< Objawienie 4 >

1 Potemem widział, a oto drzwi były otworzone w niebie, a głos pierwszy, którym słyszał, jako trąby mówiącej ze mną, i rzekł: Wstąp sam, a pokażę ci, co się ma dziać napotem.
Baada ya mambo hayo nilitazama, nami nikaona mbele yangu mlango uliokuwa wazi mbinguni. Nayo ile sauti niliyokuwa nimeisikia hapo mwanzo ikisema nami kama tarumbeta ikasema, “Njoo, huku, nami nitakuonyesha yale ambayo hayana budi kutokea baada ya haya.”
2 A zarazem byłem w zachwyceniu ducha, a oto stolica postawiona była na niebie, a na stolicy siedziała osoba.
Ghafula nilikuwa katika Roho, na hapo mbele yangu kilikuwepo kiti cha enzi mbinguni, kikiwa kimekaliwa na mtu.
3 A ten, który siedział, podobny był na wejrzeniu kamieniowi jaspisowi i sardynowi; a około onej stolicy była tęcza, na wejrzeniu podobna szmaragdowi.
Aliyekuwa amekikalia alikuwa anaonekana kama yaspi na akiki. Kukizunguka kile kiti cha enzi palikuwa na upinde wa mvua ulioonekana kama zumaridi.
4 A około onej stolicy było stolic dwadzieścia i cztery; a na onych stolicach widziałem dwudziestu i czterech starców siedzących, obleczonych w szaty białe, a na głowach swoich mieli korony złote.
Kukizunguka hicho kiti cha enzi palikuwa na viti vingine vya enzi ishirini na vinne, na juu ya hivyo viti walikuwa wameketi wazee ishirini na wanne. Walivaa mavazi meupe, na walikuwa na taji za dhahabu vichwani mwao.
5 A z onej stolicy wychodziły błyskawice i gromy, i głosy, i siedm lamp ognistych gorejących przed stolicą, które są siedm duchów Bożych.
Kwenye kile kiti cha enzi palikuwa panatoka miali ya umeme wa radi, ngurumo na sauti za radi. Mbele ya kiti cha enzi, taa saba zilikuwa zinawaka. Hizi ndizo roho saba za Mungu.
6 A przed oną stolicą było morze szklane, podobne kryształowi, a w pośrodku stolicy i około stolicy czworo zwierząt pełnych oczu z przodku i z tyłu.
Pia mbele ya kiti cha enzi palikuwa na kile kilichoonekana kama bahari ya kioo, iliyokuwa angavu kama bilauri. Katikati, kukizunguka kile kiti cha enzi, kulikuwa na viumbe wanne wenye uhai, wakiwa wamejawa na macho mbele na nyuma.
7 A pierwsze zwierzę podobne było lwowi, a wtóre zwierzę podobne cielcowi, a trzecie zwierzę miało twarz jako człowiek, a czwarte zwierzę podobne było orłowi latającemu.
Kiumbe wa kwanza mwenye uhai alikuwa kama simba, wa pili alikuwa kama ngʼombe dume, wa tatu alikuwa na uso kama wa mwanadamu, na wa nne alikuwa kama tai anayeruka.
8 A oto każde z osobna z onych czterech zwierząt miało sześć skrzydeł wokoło, a wewnątrz były pełne oczów, a odpoczynku nie mają we dnie i w nocy, mówiąc: Święty, święty, święty Pan, Bóg wszechmogący, który był i jest, i przyjść ma.
Kila mmoja wa hawa viumbe wanne wenye uhai alikuwa na mabawa sita, na kujawa na macho pande zote hadi chini ya mabawa. Usiku na mchana hawaachi kusema:
9 A gdy one zwierzęta dawały chwałę i cześć, i dziękowanie siedzącemu na stolicy, żyjącemu na wieki wieków; (aiōn g165)
Kila mara viumbe hao wanne wenye uhai wanapomtukuza, kumheshimu na kumshukuru yeye aketiye kwenye kile kiti cha enzi, tena aishiye milele na milele, (aiōn g165)
10 Upadli dwadzieścia cztery starcy przed obliczem siedzącego na stolicy i kłaniali się żyjącemu na wieki wieków, i rzucali korony swoje przed stolicą, mówiąc: (aiōn g165)
wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake aketiye kwenye kiti cha enzi na kumwabudu yeye aliye hai milele na milele. Huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi, wakisema: (aiōn g165)
11 Godzieneś jest, Panie! wziąć chwałę i cześć, i moc; boś ty stworzył wszystkie rzeczy i za wolą twoją trwają, i stworzone są.
“Bwana wetu na Mungu wetu, wewe unastahili kupokea utukufu na heshima na uweza, kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako viliumbwa na vimekuwako.”

< Objawienie 4 >