< Psalmów 78 >

1 Pieśń wyuczająca podana Asafowi. Słuchaj, ludu mój! zakonu mego; nakłońcież uszów swych do słów ust moich.
Watu wangu, sikieni mafundisho yangu, sikilizeni maneno ya kinywa changu.
2 Otworzę w podobieństwie usta moje, a będę opowiadał przypowiastki starodawne.
Nitafungua kinywa changu katika mifano; nitaimba kuhusu mambo yaliyofichika yahusuyo yaliyopita.
3 Cośmy słyszeli, i poznali, i co nam ojcowie nasi opowiadali.
Haya ni mambo ambayo tumeyasikia na kujifunza mambo ambayo mababu zetu wametuambia sisi. Hatutawaficha uzao wao.
4 Nie zataimy tego przed synami ich, którzy przyszłym potomkom swoim opowiadać będą chwały Pańskie, i moc jego, i cuda jego, które uczynił.
Tutawaambia kizazi kijacho kuhusu sifa anazostahili Yahwe kwa matendo yake, nguvu zake, na maajabu ambayo ameyafanya.
5 Bo wzbudził świadectwo w Jakóbie, a zakon wydał w Izraelu; przykazał ojcom naszym, aby to do wiadomości podawali synom swoim,
Kwa kuwa yeye alianzisha agano la amri katika Yakobo na sheria maalumu katika Israeli. Yeye aliamuru mababu zetu kuwa walipaswa kuzifundisha kwa watoto wao.
6 Aby poznał wiek potomny, synowie, którzy się narodzić mieli, a oni zaś powstawszy, aby to opowiadali synom swoim;
Aliamuru hivi ili kwamba kizazi kijacho kiweze kuzijua amri zake, ili wawafundishe wana ambao bado hawajazaliwa.
7 Aby pokładali w Bogu nadzieję swoję, a nie zapominali na sprawy Boże, ale strzegli przykazań jego;
Kisha wangeweka tumaini lao katika Mungu na kutokusahau matendo yake bali wazishike amri zake.
8 Aby się nie stali jako ojcowie ich narodem odpornym i nieposłusznym, narodem, który nie wygotował serca swego, aby był wierny Bogu duch jego.
Ndipo wasingekuwa kama mababu zao, ambao walikuwa wakaidi na wenye uasi, kizazi ambacho mioyo yao haikuwa kamilifu, na ambao roho zao hazikuwa na nia thabiti na aminifu kwa Mungu.
9 Albo jako synowie Efraimowi zbrojni, którzy, choć umieli z łuku strzelać, wszakże w dzień wojny tył podali.
Waefraimu walikuwa na silaha na upinde, lakini walikimbia siku ya vita.
10 Bo nie przestrzegali przymierza Bożego, a według zakonu jego zbraniali się chodzić.
Hawakutunza agano na Mungu, na walikataa kutii sheria yake.
11 Zapomnieli na sprawy jego, i na dziwne dzieła jego, które im pokazywał.
Walisahau matendo yake, mambo ya ajabu ambayo yeye amewaonesha wao.
12 Przed ojcami ich czynił cuda w ziemi Egipskiej, na polu Soan.
Walisahau mambo ya ajabu aliyofayafanya machoni pa mababu zao katika nchi ya Misri, katika ardhi ya Soani.
13 Rozdzielił morze, i przeprowadził ich, i sprawił, że stanęły wody jako kupa.
Aliigawa bahari na akawaongoza katikati ya bahari; aliyafanya maji yasimame kama kuta.
14 Prowadził ich w obłoku we dnie, a każdej nocy w jasnym ogniu.
Wakati wa mchana aliwaongoza kwa wingu na usiku wote kwa nuru ya moto.
15 Rozszczepił skały na puszczy, a napoił ich, jako z przepaści wielkich.
Alipasua miamba jangwani, na aliwapa maji mengi, ya kutosha kujaza vina virefu vya bahari.
16 Wywiódł strumienie ze skały, a uczynił, że wody ciekły jako rzeki.
Alifanya maporomoko ya maji kutiririka tokea mwambani na aliyafanya maji yatiririke kama mito.
17 A wszakże oni przyczynili grzechów przeciwko niemu, a wzruszyli Najwyższego na puszczy do gniewu;
Lakini bado waliendelea kutenda dhambi dhidi yake, wakiasi dhidi ya Aliye Juu katika jangwa.
18 I kusili Boga w sercu swem, żądając pokarmu według lubości swojej.
Walimjaribu Mungu mioyoni mwao kwa kuomba chakula cha kuwatosheleza hamu zao.
19 A mówili przeciwko Bogu temi słowy: Izali może Bóg zgotować stół na tej puszczy?
Waliongea dhidi ya Mungu; walisema, “Kweli Mungu anaweza kuweka meza ya chakula kwa ajili yetu jangwani?
20 Oto uderzył w skałę, a wypłynęły wody, i rzeki wezbrały; izali też będzie mógł dać chleb? Izali nagotuje mięsa ludowi swemu?
Tazama, wakati alipoupiga mwamba, maji yalibubujika, mito ikafurika. Lakini anaweza kutoa mkate tena? Ataweza kuleta nyama kwa watu wake?”
21 Przetoż usłyszawszy to Pan, rozgniewał się, a ogień się zapalił przeciw Jakóbowi, także i popędliwość powstała przeciw Izraelowi;
Yahwe aliposikia haya, alikasirika; moto wake uliwaka dhidi ya Yakobo, hasira yake ikamshambulia Israeli,
22 Przeto, iż nie wierzyli Bogu, a nie mieli nadziei w zbawieniu jego.
kwa sababu hawakumwamini Mungu na hawakuamini katika wokovu wake.
23 Choć był rozkazał obłokom z góry, i forty niebieskie otworzył.
Lakini yeye bado aliziamuru mbingu juu na kufungua milango ya mbingu.
24 I spuścił im jako deszcz mannę ku pokarmowi, a pszenicę niebieską dał im.
Aliwanyeshea mana ili wale, na aliwapa nafaka kutoka mbinguni.
25 Chleb mocarzów jadł człowiek, a zesłał im pokarmów do sytości.
Watu walikula mikate ya malaika. Aliwatumia chakula kingi.
26 Obrócił wiatr ze wschodu na powietrzu, a przywiódł mocą swą wiatr z południa;
Alisababisha upepo wa mashariki kupiga mawinguni, na kwa uweza wake aliuongoza upepo wa kusini.
27 I spuścił na nich mięso jako proch, i ptastwo skrzydlate jako piasek morski;
Aliwanyeshea nyama kama mavumbi, na ndege kama wingi wa mchanga wa baharini.
28 Spuścił je w pośród obozu ich, wszędy około namiotów ich.
Walianguka katikati ya kambi yao, na maeneo yote karibu na hema zao.
29 I jedli, a nasyceni byli hojnie, i dał im, czego żądali.
Hivyo walikula na walishiba. Maana aliwapa kile walichokitamani sana.
30 A gdy jeszcze nie wypełnili żądości swej, gdy jeszcze pokarm był w ustach ich:
Lakini walikuwa bado hawajatosheka; chakula chao kilikuwa bado kinywani mwao.
31 Tedy zapalczywość Boża przypadła na nich, i pobił tłustych ich, a przedniejszych z Izraela poraził.
Ndipo hasira ya Mungu iliwashambulia na kuwaua wenye nguvu kati yao. Aliwaangusha chini vijana wa Israeli.
32 Ale w tem wszystkiem jeszcze grzeszyli, i nie wierzyli cudom jego;
Licha ya hili, waliendelea kutenda dhambi na hawakuyaamini matendo yake ya ajabu.
33 Przetoż sprawił, że marnie dokonali dni swoich, i lat swoich w strachu.
Hivyo Mungu alizikatisha siku zao; miaka yao ilijawa na hofu.
34 Gdy ich tracił, jeźliże go szukali, i nawracali się, a szukali z rana Boga,
Wakati wowote Mungu alipowataabisha, nao waligeuka na kumtafuta yeye kwa bidii.
35 Przypominając sobie, iż Bóg był skałą ich, a Bóg najwyższy odkupicielem ich:
Walikumbuka kuwa Mungu alikuwa mwamba wao na kuwa Mungu Aliye Juu Sana alikuwa mwokozi wao.
36 (Aczkolwiek pochlebiali mu usty swemi, i językiem swoim kłamali mu;
Lakini walimsifia tu kwa vinywa vyao na kumdanganya kwa maneno yao.
37 A serce ich nie było szczere przed nim, ani wiernymi byli w przymierzu jego.)
Maana mioyo yao haikuwa thabiti kwake, na hawakuwa waaminifu kwa agano lake.
38 On jednak będąc miłosierny odpuszczał nieprawości ich, a nie zatracał ich, ale częstokroć odwracał gniew swój, a nie pobudzał wszystkiego gniewu swego;
Lakini yeye, kwa kuwa alikuwa alikuwa na huruma, aliwasamehe uovu wao na hakuwaangamiza. Ndiyo, wakati mwingi aliizuia hasira yake na hakuionesha ghadhabu yake yote.
39 Bo pamiętał, że są ciałem, wiatrem, który odchodzi, a nie wraca się zaś.
Alikumbuka kuwa waliumbwa kwa mwili, upepo ambao hupita nao haurudi.
40 Jako go często draźnili na puszczy, i do boleści przywodzili na pustyniach?
Mara ngapi wameasi dhidi yake jangwani na kumuhuzunisha nyikani!
41 Bo coraz kusili Boga, a Świętemu Izraelskiemu granice zamierzali.
Tena na tena walimjaribu Mungu na wakamtilia mashaka Mtakatifu wa Israeli.
42 Nie pamiętali na rękę jego, i na on dzień, w który ich wybawił z utrapienia;
Hawakufikiria kuhusu uweza wake, jinsi alivyo waokoa dhidi ya adui
43 Gdy czynił w Egipcie znaki swoje, a cuda swe na polu Soan;
alipofanya ishara za kutisha katika Misri na maajabu yake katika konde la Soani.
44 Gdy obrócił w krew rzeki ich, i strumienie ich, tak, że z nich pić nie mogli.
Aligeuza mito ya Wamisri kuwa damu ili wasipate kunywa kutoka katika vijito vyao.
45 Przepuścił na nich rozmaite muchy, aby ich kąsały, i żaby, aby ich gubiły:
Alituma makundi ya inzi yaliyowavamia na vyura ambao walisambaa katika nchi yao.
46 I dał chrząszczom urodzaje ich, a prace ich szarańczy.
Aliwapa mazao yao panzi na kazi yao nzige.
47 Potłukł gradem szczepy ich, a drzewa leśnych fig ich gradem lodowym.
Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na miti ya mikuyu kwa mvua ya mawe zaidi.
48 I podał gradowi bydło ich, a majętność ich węglu ognistemu.
Aliinyeshea mifugo yao mvua ya mawe na alirusha radi ya umeme ikapiga mifugo yao. Ukali wa hasira yake ulielekea dhidi yao.
49 Posłał na nich gniew zapalczywości swojej, popędliwość, i rozgniewanie, i uciśnienie, przypuściwszy na nich aniołów złych.
Alituma gadhabu, uchungu na taabu kama wakala aletaye maafa.
50 Wyprostował ścieżkę gniewowi swemu, nie zachował od śmierci duszy ich, i na bydło ich powietrze dopuścił;
Aliifanyia njia hasira yake; hakuwakinga dhidi ya kifo bali aliwakabidhi kwa pigo.
51 I pobił wszystko pierworodztwo w Egipcie, pierwiastki mocy ich w przybytkach Chamowych;
Aliwaua wazaliwa wote wa kwanza katika Misri, wazaliwa wa kwanza wa nguvu zao katika mahema ya Hamu.
52 Ale jako owce wyprowadził lud swój, a wodził ich jako stada po puszczy.
Aliwaongoza nje watu wake mwenyewe kama kondoo na aliwaelekeza kupitia jangwani kama kundi.
53 Wodził ich w bezpieczeństwie, tak, że się nie lękali, (a nieprzyjaciół ich okryło morze, )
Aliwaongoza salama na pasipo na woga, lakini bahari iliwaelemea adui zao.
54 Aż ich przywiódł do świętej granicy swojej, na onę górę, której nabyła prawica jego.
Kisha aliwaleta mpaka wa nchi yake takatifu, kwenye mlima huu ambao aliutwaa kwa mkono wake wa kuume.
55 I wyrzucił przed twarzą ich narody, i sprawił, że im przyszły na sznur dziedzictwa ich, ażeby mieszkały w przybytkach ich pokolenia Izraelskie.
Aliwafukuza mataifa mbele yao na akawapa urithi wao. Aliwakalisha makabila ya Israeli katika mahema yao.
56 A wszakże przecież kusili i draźnili Boga najwyższego, a świadectwa jego nie strzegli.
Lakini bado walimjaribu na walimkaidi Mungu Aliye Juu na hawakushika amri zake takatifu.
57 Ale się odwrócili, i przewrotnie się obchodzili, jako i ojcowie ich; wywrócili się jako łuk omylny.
Hawakuwa waaminifu na walienenda katika hila kama baba zao; walikuwa sio wa kutegemewa kama upinde mbovu.
58 Bo go wzruszyli do gniewu wyżynami swemi, a rytemi bałwanami swemi pobudzili go do zapalczywości.
Kwa maana walimkasirisha kwa mahali pao pa juu na walimgadhabisha hata akawa na hasira ya wivu kwa miungu yao.
59 Co słysząc Bóg rozgniewał się, i zbrzydził sobie bardzo Izraela,
Mungu aliposikia hili, alikasirika na alimkataa kabisa Israeli.
60 Tak, że opuściwszy przybytek w Sylo, namiot, który postawił między ludźmi,
Alipaacha patakatifu pa Shilo, na hema alikoishi kati ya watu.
61 Podał w niewolę moc swoję, i sławę swoję w ręce nieprzyjacielskie.
Aliruhusu nguvu zake kutekwa na kuutoa utukufu wake mkononi mwa adui.
62 Dał pod miecz lud swój, a na dziedzictwo swoje rozgniewał się.
Aliukabidhi upanga watu wake, na aliukasirikia urithi wake.
63 Młodzieńców jego ogień pożarł, a panienki jego nie były uczczone.
Moto uliwavamia vijana wao wa kiume, na vijana wao wa kike hawakuwa na nyimbo za harusi.
64 Kapłani jego od miecza polegli, a wdowy jego nie płakały.
Makuhani wao waliangushwa kwa upanga, na wajane wao hawakulia.
65 Lecz potem ocucił się Pan jako ze snu, jako mocarz wykrzykający od wina.
Kisha Bwana aliamshwa kama aliyetoka usingizini, kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo.
66 I zaraził nieprzyjaciół swoich na pośladkach, a na wieczną hańbę podał ich.
Aliwarudisha adui zake nyuma; aliwaweka kwenye aibu ya milele.
67 Ale choć wzgardził namiotem Józefowym, a pokolenia Efraimowego nie obrał,
Aliikataa hema ya Yusufu, na hakulichagua kabila la Efraimu.
68 Wszakże obrał pokolenie Judowe, i górę Syon, którą umiłował.
Alilichagua kabila la Yuda na Mlima Sayuni aliyoupenda.
69 I wystawił sobie jako pałac wysoki świątnicę swoję, jako ziemię, którą ugruntował na wieki.
Alipajenga patakatifu pake kama mbinguni, na kama nchi aliyoiimarisha milele.
70 I obrał Dawida sługę swego, wziąwszy go z obór owczych;
Alimchagua Daudi, mtumishi wake, alimchukua kutoka zizi la kondoo.
71 Gdy chodził za owcami kotnemi, przyprowadził go, aby pasł Jakóba, lud jego, i Izraela, dziedzictwo jego;
Alimtoa kutoka katika kufuata kondoo pamoja na wana wao, na kumweka kuwa mchungaji wa Yakobo, watu wake, na Israeli, urithi wake.
72 Który ich pasł w szczerości serca swego, a w roztropności rąk swoich prowadził ich.
Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo wake, naye aliwaongoza kwa ujuzi wa mikono yake.

< Psalmów 78 >