< I Królewska 4 >
1 Tak więc król Salomon był królem nad całym Izraelem.
Mfalme Sulemani alikuwa mfalme wa Israeli.
2 A oto jego dostojnicy: Azariasz, syn Sadoka, kapłan.
Hawa ndio waliokuwa wakuu wake: Azaria mwana wa Sadoki alikuwa kuhani.
3 Elichoref i Achiasz, synowie Sziszy, pisarze; Jehoszafat, syn Achiluda, kronikarz.
Elihorefu na Ahiya mwana wa Shisha, walikuwa makatibu. Yehoshafati mwana wa Ahilui alikuwa mwandishi.
4 Benajasz, syn Jehojady, dowódca wojska; Sadok i Abiatar, kapłani.
Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mkuu wa jeshi. Sadoki na Abiatahari walikuwa makuhani.
5 Azariasz, syn Natana, przełożony namiestników, Zabud, syn Natana, naczelny dostojnik, przyjaciel króla.
Azaria mwana wa Natahani ndiye aliyekuwa juu ya hawa maakida. Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani na rafiki wa mfalme.
6 Achiszar, przełożony dworu, i Adoniram, syn Abdy, odpowiedzialny za daninę.
Ahishari alikuwa mkuu wa nyumba. Adoniramu mwana wa Abda alikuwa mkuu wa watenda kazi.
7 Salomon miał też dwunastu namiestników nad całym Izraelem, którzy zaopatrywali króla i cały jego dwór w żywność. Każdy z nich przez jeden miesiąc w roku miał dostarczać żywność.
Sulemani alikuwa na maakida kumi na wawili juu ya Israeli yote, ambao walitoa chakula kwa mfalme na watu wake wote. Kila mtu alikuwa na zamu ya kuhudumia kwa mwezi mmoja katka mwaka.
8 A oto ich imiona: syn Chura – na górze Efraim;
Majina yao yalikuwa ndiyo haya: Beni Huri, Kutoka milima ya Efraimu;
9 Syn Dekara – w Makas, Szaalbim – w Bet-Szemesz i Elon-Bet-Chanan;
Beni Dekeri wa Makazi, Shaalibimu, Bethi Shemeshi, na Elonbethi Hanaan;
10 Syn Cheseda – w Arubot, do niego [należało] Soko i cała ziemia Chefer;
Beni Hesed, wa Arubothi (kutoka kwake alipatikana Sokohi na nchi yote ya Hefa);
11 Syn Abinadaba – nad całym obszarem Dor; jego żoną była Tafat, córka Salomona.
Ben Abinadabu, wa wilaya yote ya Dori (alikuwa na Tafathi binti wa mfalme ambaye alikuwa mke wake);
12 Baana, syn Achiluda, [do którego należały] Tanak i Megiddo oraz całe Bet-Szean, które leży przy Sartan pod Jizreelem, od Bet-Szean aż do Abel-Mechola, aż poza Jokmeam.
Baana mwana wa Ahiludi, wa Taanaki na Megido, na Beth Shani iliyo upande mwingine wa Zarethani chini ya Yezreel, Kutoak Bethi Shani mpaka Abeli Mehola iliyo upande mwingine wa Jokimeamu;
13 Syn Geber – w Ramot-Gilead, do niego należały wsie Jaira, syna Manassesa, które [leżą] w Gileadzie. Do niego też należała kraina Argob, która [jest] w Baszanie – sześćdziesiąt wielkich miast mających mury i brązowe rygle.
Ben Geberi, ya Ramothi Gileadi (kutoka kwake tunapata miji ya Yairi mwana wa Manase, ambayo iko Gileadi, na mkoa wa Arigobu ulikuwa wake, ambao uko Bashani, miji sitini yenye maboma na yenye nguzo za malango ya shaba);
14 Achinadab, syn Iddo – w Machanaim.
Ahinadabu mwana wa Ido, wa Mahanaimu;
15 Achimaas – w Neftalim; on też pojął za żonę Basemat, córkę Salomona.
Ahimaazi, wa Naftali (ambaye pia alimwoa Basimathi binti wa Sulemani kuwa mke wake);
16 Baana, syn Chuszaia – w Aszer i Alot.
Baana mwana wa Hushai, ya Asherina Bealothi;
17 Jehoszafat, syn Paruacha – w Issacharze.
Yehoshafati mwana wa Paruha, kwa Isakari;
18 Szimei, syn Eli – w Beniaminie.
Shimei mwana wa Ela, wa Benjamini;
19 Geber, syn Uriego – w ziemi Gilead, ziemi Sichona, króla Amorytów, i Oga, króla Baszanu. Był on jedynym namiestnikiem tej ziemi.
na Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi, ambayo ni nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na Ogi mfalme wa Bashani, na yeye ndiye akida pekee aliyekuwa katika nchi hiyo.
20 A Juda i Izrael [byli] tak liczni jak piasek nad morzem. Jedli, pili i radowali się.
Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa baharini. Nao walikuwa wakila na kunywa na kufurahi.
21 A Salomon panował nad wszystkimi królestwami od rzeki aż do ziemi Filistynów, aż do granicy Egiptu. Płaciły one daninę i służyły Salomonowi po wszystkie dni jego życia.
Suleimani alitawala utawala wote kutoka mtoni hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Wote walileta kodi na walimtumikia Sulemani katika siku za maisha yake yote.
22 Wyżywienie dla Salomona na jeden dzień wynosiło trzydzieści kor najlepszej mąki i sześćdziesiąt kor zwykłej mąki.
Mahitaji ya Sulemani kwa siku moja yalikuwa ni Kori thelathini za unga mzuri na kori unga wa ngano,
23 Dziesięć tucznych wołów, dwadzieścia wołów z pastwiska, sto owiec, nie licząc jeleni, saren, danieli i tucznego drobiu.
makisai kumi walionona, na fahari ishirini wa malisho, na kondoo mia moja, nje ya ayala, paa, na kulungu na kuku walionona.
24 Panował bowiem nad całym obszarem z tej strony rzeki, od Tifsach aż do Gazy, nad wszystkimi królami z tej strony rzeki. I miał pokój ze wszystkich stron dokoła.
Kwa kuwa utawala wake ulikuwa zaidi ya nchi yote upande huu wa mto, kutoka Tifsa mpaka Gaza, juu ya wafalme wote wa upande huu wa mto, naye alikuwa na amani pande zote.
25 Juda i Izrael mieszkali bezpiecznie, każdy pod swoją winoroślą i pod swoim drzewem figowym, od Dan aż do Beer-Szeby, po wszystkie dni Salomona.
Yuda na Israeli waliishi kwa usalama, kila mtu chini y a mzabibu wake na chini ya mtini wake, kutoka Dani mpaka Beerisheba, siku zote za Sulemani.
26 Salomon miał też czterdzieści tysięcy koni w stajniach do swoich rydwanów i dwanaście tysięcy jeźdźców.
Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi arobaini elfu kwa ajili ya magari yake, na wapanda farasi elfu kumi na mbili.
27 Namiestnicy, każdy w swoim miesiącu, zaopatrywali w żywność króla Salomona i wszystkich, którzy przychodzili do stołu króla Salomona, tak że niczego nie brakowało.
Na maakida walileta chakula kwa Sulemani na kwa wale walioketi kwenye meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake. Walihakikisha hakuna kinachopungua.
28 Także jęczmień i słomę dla koni i mułów sprowadzali na to miejsce, gdzie [one] przebywały, każdy według swojego obowiązku.
Na pia walileta kwenye eneo husika shayiri na majani kwa ajili ya wale farasi wa magari na kwa wale farasi wa mbio kila mmoja alileta kadri alivyoweza.
29 A Bóg dał Salomonowi mądrość i bardzo wielkie zrozumienie oraz przestronność serca jak piasek, który jest na brzegu morskim.
Mungu alimpa Sulemani hekima kubwa, ufahamu, na upana wa uelewa kama mchanga wa baharini.
30 I mądrość Salomona była większa od mądrości wszystkich narodów wschodnich i od wszelkiej mądrości Egiptu.
Hekima ya Sulemani ilizidi hekima ya watu wote wa mashariki na hekima yote ya Misri.
31 Był mądrzejszy niż wszyscy ludzie, niż Etan Ezrachita, Heman, Kalkol i Darda, synowie Machola. Był sławny wśród wszystkich okolicznych narodów.
Alikuwa na hekima kuliko wanaume wote - kuliko Ethani Muezrahi, Hemani, Kaliko, na Darda, wana wa Maholi - na habari zake zikaenea hadi kwenye mataifa yote yaliyomzunguka.
32 Wypowiedział trzy tysiące przysłów, a jego pieśni było tysiąc pięć.
Aliongea mithali elfu tatu na idadi ya nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.
33 Wypowiadał się też o drzewach, [poczynając] od cedru na Libanie aż do hizopu, który wyrasta z muru. Mówił też o zwierzętach, ptakach, płazach i rybach.
Aliifafanua mimea, kuanzia mierezi iliyoko Lebanoni hadi Hisopo imeao ukutani. Aliwafafanua wanyama, ndege, vitu vitambaavyo na samaki. Watu walikuja kutoka mataifa yote kuisikia hekima ya Sulemani.
34 Przychodzili więc [ludzie] ze wszystkich narodów, aby słuchać mądrości Salomona, od wszystkich królów ziemi, którzy słyszeli o jego mądrości.
Watu walikuja kutoka falme zote za duniani waliosikia juu ya hekima yake.