< Kapłańska 2 >

1 Gdyby też kto ofiarować chciał dar ofiary śniednej Panu, pszenna mąka będzie ofiara jego; i poleje ją oliwą, i nakładzie na nią kadzidła.
Yeyote akitoa sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake lazima iwe unga safi, na atamwaga mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.
2 I przyniesie ją do synów Aaronowych, kapłanów, a weźmie stąd pełną garść swoję tej pszennej mąki, i tej oliwy, ze wszystkiem kadzidłem; i zapali to kapłan na pamiątkę jej na ołtarzu; ofiara ognista jest ku wdzięcznej wonności Panu;
Atachukua sadaka kwa wana wa Haruni, makuhani na pale kuhani atachukua konzi moja ya unga safi pamoja na mafuta na ubani. Kisha kuhani atateketeza hiyo sadaka juu ya madhabahu kuwa shukrani kwa uzuri wa Bwana. Italeta harufu nzuri sana kwa Bwana, itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
3 Ale co zostanie od onej ofiary śniednej, Aaronowi i synom jego będzie; najświętsza rzecz jest z ognistych ofiar Panu.
Unga wowote uliobaki utakuwa ni wa Haruni na watoto wake. Ni takatifu sana kwa Bwana iliyotolewa sadaka kwa Bwana kwa moto.
4 A jeźlibyś też ofiarował dar ofiary śniednej w piecu pieczonej, niechże będzie z pszennej mąki placek przaśny zagnieciony w oliwie, i kreple przaśne, pomazane oliwą.
Kisha utakapotoa sadaka ya unga bila chachu iliyookwa kweye kiokeo, itakuwa mkate lainiya unga safi uliochanganywa na mafuta, au mkate mgumu usiokuwa na chachu, ambao umesambazwa na mafuta.
5 Jeźliże zaś ofiarę śniedną smażoną w pańwi ofiarować będziesz, niechże będzie z mąki pszennej zagniecionej w oliwie, oprócz zakwaszenia.
Kama matoleo yako ya nafaka yameokwa na kikaango cha chuma ni lazima iwe unga safi bila chachu uliochanganywa na mafuta.
6 Połamiesz ją na kęsy, i polejesz ją oliwą; ofiara to śniedna jest.
Utagawanya katika vipande na kumwaga mafuta juu yake. Hii ni sadaka ya nafaka.
7 A jeźli ofiarę śniedną w kotle zgotowaną ofiarować będziesz, z mąki pszennej z oliwą będzie.
Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa katika kikaango, ni lazima iwe imetengenezwa kwa unga safi na mafuta.
8 I przyniesiesz ofiarę śniedną z tych rzeczy sprawioną Panu, i oddasz ją kapłanowi, a odniesie ją na ołtarz.
Utaleta matoleo ya nafaka yaliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana, italeta kwa kuhani, ambaye ataleta mbele ya madhabahu.
9 I weźmie kapłan z onej ofiary śniednej pamiątkę jej, i zapali na ołtarzu; ofiara to ognista ku wdzięcznej wonności Panu.
Ndipo kuhani atachukua baadhi ya sadaka ya nafaka ya shukrani ya Bwana, ataitekeza katika madhabahu. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, italeta harufu nzuri kwa Bwana.
10 A co pozostanie od onej ofiary śniednej, Aaronowi i synom jego będzie; najświętsza rzecz jest z ognistych ofiar Panu.
Itakayobaki sadaka ya nafaka itakuwa ya Haruni na wanawe. Itakuwa takatifu kamili ya Bwana kutoka matoleo kwa Bwana yatolewayo kwa moto.
11 Wszelka ofiara śniedna, którą ofiarować będziecie Panu, bez kwasu będzie; bo żadnego kwasu i żadnego miodu nie będziecie zapalać na ofiarę ognistą Panu.
Sadaka ya nafaka itolewayo kwa Bwana isiwe na chachu, hautatekeza chachu wala asali kama matoleo yatakayotekezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana.
12 Tylko w ofiarach pierwiastek ofiarować to będziecie Panu; ale na ołtarz nie będziecie ich kłaść ku wdzięcznej wonności.
Utayatoa kwa Bwana kama mazao ya kwanza, lakini hayatatumika kama matoleo ya harufu nzuri ya moto juu ya madhabahu.
13 Każdy dar ofiary twojej śniednej solą posolisz a nie odejmiesz soli przymierza Boga twojego od ofiary twojej śniednej; przy każdej ofierze twojej ofiarować będziesz sól.
Utaweka chumvi katika kila matoleo yako ya nafaka. Usipungukie chumvi ya agano la Bwana katika matoleo yako ya unga. Matoleo yako yote hayatapungukiwa na chumvi.
14 A jeźli ofiarować będziesz ofiarę śniedną z pierwszych urodzajów Panu, świeże kłosy uprażysz ogniem, a zboże wykruszone z kłosów świeżych ofiarować będziesz na ofiarę śniedną pierwszych urodzajów twoich;
Kama ukitoa matoleo ya nafaka ya mazao ya kwanza kwa Bwana, utatoa nafaka mbichi yaliyookwa kwa moto, na yaliyopondwa.
15 I nalejesz na nią oliwy, a nakładziesz na nią kadzidła; bo ofiara śniedna jest.
Lazima utaweka mafuta na ubani juu yake. Haya ni matoleo ya nafaka.
16 Tedy zapali kapłan pamiątkę jej ze zboża wykruszonego jej, i z oliwy jej, ze wszystkiem kadzidłem jej; bo ofiara ognista jest Panu.
Kuhani atatoa sehemu ya nafaka iliyopondwa na mafuta na ubani, kama sadaka ya shukrani itolewayo kwa uzuri wa Bwana. Hii ni sadaka ya Bwana inayotolewa kwa moto.

< Kapłańska 2 >