaka.
20 I Heli błogosławił Elkanie i jego żonie, mówiąc: Niech PAN da ci potomstwo z tej kobiety za uproszonego, którego oddała PANU. I wracali do swojego domu.
Eli aliwabariki Elikana na mke wake na kusema, “BWANA akupatie watoto zaidi kwa mwanamke huyu kwa sababu ya ahadi yake aliyoitoa kwa BWANA.” Baadaye walirudi nyumbani kwao.
21 I PAN nawiedził Annę, a ona poczęła i urodziła trzech synów i dwie córki. A chłopiec Samuel dorastał przed PANEM.
BWANA alimsaidia tena Hana, akawa amebeba mimba nyingine. Akazaa watoto watatu wa kiume na wa kike wawili. Wakati huo huo mtoto Samweli akakua akiwa mbele za BWANA.
22 Heli zaś bardzo się zestarzał i usłyszał o wszystkim, co jego synowie czynili wobec całego Izraela, oraz o tym, że obcowali z kobietami, które się zbierały przy wejściu do Namiotu Zgromadzenia.
Basi Eli alikuwa mzee sana, akayasikia yote ambayo watoto wake walikuwa wakiwafanyia Waisraeli wote, na jinsi walivyotembea na mwanamke aliyekuwa akitumika katika lango la hema ya kukutania.
23 I powiedział do nich: Dlaczego czynicie takie rzeczy? Słyszę o waszych złych czynach od całego ludu.
Akawaambia, “Kwa nini mnafanya mambo hayo? Kwa maana nasikia matendo yenu maovu kutoka kwa watu hawa wote.”
24 Nie, moi synowie, gdyż niedobra to wieść, którą słyszę. Doprowadzacie lud PANA do przestępstwa.
Sivyo hivyo, watoto wangu, maana hii ninayoisikia siyo taarifa njema. Mnawakosesha watu wa BWANA.
25 Jeśli człowiek zgrzeszy przeciw człowiekowi, będzie go sądzić sędzia, ale jeśli człowiek zgrzeszy przeciw PANU, któż się za nim wstawi? Oni jednak nie posłuchali głosu swego ojca, bo PAN chciał ich zabić.
“Kama mtu mmoja akimkosea mwenzake, Mungu atamhukumu; Lakini mtu akimkosea BWANA, ni nani atakayemtetea mtu huyo?” Lakini hawakuitii sauti ya baba yao, sababu BWANA alinuia kuwaua.
26 A chłopiec Samuel rósł i podobał się zarówno PANU, jak i ludziom.
Yule mtoto Samweli aliongezeka umri, na kupata kibali kwa BWANA na kwa watu pia.
27 Potem przyszedł mąż Boży do Heliego i powiedział mu: Tak mówi PAN: Czy nie objawiłem się wyraźnie domowi twego ojca, gdy byli w Egipcie w domu faraona?
Kisha mtu wa Mungu akamwendea Eli na kumwambia, “BWANA asema, 'Je, sikujifunua mwenyewe kwa nyumba ya baba zako, walipokuwa Misri utumwani nyumbani mwa Farao?
28 I wybrałem go sobie spośród wszystkich pokoleń Izraela na kapłana, aby składał ofiary na moim ołtarzu, palił kadzidło i nosił efod przede mną. Dałem też domowi twego ojca wszystkie ofiary ogniowe od synów Izraela.
Mimi nilimchagua yeye kutoka makabila yote ya Israeli awe kuhani wangu, apande madhabahuni kwangu, na kufukiza uvumba, na kuvaa kanzu ya naivera mbele yangu. Niliwapa nyumba ya baba zako dhabihu zote za wana wa Israeli zilizotolewa kwa moto.
29 Dlaczego podeptaliście moją ofiarę krwawą i pokarmową, które rozkazałem [składać] w przybytku? Dlaczego [bardziej] uczciłeś swoich synów ode mnie, abyście utuczyli się z pierwocin wszystkich ofiar pokarmowych Izraela, mojego ludu?
Kwanini basi, unaidharau dhabihu yangu na sadaka ambazo ninazitaka mahali ninapoishi? Kwanini unawaheshimu watoto wako kuliko mimi, kwa kujinenepesha ninyi wenyewe kwa uzuri wa kila sadaka ya watu wangu Israeli?'
30 Dlatego PAN, Bóg Izraela, mówi: Wprawdzie powiedziałem: Twój dom i dom twego ojca będzie chodzić przede mną na wieki, ale teraz PAN mówi: Nie będzie tak! Tych bowiem, którzy mnie czczą, ja będę czcić, a ci, którzy mną gardzą, będą wzgardzeni.
Maana, BWANA, Mungu wa Isareli, asema, niliahidi kwamba nyumba yako, na nyumba ya baba yako, yawapasa kwenda mbele zangu milele,' Lakini sasa BWANA asema. 'Mambo haya yapishe mbali. nami nisifanye hivi, maana nitawaheshimu wanaoniheshimu, bali wanaonidharau mimi hawatakuwa na thamani.
31 Oto nadchodzą dni, gdy odetnę twe ramię i ramię domu twego ojca, aby już nie było starca w twoim domu;
Tazama, siku zinakuja nitakapoondoa nguvu zako na nguvu za nyumba za baba yako, ili kwamba pasije kuwepo mtu mzee katika nyumba yako.
32 I zobaczysz przeciwnika w przybytku, wśród całego szczęścia, którego Bóg udzieli Izraelowi, i nie będzie starca w twoim domu po wszystkie dni.
Nawe utalitazama hangaiko katika makao yangu. Ingawa Israeli watapewa jambo jema, hapatakuwapo tena mtu yeyote mzee katika nyumba yako.
33 Lecz nie wytracę od swego ołtarza każdego człowieka spośród ciebie, aby trapić twe oczy i ścisnąć boleścią twoją duszę. Cały przyrost twego domu umrze w sile wieku.
Yeyote miongoni mwenu nisiye mwondoa kutoka madhabahuni pangu, Nitasababisha macho yenu yaanguke, na ita nitasababisha huzuni maishani mwenu. Wanaume wote waliozaliwa katika familia yako watakufa.
34 A to będzie znakiem, który przyjdzie na twoich dwóch synów, Chofniego i Pinchasa: obydwaj umrą tego samego dnia.
Hii ndiyo itakuwa ishara kwako ambayo itawaijia watoto wako wakiume wawili, juu ya Hofni na Finehasi: Wote wawili watakufa siku moja.
35 I wzbudzę sobie kapłana wiernego, [który] będzie postępował według mego serca i mojej myśli. Zbuduję mu trwały dom, a on będzie chodził przed moim pomazańcem po wszystkie dni.
Nami nitamwinua juu kuhani wangu mwaminifu atakaye fanya kile kilichomo moyoni mwangu na nafisini mwangu. Nami nitamjengea nyumba madhubuti; naye atakwenda mbele ya mfalme wangu mbarikiwa milele.
36 I stanie się tak, że ktokolwiek pozostanie w twoim domu, ten przyjdzie i pokłoni mu się za srebrną monetę i za kawałek chleba, mówiąc: Dopuść mnie, proszę, do jednego z [urzędów] kapłańskich, abym mógł jeść kawałek chleba.
Kila mmoja aliyebakia nyumbani mwako atakuja na kusujudu mbele ya mtu huyo, akiomba kipande cha fedha na mkate mmoja, naye atasema, “Tafadhali uniajiri katika moja ya nafasi za kuhani ili niweze kula kipande cha mkate'”'

< I Samuela 2 >