< Przysłów 25 >
1 Teć są przypowieści Salomonowe, które zebrali mężowie Ezechyjasza, króla Judzkiego.
Hizi ni mithali zaidi za Solomoni, zilizonakiliwa na watu wa Hezekia mfalme wa Yuda:
2 Sława to Boża, taić sprawę; ale sława królów, wywiadywać się rzeczy.
Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo.
3 Wysokość niebios, i głębokość ziemi, i serce królów nie są doścignione.
Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini, ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme haichunguziki.
4 Odejm zużelicę od srebra, a wynijdzie odlewającemu naczynie kosztowne.
Ondoa takataka kwenye madini ya fedha, nako ndani yake kutatokea chombo cha mfua fedha.
5 Odejm niezbożnika od oblicza królewskiego, a umocni się w sprawiedliwości stolica jego.
Ondoa waovu mbele ya mfalme, nacho kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa njia ya haki.
6 Nie udawaj się za zacnego przed królem, a na miejscu wielmożnych nie stawaj;
Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme, wala usidai nafasi miongoni mwa watu wakuu;
7 Bo lepiej jest, iż ci rzeką: Postąp sam: a niżeliby cię zniżyć miano przed księciem; co widują oczy twoje.
ni afadhali yeye akuambie, “Njoo huku juu,” kuliko yeye kukuaibisha mbele ya mkuu. Kile ulichokiona kwa macho yako
8 Nie pokwapiaj się do swaru, byś snać na ostatek nie wiedział, co masz czynić, gdyby cię zawstydził bliźni twój.
usiharakishe kukipeleka mahakamani, maana utafanya nini mwishoni kama jirani yako atakuaibisha?
9 Prowadź do końca sprawę swoję z przyjacielem twoim, a tajemnicy drugiego nie objawiaj;
Kama ukifanya shauri na jirani yako, usisaliti siri ya mtu mwingine,
10 By cię snać nie zelżył ten, co cię słucha, a niesława twoja zostałaby na tobie.
ama yeye aisikiaye aweza kukuaibisha na kamwe sifa yako mbaya haitaondoka.
11 Jakie jest jabłko złote z wyrzezaniem srebrnem, takieć jest słowo do rzeczy powiedziane.
Neno lisemwalo kwa wakati ufaao ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.
12 Ten, który mądrze napomina, jest u tego, co słucha, jako nausznica złota, i klejnot z szczerego złota.
Kama vile kipuli cha dhahabu au pambo la dhahabu safi, ndivyo lilivyo karipio la mtu mwenye hekima kwa sikio lisikilizalo.
13 Jako zimno śnieżne czasu żniwa: tak poseł wierny tym, którzy go posyłają; bo dusze panów swych ochładza.
Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao, huburudisha roho za bwana zake.
14 Człowiek, który się chlubi darem zmyślonym, jest jako wiatr i obłoki bez deszczu.
Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.
15 Książę cierpliwością bywa zmiękczony, a język łagodny kości łamie.
Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa, nao ulimi laini waweza kuvunja mfupa.
16 Znajdzieszli miód, jedzże, ileć potrzeba, by snać objadłszy się go nie zwrócił.
Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha, ukila zaidi, utatapika.
17 Powściągnij nogę twoję od domu bliźniego twego, by snać będąc ciebie syt, nie miał cię w nienawiści.
Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako mara chache, ukizidisha, atakukinai na atakuchukia.
18 Każdy, kto mówi fałszywe świadectwo przeciw bliźniemu swemu, jest jako młot, i miecz, i strzała ostra.
Kama vile rungu au upanga au mshale mkali ndivyo alivyo mtu atoaye ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake.
19 Ufność w człowieku przewrotnym jest w dzień ucisku jako ząb wyłamany i noga wywiniona.
Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa, ndivyo ilivyo kumtegemea mtu asiye mwaminifu wakati wa shida.
20 Jako ten, który zewłoczy odzienie czasu zimy, albo leje ocet na saletrę, taki jest ten, który śpiewa pieśni sercu smutnemu.
Kama vile avuaye mavazi siku ya baridi, au kama siki iliyomwagwa juu ya magadi, ndivyo alivyo yeye amuimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito.
21 Jeźliżeby łaknął ten, co cię nienawidzi, nakarm go chlebem; a jeźliby pragnął, daj mu się napić wody;
Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale; kama ana kiu, mpe maji anywe.
22 Bo węgle rozpalone zgromadzisz na głowę jego, a Pan ci nagrodzi.
Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake, naye Bwana atakupa thawabu.
23 Jako wiatr północny deszcz przynosi: tak przynosi twarz gniewliwą język uszczypliwy.
Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua, ndivyo ulimi usingiziao uletavyo uso wa hasira.
24 Lepiej mieszkać w kącie pod dachem, niżeli z żoną swarliwą w domu przestronnym.
Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba, kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
25 Jako woda chłodna duszy pragnącej: tak wieść dobra z ziemi dalekiej.
Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochoka ndivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
26 Jako źródło nogami pomącone, albo zdrój zepsuty: tak sprawiedliwy, który upada przed niezbożnym.
Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope au kisima kilichotiwa taka ndivyo alivyo mtu mwenye haki akishiriki na waovu.
27 Jako jeść wiele miodu nie jest rzecz dobra: tak szukanie własnej sławy jest niesławne.
Si vyema kula asali nyingi sana, wala si heshima kujitafutia heshima yako mwenyewe.
28 Mąż, który nie ma mocy nad duchem swoim, jest jako miasto rozwalone bez muru.
Kama vile mji ambao kuta zake zimebomoka ndivyo alivyo mtu ambaye hawezi kujitawala mwenyewe.