< Psalmów 1 >

1 Błogosławiony mąż, który nie chodzi w radzie niepobożnych, a na drodze grzesznych nie stoi, i na stolicy naśniewców nie siedzi;
Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
2 Ale w zakonie Pańskim jest kochanie jego, a w zakonie jego rozmyśla we dnie i w nocy.
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
3 Albowiem będzie jako drzewo nad strumieniem wód w sadzone, które owoc swój wydaje czasu swego, a liść jego nie opada; i wszystko, cokolwiek czynić będzie, poszczęści się.
Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
4 Lecz nie tak niepobożni; ale są jako plewa, którą wiatr rozmiata.
Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Przetoż się niepobożni na sądzie nie ostoją, ani grzesznicy w zgromadzeniu sprawiedliwych.
Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Albowiem zna Pan drogę sprawiedliwych; ale droga niepobożnych zginie.
Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.

< Psalmów 1 >