< Psalmów 107 >

1 Wysławiajcie Pana: albowiem dobry; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
Mshukuruni Yahwe, maana ni mwema, na uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Niech o tem powiedzą ci, których odkupił Pan, jako ich wykupił z ręki nieprzyjacielskiej,
Waseme hivi waliokombolewa na Yahwe, wale aliowaokoa toka mkononi mwa adui.
3 A zgromadził ich z ziem, od wschodu i od zachodu, od północy i od morza.
Yeye amewakusanya kutoka nchi za kigeni, kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini.
4 Błądzili po puszczy, po pustyni bezdrożnej, miasta dla mieszkania nie znajdując.
Walitanga-tanga janwani katika njia ya nyika hawakuona mji wa kuishi.
5 Byli głodnymi i pragnącymi, aż w nich omdlewała dusza ich.
Kwa sababu walikuwa na njaa na kiu, walikata tamaa kutokana na uchovu.
6 A gdy wołali do Pana w utrapieniu swojem, z ucisku ich wyrywał ich;
Kisha walimuita Yahwe katika shida yao, naye aliwaokoa toka katika dhiki yao.
7 I prowadził ich drogą prostą, aby przyszli do miasta, w któremby mieszkali.
Aliwaongoza kupitia njia ya moja kwa moja waweze kwenda mjini kuishi humo.
8 Niechajże wysławiają przed Panem miłosierdzie jego, a dziwne sprawy jego przed synami ludzkimi:
Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliowatendea wanadamu!
9 Iż napoił duszę pragnącą, a duszę zgłodniałą napełnił dobrami.
Maana hutosheleza shauku za walio na kiu, na hamu ya wale wenye njaa yeye huwashibisha kwa mambo mema.
10 Którzy siedzą w ciemności i w cieniu śmierci, ściśnieni będąc nędzą i żelazem,
Baadhi walikaa katika giza na uvuli wa mauti, walifungwa katika mateso na minyororo.
11 Przeto, że byli odpornymi wyrokom Bożym, a radą Najwyższego pogardzili;
Hii ni kwa sababu walikuwa wameliasi neno la Mungu na walikataa maelekezo ya Aliye Juu.
12 Dla czego poniżył biedą serce ich; upadli, a nie był, ktoby ratował.
Aliinyenyekesha mioyo yao kupitia magumu; walipata mashaka na hakukuwa na mmoja wa kuwasaidia.
13 A gdy wołali do Pana w utrapieniu swojem, z ucisków ich wybawiał ich.
Kisha wakamwita Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
14 Wywodził ich z ciemności, i z cienia śmierci, a związki ich potargał.
Aliwatoa gizani na kwenye uvuli wa mauti na kuvunja vifungo vyao.
15 Niechajże wysławiają przed Panem miłosierdzie jego, a dziwne sprawy jego przed synami ludzkimi.
Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyoyatenda kwa wanadamu!
16 Przeto, że kruszy bramy miedziane, a zawory żelazne rąbie.
Kwa maana amevunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
17 Szaleni dla drogi przewrotności swojej, i dla nieprawości swej utrapieni bywają.
Walikuwa wapumbavu katika njia zao za uasi na kuteswa kwa sababu ya dhambi zao.
18 Wszelki pokarm brzydzi sobie dusza ich, aż się przybliżają do bram śmierci.
Walipoteza hamu yao ya kula chakula chochote, na waliyakaribia malango ya kifo.
19 Gdy wołają do Pana w utrapieniu swojem, z ucisków ich wybawia ich.
Kisha walimlilia Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
20 Posyła słowo swe, i uzdrawia ich, a wybawia ich z grobu.
Alituma neno lake na likawaponya, na akawaokoa kutoka katika uharibifu wao.
21 Niechajże wysławiają przed Panem miłosierdzie jego, a dziwne sprawy jego przed synami ludzkimi;
Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyoyatenda kwa wanadamu!
22 I ofiarując ofiary chwały, niech opowiadają sprawy jego z wesołem śpiewaniem.
Na watoe dhabihu ya shukrani na kutangaza matendo yake kwa kuimba.
23 Którzy się pławią na morzu w okrętach, pracujący na wodach wielkich:
Baadhi husafiri baharini katika meli na kufanya biashara juu ya bahari.
24 Ci widują sprawy Pańskie, i dziwy jego na głębi.
Hawa huona matendo ya Yahwe na maajabu yake baharini.
25 Jako jedno rzecze, wnet powstanie wiatr gwałtowny, a podnoszą się nawałności morskie.
Kwa maana aliamuru na alivumisha upepo wa dhoruba ambao uliyainua juu mawimbi ya baharini.
26 Wstępują aż ku niebu, i zaś zstępują do przepaści, tak, iż się dusza ich w niebezpieczeństwie rozpływa.
Walipanda juu mawinguni na kushuka vilindini. Nafsi zao ziliyeyuka katika dhiki.
27 Bywają miotani, a potaczają się jako pijany, a wszystka umiejętność ich niszczeje.
Waliyumba-yumba na kupepesuka kama walevi na hawakujua la kufanya.
28 Gdy wołają do Pana w utrapieniu swojem, z ucisków ich wybawia ich.
Kisha walimlilia Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
29 Obraca burzę w ciszę, tak, że umilkną nawałności ich.
Aliituliza dhoruba, na mawimbi yakatulia.
30 I weselą się, że ucichło; a tak przywodzi ich do portu pożądanego.
Ndipo walifurahia kwa sababu bahari ilikuwa shwali, na aliwaleta kwenye bandari waliyoitamani.
31 Niechajże wysławiają przed Panem miłosierdzie jego, a dziwne sprawy jego przed synami ludzkimi.
Oh, ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyowatendea wanadamu!
32 Niech go wywyższają w zgromadzeniu ludu, a w radzie starców niechaj go chwalą.
Wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu na wamsifu yeye katika baraza la viongozi.
33 Obraca rzeki w pustynię, a potoki wód w suszę;
Aligeuza mito ikwa jangwa, chemchem ya maji ikawa nchi kame,
34 Ziemię urodzajną obraca w niepłodną dla złości tych, którzy w niej mieszkają.
na nchi ya matunda mengi ikawa nchi isiyozaa kwa sababu ya uovu wa watu wake.
35 Pustynie obraca w jeziora, a ziemię suchą w strumienie wód.
Aligeuza jangwa likawa ziwa la maji na nchi kame ikawa chemchem ya maji.
36 I osadza w nich głodnych, aby zakładali miasta ku mieszkaniu;
Aliwakalisha huko wenye njaa, nao walijenga mji na kuishi humo.
37 Którzy posiewają pole, a sadzą winnice, i zgromadzają sobie pożytek z urodzaju.
Walijenga mji ili kupanda mimea shambani, kupanda mizabibu, na kuleta humo mazao tele.
38 Takci im on błogosławi, że się bardzo rozmnażają, a dobytku ich nie umniejsza.
Yeye huwabariki wameongezeka sana katika hesabu. Haachi mifugo yao ipungue katika hesabu.
39 Ale podczas umniejszeni i poniżeni bywają okrucieństwem, nędzą, i utrapieniem;
Kisha wakapungua na kudhilika kwa dhiki na mateso.
40 Gdy wylewa wzgardę na książąt, dopuszczając, aby błądzili po puszczy bezdrożnej.
Akawamwagia viongozi dharau na akawafanya wazunguke katika jangwa, mahali pasipo na njia.
41 Onci nędznego z utrapienia podnosi, i rozmnaża rodzinę jego jako trzodę.
Lakini aliwalinda wahitaji dhidi ya mateso na kujali kwa ajili ya familia yake kama kundi la kondoo.
42 To widząc uprzejmi rozweselą się, a wszelka nieprawość zatka usta swe.
Wenye haki wataona hili na kufurahi, na uovu wote utaona na kufunga kinya chake.
43 Ale któż jest tak mądry, aby to upatrywał, i wyrozumiewał wszystkie litości Pańskie?
Yeyote mwenye hekima anapaswa kuyaangalia haya na kutafakari juu ya matendo ya uaminifu wa agano la Yahwe.

< Psalmów 107 >