< Filipian 1 >
1 Paweł i Tymoteusz, słudzy Jezusa Chrystusa, wszystkim świętym w Chrystusie Jezusie, którzy są w mieście Filipis, z biskupami i z dyjakonami.
Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu, Kwa wale walitengwa katika Kristo wanaoishi Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi.
2 Łaska wam i pokój niech będzie od Boga, Ojca naszego, i od Pana Jezusa Chrystusa.
Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
3 Dziękuję Bogu memu, ilekroć na was wspominam,
Namshukuru Mungu wangu kila ninapowakumbuka ninyi nyote.
4 (Zawsze w każdej modlitwie mojej za wszystkich was z radością prośbę czyniąc).
Mara zote katika kila ombi langu kwa ajili yenu ninyi nyote, huwa na furahi ninapowaombea.
5 Za społeczność waszę w Ewangielii, od pierwszego dnia aż dotąd;
Nina shukrani nyingi kwa sababu ya ushirika wenu katika injili tangu siku ya kwanza mpaka leo.
6 Pewien tego będąc, iż ten, który począł w was dobrą sprawę, dokona aż do dnia Jezusa Chrystusa.
Nina hakika kuwa yeye aliyeanzisha kazi njema ndani yenu ataendelea kuikamilisha mpaka siku ya Bwana Yesu Kristo.
7 Jakoż sprwiedliwa jest, abym ja to rozumiał o was wszystkich, dlatego iż was mam w sercu mojem i w więzieniu mojem, i w obronie, i w utwierdzeniu Ewangielii, was, mówię, wszystkich, którzy jesteście ze mną uczestnikami łaski.
Ni sawa kwangu kujisikia hivi juu yenu ninyi nyote kwa sababu nimewaweka moyoni wangu. Maana ninyi mmekuwa washirika wenza katika neema katika kifungo changu na katika utetezi na uthibitishaji wangu wa injili.
8 Albowiem świadkiem mi jest Bóg, jako was wszystkich pragnę we wnętrznościach Jezusa Chrystusa.
Mungu ni shahidi wangu, jinsi nilivyo na shauku juu ya yenu nyote katika undani wa pendo la Kristo Yesu.
9 I o to się modlę, aby miłość wasza im dalej tem więcej pomnażała się w znajomości i we wszelkim zmyśle,
Na ninaomba kwamba: upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote.
10 Abyście mogli rozeznać rzeczy różne, żebyście byli szczerymi i bez obrażenia na dzień Chrystusowy,
Ninaomba kwa ajili ya hili ili muwe na uwezo wa kupima na kuchagua mambo yaliyo bora sana. Pia ninawaombea ili muwe safi pasipokuwa na hatia yoyote katika siku ya Kristo.
11 Będąc napełnieni owocami sprawiedliwości, które przynosicie przez Jezusa Chrystusa ku sławie i chwale Bożej.
Na pia ili mjazwe na tunda la haki lipatikanalo katika Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.
12 A chcę, bracia! abyście wiedzieli, iż to, co się ze mną dzieje, na większe pomnożenie Ewangielii wyszło.
Sasa ndugu zangu, nataka mjue kuwa, mambo yaliyotokea kwangu yameifanya injili iendelee sana.
13 Tak iż związki moje dla Chrystusa rozgłoszone są po wszystkim pałacu cesarskim i u wszystkich inszych.
Ndiyo maana vifungo vyangu katika Kristo, vimejulikana kwa walinzi wa ikulu yote na kwa kila mtu pia.
14 A wiele ich z braci w Panu serca nabywszy z moich związek, śmielszymi są, bez bojaźni mówić słowo.
Na ndugu wengi katika Bwana, kwa sababu ya vifungo vyangu, wameshawishika na kuthubutu kulihubiri Neno pasipo hofu.
15 Wszakże niektórzy z zazdrości i z sporu, a niektórzy też z dobrej woli Chrystusa każą.
Baadhi kweli hata humtangaza Kristo kwa fitina na ugomvi, na pia wengine kwa nia njema.
16 A ci, którzy z sporu Chrystusa opowiadają nieszczerze, mniemają, iż przydawają ucisku związkom moim;
Wale wanaomtangaza Kristo kwa upendo wanajua kuwa nimewekwa hapa kwa ajili ya utetezi wa injili.
17 A którzy z miłości, wiedzą, żem jest wystawiony ku obronie Ewangielii,
Bali wengine wanamtangaza Kristo kwa ubinafsi na nia mbaya. Hudhani kuwa wanasababisha matatizo kwangu katika minyororo yangu.
18 Ale cóż na tem? Owszem jakimkolwiek sposobem, lub postawnie, lub w prawdzie Chrystus bywa opowiadany, i z tego się raduję, i jeszcze się radować będę;
Kwa hiyo? Sijali, aidha njia ikiwa ni kwa hila au kwa kweli, Kristo anatangazwa, na katika hili ninafurahia! Ndiyo, nitafurahia.
19 Gdyż wiem, iż mi to wynijdzie na zbawienie przez modlitwę waszę i pomoc Ducha Jezusa Chrystusa,
kwa kuwa ninajua ya kuwa hili litaleta kufunguliwa kwangu. Jambo hili litatokea kwa sababu ya maombi yenu na kwa msaada wa Roho wa Yesu Kristo.
20 Według troskliwego oczekiwania i nadziei mojej, iż się w niczem nie zawstydzę; ale z wszelakiem bezpieczeństwem, jako zawsze, tak i teraz, uwielbionym będzie Chrystus w ciele mojem, lub przez żywot, lub przez śmierć.
Kulingana na matarajio yangu ya uhakika na kweli ni kwamba, sitaona aibu. Badala yake, kwa ujasiri wote, kama ambavyo siku zote na sasa, natarajia kuwa Kristo atainuliwa katika mwili wangu, ikiwa katika uzima au katika kifo.
21 Albowiem mnie życiem jest Chrystus, a umrzeć zysk.
Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo na kufa ni faida.
22 A jeźliż żyć w ciele jest mi to owocem pracy mojej, jednak nie wiem, co bym obrać miał.
Lakini, kama kuishi katika mwili huzaa tunda katika kazi yangu, kwa hiyo sijui ni lipi la kuchagua.
23 Albowiem jestem ściśniony od tego obojga, pragnąc być rozwiązany, a być z Chrystusem, bo to daleko lepiej:
Maana ninasukumwa sana na mawazo haya mawili. Nina hamu ya kuuacha mwili na kuwa pamoja na Kristo, kitu ambacho ni cha thamani sana sana.
24 Ale zostać w ciele potrzebniej jest dla was.
Ingawa, kubaki katika mwili huu ni jambo la muhimu sana kwa ajili yenu.
25 A będąc tego pewien, wiem, iż zostanę i z wami wszystkimi pomieszkam ku waszemu pomnożeniu i weselu wiary,
Kwa kuwa nina uhakika juu ya hili, ninajua nitabaki na kuendelea kuwa pamoja nanyi nyote, kwa ajili ya maendeleo na furaha ya imani yenu.
26 Aby obfitowała chluba wasza w Chrystusie Jezusie ze mnie, gdy do was zasię przybędę.
Na hii italeta furaha yenu kubwa katika Kristo Yesu, kwasababu yangu itaongezeka, kwa sababu ya uwepo wangu tena pamoja nanyi.
27 Tylko się tak sprawujcie, jako przystoi Ewangielii Chrystusowej, abym, lub przyjdę i oglądam was, lub nie przyjdę, słyszał o was, iż stoicie w jednym duchu, jednomyślnie bojując w wierze Ewangielii.
Mnatakiwa kuishi maisha yenu katika mwenendo mzuri uipasayo injili ya Kristo. fanyeni hivyo ili nikija kuwaona au nisipokuja, nisikie kuwa mmesimama imara katika roho moja. natamani kusikia kuwa mna roho moja, mkiishindania imani ya injili kwa pamoja.
28 Ani w czem nie strachając się przeciwników, co onym jest pewnym znakiem zginienia, a wam zbawienia, a to od Boga;
na msitishwe na kitu chochote kinachofanywa na maadui zenu. Hii kwao ni ishara ya uharibifu. Bali kwenu ni ishara ya wokovu kutoka kwa Mungu.
29 Gdyż wam to dane dla Chrystusa, abyście nie tylko weń wierzyli, ale abyście też dla niego cierpieli,
kwa maana ninyi mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali na kuteswa pia katika Yeye.
30 Tenże bój mając, jakiście widzieli we mnie, i jaki teraz o mnie słyszycie.
kwa maana mna mgogoro uleule kama mliouona kwangu na mnasikia kwamba ninao hata sasa.