< Przysłów 12 >
1 Kto miłuje ćwiczenie, miłuje umiejętność; a kto ma w nienawiści karność, głupim jest.
Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa, bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.
2 Dobry odniesie łaskę od Pana; ale męża który złe myśli, Bóg potępi.
Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Bwana, bali Bwana humhukumu mwenye hila.
3 Nie zmocni się człowiek z niezbożności; ale korzeń sprawiedliwych nie będzie poruszony.
Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.
4 Żona stateczna koroną jest męża swego; ale która go do hańby przywodzi, jest jako zgniłość w kościach jego.
Mke mwenye tabia nzuri ni taji ya mumewe, bali aaibishaye ni kama uozo katika mifupa ya mumewe.
5 Myśli sprawiedliwych są prawe: ale rady niepobożnych zdradliwe.
Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
6 Słowa niepobożnych czyhają na krew; ale usta sprawiedliwych wybawiają ich.
Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.
7 Niepobożni podwróceni bywają, tak, że ich niestaje; ale dom sprawiedliwych zostaje.
Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
8 Z rozumu swego mąż chwalony bywa; ale kto jest przewrotnego serca, wzgardzony będzie.
Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.
9 Lepszy jest człowiek podły, który ma sługę, niżeli chlubny, któremu nie staje chleba.
Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.
10 Sprawiedliwy ma na pieczy żywot bydlątka swego; ale serce niepobożnych okrutne jest.
Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
11 Kto sprawuje ziemię swoję, chlebem nasycony bywa; ale kto naśladuje próżnujących, głupi jest.
Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.
12 Niepobożny pragnie obrony przeciw nieszczęściu; ale korzeń sprawiedliwych daje ją.
Waovu hutamani mateka ya watu wabaya, bali shina la mwenye haki hustawi.
13 W przestępstwie warg upląta się złośnik; ale sprawiedliwy z ucisku wychodzi.
Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
14 Z owocu ust każdy będzie nasycony dobrem, a nagrodę spraw rąk jego Bóg mu odda.
Kutokana na tunda la midomo yake mtu hujazwa na mambo mema, hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.
15 Droga głupiego zda się prosta przed oczyma jego; ale kto słucha rady, mądrym jest.
Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.
16 Gniew głupiego zaraz poznany bywa; ale ostrożny pokrywa hańbę swoję.
Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara moja, bali mtu wa busara hupuuza matukano.
17 Kto mówi prawdę, opowiada sprawiedliwość; ale świadek kłamliwy mówi zdradę.
Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.
18 Znajdzie takowego, co mówi słowa jako miecz przerażające; ale język mądrych jest lekarstwem.
Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
19 Wargi prawdomówne utwierdzone będą na wieki; ale króciuchno trwa język kłamliwy.
Midomo isemayo kweli hudumu milele, bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.
20 Zdrada jest w sercu tych, którzy złe myślą; ale którzy radzą do pokoju, mają wesele.
Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao hupanga mabaya, bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.
21 Nie spotka sprawiedliwego żadne nieszczęście; ale niezbożnicy pełni będą złego.
Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi.
22 Obrzydliwością są Panu wargi kłamliwe; ale czyniący prawdę podobają mu się.
Bwana anachukia sana midomo idanganyayo, bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.
23 Człowiek ostrożny tai umiejętność; ale serce głupich wywołuje głupstwo.
Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.
24 Ręka pracowitych będzie panowała; ale zdradliwa będzie dań dawała.
Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
25 Frasunek w sercu człowieczem poniża je; ale powieść dobra uwesela je.
Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali neno la huruma humfurahisha.
26 Zacniejszy jest nad bliźniego swego sprawiedliwy; ale droga niezbożnych zawodzi ich.
Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.
27 Nie upiecze chytry obłowu swojego; ale człowiek pilny majętności kosztownych nabędzie.
Mtu mvivu haoki mawindo yake, bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani.
28 Na ścieszce sprawiedliwości żywot, a na drodze ścieszki jej niemasz śmierci.
Katika njia ya haki kuna uzima; katika mapito hayo kuna maisha ya milele.