< Psalmów 146 >

1 Halleluja.
Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
2 Chwal, duszo moja! Pana. Chwalić będę Pana, pókim żyw; będę śpiewał Bogu memu, póki mię staje.
Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
3 Nie ufajcie w książętach, ani w żadnym synu ludzkim, w którym nie masz wybawienia.
Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
4 Wynijdzie duch jego, i nawróci się do ziemi swojej; w onże dzień zginą wszystkie myśli jego.
Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
5 Błogosławiony, którego Bóg Jakóbowy jest pomocnikiem, którego nadzieja jest w Panu, Bogu jego;
Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
6 Który uczynił niebo, i ziemię, morze, i wszystko, co w nich jest, który przestrzega prawdy aż na wieki;
Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
7 Który czyni sprawiedliwość ukrzywdzonym, i daje chleb zgłodniałym; Pan rozwiązuje więźniów.
Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
8 Pan otwiera oczy ślepych; Pan podnosi upadłych; Pan miłuje sprawiedliwych.
Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
9 Pan strzeże przychodniów, sierotce i wdowie pomaga; ale drogę niepobożnych podwraca.
Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
10 Pan będzie królował na wieki; Bóg twój, o Syonie! od narodu do narodu. Halleluja.
Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.

< Psalmów 146 >