< Nehemiasza 11 >

1 Mieszkali tedy przedniejsi z ludu w Jeruzalemie, a inny lud miotali losy, aby wzięli dziesiątego człowieka na mieszkanie w Jeruzalemie, mieście świętem, a dziewięć części w innych miastach.
Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
2 I błogosławił lud wszystkim mężom, którzy się dobrowolnie ofiarowali, aby mieszkali w Jeruzalemie.
Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
3 A cić są przedniejsi onej krainy, którzy mieszkali w Jeruzalemie. (A w inszych miastach Judzkich mieszkał każdy w osiadłości swojej, i w miastach swych, Izraelczycy, kapłani, i Lewitowie, i Netynejczycy, i synowie sług Salomonowych.)
Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
4 A tak w Jeruzalemie mieszkali niektórzy z synów Judowych i z synów Benjaminowych. Z synów Judowych: Atajasz, syn Uzyjasza, syna Zacharyjaszowego, syna Amaryjaszowego, syna Sefatyjaszowego, syna Mahaleelowego z synów Faresowych:
Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
5 Także Maasejasz, syn Barucha, syna Cholhozowego, syna Hasajaszowego, syna Hadajaszowego, syna Jojarybowego, syna Zacharyjaszowego, syna Sylończykowego.
Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
6 Wszystkich synów Faresowych, mieszkających w Jeruzalemie, cztery sta sześćdziesiąt i ośm mężów dużych.
Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
7 A synowie Benjaminowi ci są: Sallu, syn Mesullama, syna Joedowego, syna Fadajaszowego, syna Kolajaszowego, syna Maasajaszowego, syna Ityjelowego, syna Izajaszowego;
Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
8 A po nim Gabaj, Sallaj, wszystkich dziewięć set dwadzieścia i ośm.
Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
9 I Joel, syn Zychry, był przełożonym nad nimi, a Juda, syn Senua, nad miastem wtóry.
Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
10 Z kapłanów mieszkali Jedajasz, syn Jojaryba, i Jachyn;
Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
11 Serajasz, syn Helkijasza, syna Mesullamowego, syna Sadokowego, syna Merajotowego, syna Achytobowego, przełożony w domu Bożym.
Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
12 A braci ich, którzy odprawiali roboty domowe, ośm set dwadzieścia i dwa; i Adajasz, syn Jerohama, syna Pelalijaszowego, syna Amsego, syna Zacharyjaszowego, syna Passurowego, syna Malchyjaszowego.
na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, ​​mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
13 A braci jego przedniejszych z domów ojcowskich dwieście czterdzieści i dwa; i Amasesaj, syn Asareli, syna Achzajowego, syna Mesullemitowego, syna Immerowego.
Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
14 A braci ich, mężów dużych, sta dwadzieścia i ośm, i przełożony nad nimi Zabdyjel, syn Giedolima.
na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
15 A z Lewitów Semejasz, syn Hassuby, syna Asrykamowego, syna Hasabijaszowego, syna Bunni.
Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
16 A Sabbataj i Jozabad byli nad robotą, która była z dworu przy domu Bożym, a cić byli z przedniejszych Lewitów.
na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
17 A Matanijasz, syn Michasa, syna Zabadyjaszowego, syna Asafowego, był przedniejszy w zaczynaniu chwały przy modlitwie; a Bakbukijasz wtóry z braci jego, i Abda, syn Sammuj, syna Galilowego, syna Jedytunowego.
Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
18 Wszystkich Lewitów było w mieście świętem dwieście ośmdziesiąt i czterech.
Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
19 A z odźwiernych: Akkub, Talmon, i braci ich, i stróżów w bramach, sto siedemdziesiąt i dwa.
Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
20 A drudzy z Izraela, z kapłanów, z Lewitów, mieszkali we wszystkich miastach Judzkich, każdy w dziedzictwie swojem.
Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
21 Ale Netynejczycy mieszkali w Ofelu; a Sycha i Gipsa byli nad Netynejczykami.
Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
22 A przełożony nad Lewitami w Jeruzalemie był Uzy, syn Bani, syna Chasabajaszowego, syna Matanijaszowego, syna Michasowego. Ci byli z synów Asafowych śpiewacy przy służbie domu Bożego.
Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
23 Albowiem rozkazanie królewskie było o nich, i pewne opatrzenie dla śpiewaków na każdy dzień.
Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
24 A Petachyjasz, syn Mesezabelowy, z synów Zachara, syna Judowego, był na miejscu królewskiem w każdej sprawie do ludu.
Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
25 A we wsiach i polach ich z synów Judowych mieszkali w Karyjat Arbie i we wsiach jego, i w Dybon i we wsiach jego, i w Jekabseel i we wsiach jego;
Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
26 I w Jesue, i w Molada, i w Betfelet;
Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
27 I w Hasersual, i w Beersabe i we wsiach jego;
Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
28 I w Sycelegu, i w Mechona i we wsiach jego;
Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
29 I w Enrymmon, i w Saraa, i w Jerymut;
Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
30 W Zanoe, w Adullam i we wsiach ich; w Lachys i na polach jego; w Aseku i we wsiach jego. A tak mieszkali od Beerseby aż do Giehennom.
Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
31 A synowie Benjaminowi z Gabaa mieszkali w Machmas, i w Haju, i w Betel i we wsiach jego;
Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
32 W Anatot, w Nobie, w Ananija;
Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
33 W Chasor, w Rama, w Gietaim;
Hazori, Rama, Gitaimu,
34 W Hadyd, w Seboim, w Neballat;
Hadidi, Seboimu, Nebalati,
35 W Lod, i w Ono, i w dolinie rzemieślników.
Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
36 A z Lewitów mieszkali niektórzy w działach Judzkich i w Benjamickich.
Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.

< Nehemiasza 11 >