< Psalmów 36 >
1 Przedniejszemu śpiewakowi pieśń Dawida, sługi Pańskiego. Przewrotność niepobożnego świadczy w sercu mojem: Niemasz bojaźni Bożej przed oczyma jego.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana. Kuna neno moyoni mwangu kuhusu hali ya dhambi ya mwovu. Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
2 Bo sobie pobłaża w oczach swoich, aby wykonał nieprawość swoję aż do obmierzenia.
Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
3 Słowa ust jego są nieprawość i zdrada; nie chciał rozumieć, aby dobrze czynił.
Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4 Nieprawość rozmyśla na łożu swojem, stoi na drodze nie dobrej, a złego się nie waruje.
Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya, hujitia katika njia ya dhambi na hakatai lililo baya.
5 Panie! miłosierdzie twoje niebios sięga, prawda twoja aż pod obłoki,
Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
6 Sprawiedliwość twoja, jako góry najwyższe; sądy twoje, jako przepaść wielka; ludzie i zwierzęta zachowuje, Panie!
Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
7 Jakoż drogie jest miłosierdzie twoje, Boże! przetoż synowie ludzcy w cieniu skrzydeł twoich ufają.
Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
8 Będą upojeni hojnością domu twego, a strumieniem rozkoszy twoich napoisz ich.
Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
9 Albowiem u ciebie jest źródło żywota, a w światłości twojej oglądamy światłość.
Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.
10 Rozciągnij miłosierdzie twoje nad tymi, którzy cię znają, a sprawiedliwość twoję nad uprzejmymi sercem.
Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
11 Niech nie następuje na mię noga pysznych, a ręka niepobożnych niech mię nie uwodzi.
Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
12 Tam, gdzie upadli, którzy czynili nieprawość, porażeni są, i nie mogli powstać.
Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!