< I Kronik 9 >
1 Tak wszyscy Izraelici byli spisani w rodowodach, a oto zostały one zapisane w księdze królów Izraela i Judy, [a] ci zostali uprowadzeni do Babilonu z powodu swego przestępstwa.
Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.
2 Pierwszymi mieszkańcami, którzy weszli do swych posiadłości w swoich miastach, byli Izraelici, kapłani, Lewici i Netinici.
Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.
3 W Jerozolimie mieszkali spośród synów Judy, Beniamina, Efraima i Manassesa:
Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.
4 Utaj, syn Ammihuda, syna Omriego, syna Imriego, syna Baniego, z synów Peresa, syna Judy.
Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.
5 Z Szilonitów: pierworodny Asajasz i jego synowie.
Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.
6 Z synów Zeracha: Jeuel i ich braci, sześciuset dziewięćdziesięciu.
Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
7 Z synów Beniamina: Sallu, syn Meszullama, syna Hodawiasza, syna Hassenuy;
Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.
8 I Jibnejasz, syn Jerochama, Ela, syn Uzziego, syna Mikriego, i Meszullam, syn Szefatiasza, syna Reuela, syna Jibniasza.
Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.
9 Ich braci według rodowodów [było] dziewięćset pięćdziesięciu sześciu. Ci wszyscy [byli] naczelnikami rodów według domów swoich ojców.
Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
10 Z kapłanów: Jedajasz, Jehojarib, Jakin;
Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.
11 I Azariasz, syn Chilkiasza, syna Meszullama, syna Sadoka, syna Merajota, syna Achituba, przełożonego domu Bożego;
Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.
12 I Adajasz, syn Jerochama, syna Paszchura, syna Malkiasza, i Maasaj, syn Adiela, syna Jachzery, syna Meszullama, syna Meszillemita, syna Immera;
Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.
13 Ich braci, naczelników swoich rodów, [było] tysiąc siedmiuset sześćdziesięciu, ludzi zdolnych do pełnienia służby w domu Bożym.
Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
14 A z Lewitów: Szemejasz, syn Chaszuba, syna Azrikama, syna Chaszabiasza, z synów Merariego;
Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.
15 I Bakbakar, Cheresz, Galal, Mattaniasz, syn Micheasza, syna Zikriego, syna Asafa;
Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.
16 I Obadiasz, syn Szemajasza, syna Galala, syna Jedutuna, i Berechiasz, syn Asy, syna Elkany, który mieszkał we wsiach Netofatytów.
Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.
17 A odźwierni: Szallum, Akkub, Talmon, Achiman i ich bracia. Szallum [był ich] zwierzchnikiem;
Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.
18 [Który] aż dotąd [stawał] przy bramie królewskiej od wschodu. Ci byli odźwiernymi w obozach synów Lewiego.
Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
19 Szallum, syn Korego, syna Ebiazafa, syna Koracha, i jego bracia z domu jego ojca, Korachici, pełnili służbę, [byli] stróżami progów namiotu, a ich ojcowie byli stróżami wejścia do obozu PANA.
Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.
20 Pinchas, syn Eleazara, był niegdyś zwierzchnikiem nad nimi, a PAN był z nim.
Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.
21 Zachariasz, syn Meszelemiasza, [był] odźwiernym przy wejściu do Namiotu Zgromadzenia.
Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”
22 Wszystkich wybranych na odźwiernych przy bramach było dwustu dwunastu. Byli oni policzeni według ich rodowodu w swoich osiedlach, a ustanowił ich Dawid i Samuel, widzący.
Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.
23 Oni więc i ich synowie [czuwali] nad bramami domu PANA, w domu namiotu, jako stróże.
Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.
24 Odźwierni znajdowali się z czterech stron: od wschodu, od zachodu, od północy i od południa.
Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.
25 Ich bracia zaś, [mieszkający] w swoich osiedlach, przychodzili co siódmy dzień, w swoich porach, aby [być] z nimi.
Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.
26 Czterej bowiem naczelni odźwierni pełnili stałą służbę. [Byli] to Lewici [odpowiedzialni] za komnaty i skarbiec domu Bożego;
Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.
27 I nocowali dokoła domu Bożego, gdyż do nich należała straż i obowiązek otwierania [go] każdego ranka.
Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.
28 [Niektórzy] z nich mieli pieczę nad naczyniami do służby, by je wnosić i wynosić w tej samej liczbie.
Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.
29 [Inni] spośród nich byli ustanowieni [do opieki] nad naczyniami i przyborami Miejsca Najświętszego – nad mąką pszenną, winem, oliwą, kadzidłem i wonnościami.
Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.
30 A niektórzy z synów kapłanów sporządzali olejki z wonności.
Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.
31 Mattitiasz, spośród Lewitów, pierworodny Szalluma Korachity, był przełożonym nad tym, co przygotowane w patelniach.
Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.
32 [Niektórzy] ich bracia spośród synów Kehata [byli] ustanowieni [do opieki] nad chlebami pokładnymi, aby [je] przygotowywać w każdy szabat.
Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.
33 Ci [byli] śpiewakami, naczelnikami rodów Lewitów, którzy mieszkają w komnatach; byli wolni od innych zajęć, gdyż we dnie i w nocy zajmowali się tą służbą.
Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.
34 Byli oni naczelnikami rodów Lewitów, naczelnikami według swoich rodowodów, a mieszkali w Jerozolimie.
Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.
35 W Gibeonie mieszkał Jejel, ojciec Gibeona, a jego żona miała na imię Maaka;
Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.
36 A jego synem pierworodnym był Abdon, a następni to: Sur, Kisz, Baal, Neer, Nadab;
Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
37 I Gedor, Achio, Zachariasz, i Miklot.
Gedori, Ahio, Zekaria, na Mikloti.
38 A Miklot spłodził Szimmeama. Tamci również mieszkali ze swoimi braćmi w Jerozolimie naprzeciw swoich braci.
Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.
39 Neer spłodził Kisza, a Kisz spłodził Saula, a Saul spłodził Jonatana, Malkiszuę, Abinadaba i Eszbaala.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
40 Synem Jonatana [był] Meribbaal, a Meribbaal spłodził Micheasza.
Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.
41 Synowie zaś Micheasza to: Piton, Melek, Tarea i [Achaz].
Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.
42 Achaz spłodził Jarę, a Jara spłodził Alemeta, Azmaweta i Zimriego, a Zimri spłodził Mosę.
Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
43 Mosa spłodził Bineę, a jego synem [był] Rafa, jego synem [był] Elasa, jego synem [był] Asel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.
44 Asel miał sześciu synów, a oto ich imiona: Azrikam, Bokru, Izmael, Szeariasz, Obadiasz i Chanan. Ci [byli] synami Asela.
Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli