< Liczb 17 >
1 Potem rzekł Pan do Mojżesza, mówiąc:
BWANA akanena na Musa, akasema,
2 Mów do synów Izraelskich, a weźmij od nich po lasce według domów ojców ich, to jest, od wszystkich książąt ich według domów ojców ich, dwanaście lasek, a każdego imię napiszesz na lasce jego;
“Waambie wana wa Israeli wakuletee fimbo za kutembelea moja kwa kila jamaa, fimbo kumi na mbili. Uandika jina la kila mmoja kwenye hizo fimbo.
3 Ale imię Aaronowe napiszesz na lasce Lewiego; bo każda laska będzie od każdego książęcia z domu ojców ich.
Utaandika jina la Haruni kwenye jina la Lawi. Kutakuwa na fimbo moja kwa kila kiongozi kutoka kwenye kabila la mababu zake.
4 I zostawisz je w namiocie zgromadzenia przed świadectwem, gdzie się z wami schodzę.
Utaziweka hizo fimbo kwenye hema ya kukutania mbele ya amri za agano, ambapo Mimi hukutana na wewe. Itakuwa hivi,
5 I stanie się, kogo obiorę, tego laska zakwitnie; i uśmierzę przed sobą szemrania synów Izraelskich, któremi szemrzą przeciwko wam.
fimbo ya mtu yule ninayemchagua itachipua. Nitazuia watu wa Israeli walalamikao, ambao wanaongea kinyume na wewe.”
6 To gdy Mojżesz mówił do synów Izraelskich, oddali mu wszyscy książęta ich laski swoje, każdy książę laskę z domu ojca swego, dwanaście lasek; a laska Aaronowa była między laskami ich.
Kwa hiyo Musa akawaambia wana wa Israeli. Viongozi wote wa kabila wakampatia fimbo, fimbo moja kutoka kwa kila kiongozi, aliyechaguliwa kutoka kwenye kila kabila ya babu zao, jumla yake fimbo kumi na mbili. Fimbo ya Haruni ilikuwa miongoni mwa fimbo hizo.
7 I postawił mojżesz laski one przed Panem w namiocie świadectwa.
Ndipo Musa alipoziweka zile fimbo mbele ya BWANA katika hema ya amri ya agano.
8 A gdy nazajutrz przyszedł Mojżesz do namiotu świadectwa, oto się zazieleniła laska Aaronowa z domu Lewiego, i wypuściła listki i wydała kwiat, i zrodziła dojrzałe migdały.
Siku iliyofuata Musa aliingia kwenye hema ya amri ya agano, na tazama, fimbo ya Haruni kwa ajili ya Kabila la Lawi ilikuwa imetoa machipukizi. Machipukizi yalikuwa hadi kuchanua maua na kuzaa malozi mabivu!
9 I wyniósł Mojżesz one wszystkie laski od obliczności Pańskiej do wszystkich synów Izraelskich; które gdy ujrzeli, wziął każdy laskę swą.
Musa akazitoa fimbo zote kutoka kwa BWANA kwa watu wote wa Israeli, na kila mtu akachukua fimbo yake.
10 I rzekł Pan do Mojżesza: Odnieś laskę Aaronową przed świadectwo, aby była zachowana na znak synom odpornym, a zahamujesz szemranie ich przeciwko mnie, aby nie pomarli.
BWANA akamwambua Musa, “Iweke fimbo ya Haruni mbele ya amri za agano. Iweke iwe ishara ya hatia mbele ya watu waliopinga ili ukomeshe malalamiko dhidi yangu, vinginevyo watakufa.”
11 I uczynił Mojżesz; jako mu Pan rozkazał, tak uczynił.
Musa akafanya kama BWANA alivyoagiza.
12 I rzekli synowie Izraelscy do Mojżesza, mówiąc: Oto umieramy, niszczejemy, wszyscy giniemy;
Wana wa Israeli wakanena na Musa wakisema, “tutakufa hapa! Wote tutaangamia!
13 Każdy, ktokolwiek przystępuje do przybytku Pańskiego, umiera; izali do szczętu wytraceni być mamy?
Kila mmoja anayekuja hapa, anayekaribia masikani ya BWANA, atakufa. Je, ni lazima wote tuangamie?”