< Przysłów 13 >
1 Syn mądry przyjmuje ćwiczenie ojcowskie, ale naśmiewca nie słucha strofowania.
Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya baba yake, bali mwenye dhihaka hatasikiliza karipio.
2 Każdy będzie pożywał dobrego z owocu ust swoich; ale dusza przewrotnych krzywdy pożywać będzie.
Mtu hufurahia vitu vizuri kutokana na matunda ya kinywa chake, bali hamu ya wadanganyifu ni jeuri.
3 Kto strzeże ust swych, strzeże duszy swojej; kto lekkomyślnie otwiera wargi swe, będzie starty.
Yeye anayelinda kinywa chake huyalinda maisha, bali anayefumbua sana midomo yake atajiangamiza mwenyewe.
4 Dusza leniwego żąda, a nic nie ma; ale dusza pracowitych zbogaci się.
Hamu ya watu wavivu ni uchu lakini hawapati kitu, bali hamu ya watu wenye bidii hutoshelezwa sana.
5 Słowa kłamliwego nienawidzi sprawiedliwy; ale niezbożny staje się obrzydliwym i shańbionym.
Atendaye haki huchukia uongo, bali mtu mwovu hukinzana mwenyewe, na kufanya ya kuaibisha.
6 Sprawiedliwość strzeże tego, który żyje bez zmazy; ale niezbożność podwraca grzesznika.
Wenye haki huwalinda wale ambao ni wakamilifu katika mapito yao, bali uovu huwaangusha wale watendao dhambi.
7 Znajduje się taki co się czyni bogatym, a nie ma nic; i taki, co się czyni ubogim, choć ma wiele bogactw.
Kuna mtu ambaye hujitajirisha mwenyewe, lakini hana chochote na kuna mtu ambaye hutoa kila kitu, bado ni tajiri kweli.
8 Okup żywota człowieczego jest bogactwo jego; ale ubogi nie słucha łajania.
Mtu tajiri anaweza kufidia maisha yake kwa mali zake, bali mtu masikini hatapokea kitisho cha aina hiyo.
9 Światłość sprawiedliwych jasna: ale pochodnia bezbożnych zgaśnie.
Mwanga wa mtu atendaye haki hufurahia, bali taa ya waovu itazimika.
10 Samą tylko pychą człowiek zwady wszczyna, ale przy tych, co radę przyjmują, jest mądrość.
Kiburi huzaa mafarakano, bali kwa wale wasikiao shauri jema kuna hekima.
11 Bogactwa źle nabyte umniejszą się; ale kto je zgromadza ręką swą, przyczynia ich.
Penye majivuno mengi utajiri hufifia, bali yeye apataye pesa kwa kufanya kazi kwa mkono wake pesa zake zitaongezeka.
12 Nadzieja długa wątli serce; ale żądość wypełniona jest drzewem żywota.
Tumaini linapoachwa, huvunja moyo, bali kukamilishwa kwa shauku ni mti wa uzima.
13 Kto gardzi słowem Bożem, sam sobie szkodzi; ale kto się boi przykazania jego, odniesie nagrodę.
Yule ambaye anadharau fundisho bado atakuwa chini ya utawala wake, bali yeye ambaye anaheshimu amri atapewa thawabu.
14 Nauka mądrego jest źródłem żywota ku ochronieniu się sideł śmierci.
Mafundisho ya mtu mwenye hekima ni chemchemi ya uzima, yanakuondoa kutoka kwenye mitego ya mauti.
15 Rozum dobry daje łaskę; ale droga przewrotnych jest przykra.
Busara njema huleta fadhila, bali njia ya wadanganyifu haina mwisho.
16 Każdy ostrożny umiejętnie sobie poczyna; ale głupi rozpościera głupstwo.
Watu wenye busara hutenda kwa maarifa kwa kila uamuzi, bali mpumbavu huonyesha upuuzi wake.
17 Poseł niezbożny upada we złe; ale poseł wierny jest lekarstwem.
Mjumbe mbaya huangukia kwenye shida, bali balozi mwaminifu huleta upatanisho.
18 Ubóstwo i zelżywość przyjdzie na tego, który się wyłamuje z karności; ale kto przestrzega upominania, wysławiony będzie.
Yeye ambaye hupuuza kurudiwa atapata umasikini na aibu, bali heshima itamjia yeye ambaye hujifunza kutokana na masahihisho.
19 Żądność wypełniona słodka jest duszy; ale odstąpić od złego, głupim jest obrzydliwością.
Shauku iliyotambuliwa ni tamu kwa hamu, bali wapumbavu huchukia kuacha uovu.
20 Kto chodzi z mądrymi, mądrym będzie; ale kto towarzyszy z głupimi, startym będzie.
Tembea pamoja na watu wenye hekima nawe utakuwa na hekima, bali rafiki wa wapumbavu atateseka.
21 Nieszczęście grzeszników ściga; ale sprawiedliwym Bóg dobrem nagrodzi.
Maafa huwakimbilia wenye dhambi, bali wale watendao haki hupewa thawabu kwa mema.
22 Dobry człowiek zostawia dziedzictwo synom synów swoich; ale majętność grzesznika sprawiedliwemu zachowana bywa.
Mtu mwema huacha urithi kwa wajukuu wake, bali mali ya mwenye dhambi huwekwa akiba kwa yule atendaye haki.
23 Obfita żywność na roli ubogich, a drugi ginie przez nieroztropność.
Shamba la masikini lisilolimwa linaweza huzalisha chakula kingi, bali huchukuliwa kwa udhalimu.
24 Kto zawściąga rózgi swej, ma w nienawiści syna swego; ale kto go miłuje, wczas go karze.
Yeye ambaye hamrudi mwanawe humchukia, bali yule anayempenda mwanawe humjali kwa kumwadibisha.
25 Sprawiedliwy je, i nasyca duszę swoję; ale żołądek niezbożnych niedostatek cierpi.
Yeye atendaye haki hula hadi kutosheleza hamu yake bali tumbo la mwovu linanjaa daima.