< Jozuego 4 >
1 A gdy się wszystek lud przeprawił za Jordan, (bo rzekł był Pan do Jozuego, mówiąc:
Wakati taifa lote lilipokwisha kuvuka Mto Yordani, Bwana akamwambia Yoshua,
2 Obierzcie sobie z ludu dwanaście mężów, po jednym mężu z każdego pokolenia.
“Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa watu, kila kabila mtu mmoja,
3 I rozkażcie im, mówiąc: Weźmijcie sobie stąd z pośrodku Jordanu, z tego miejsca, gdzie stały nogi kapłanów porządnie, dwanaście kamieni, które z sobą wyniósłszy postawicie na stanowisku, gdzie będziecie leżeć przez tę noc.
nawe uwaambie wachukue mawe kumi na mawili katikati ya Mto Yordani, palepale makuhani waliposimama, wayachukue na kuyaweka mahali mtakapokaa usiku huu wa leo.”
4 Tedy wezwał Jozue dwanaście mężów, które był wybrał z synów Izraelskich, po jednym mężu z każdego pokolenia.)
Basi Yoshua akawaita watu kumi na wawili ambao alikuwa amewachagua kutoka miongoni mwa Waisraeli, mtu mmoja kutoka kila kabila,
5 I rzekł do nich Jozue: Idźcie przed skrzynią Pana, Boga waszego, w pośrodek Jordanu, a weźmij każdy kamień jeden na ramię swoje według liczby pokolenia synów Izraelskich,
naye akawaambia, “Mtangulie mbele ya Sanduku la Bwana Mungu wenu, mwende katikati ya Mto Yordani. Kila mmoja wenu atainua jiwe begani mwake, kufuatana na hesabu ya makabila ya Waisraeli,
6 Aby to było na znak między wami, gdyby potem pytali synowie wasi mówiąc: Co wam znaczy ten kamień?
kuwa kama ishara katikati yenu. Siku zijazo, wakati watoto wenu watakapowauliza, ‘Ni nini maana ya mawe haya?’
7 Tedy im powiecie, iż się rozstąpiły wody w Jordanie przed skrzynią przymierza Pańskiego; albowiem gdy szła przez Jordan, rozstąpiły się wody Jordańskie; i będzie ten kamień na pamiątkę synom Izraelskim aż na wieki.
waambieni kwamba maji ya Mto Yordani yaliyokuwa yakitiririka yalitindika mbele ya Sanduku la Agano la Bwana. Wakati lilipovuka Yordani, maji ya Yordani yalitindika. Mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.”
8 I uczynili tak synowie Izraelscy, jako rozkazał Jozue, i wzięli dwanaście kamieni z pośród Jordanu, jako mówił Pan do Jozuego, według liczby pokolenia synów Izraelskich, a zanieśli je z sobą aż do stanowiska, i tam je złożyli.
Hivyo Waisraeli wakafanya kama Yoshua alivyowaagiza. Wakachukua mawe kumi na mawili kutoka katikati ya Mto Yordani, kulingana na hesabu ya kabila za Waisraeli kama Bwana alivyomwambia Yoshua, nao wakayabeba hadi kambini mwao, mahali walipoyatua chini.
9 Jozue też wystawił dwanaście kamieni w pośród Jordanu, na miejscu, kędy stały nogi kapłanów, niosących skrzynię przymierza, które tam zostały aż po dziś dzień.
Yoshua akayasimamisha yale mawe kumi na mawili ambayo yalikuwa katikati ya Mto Yordani, mahali pale ambapo miguu ya makuhani waliobeba Sanduku la Agano iliposimama. Nayo yako huko mpaka leo.
10 A tak kapłani niosący skrzynię stali w pośród Jordanu, aż się wypełniło to wszystko, co był rozkazał Pan Jozuemu mówić do ludu według wszystkiego, co był przykazał Mojżesz Jozuemu. Spieszył się tedy lud i przeszedł Jordan.
Makuhani waliobeba lile Sanduku walibakia wakiwa wamesimama katikati ya Mto Yordani mpaka kila kitu Bwana alichomwamuru Yoshua kilipokuwa kimefanywa na watu, sawasawa na vile Mose alivyokuwa amemwamuru Yoshua. Watu wakafanya haraka kuvuka,
11 I stało się gdy wszystek lud przeszedł, że też przeszła i skrzynia Pańska i kapłani przed oblicznością ludu.
na mara tu watu wote walipokwisha kuvuka, Sanduku la Bwana na makuhani wakavuka watu wakiwa wanatazama.
12 Przeszli też synowie Rubenowi, i synowie Gadowi, z połową pokolenia Manasesowego, zbrojno przed syny Izraelskimi, jako im był powiedział Mojżesz.
Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakavuka mbele ya Waisraeli, wakiwa wamevaa silaha, kama Mose alivyowaamuru.
13 Około czterdziestu tysięcy ludu zbrojnego przeszło przed Panem do boju na polu Jerycha.
Kiasi cha watu 40,000 waliojiandaa kwa vita walivuka mbele za Bwana hadi nchi tambarare za Yeriko kwa ajili ya vita.
14 Dnia onego wywyższył Pan Jozuego przed oczyma wszystkiego Izraela, i bali się go, jako się bali Mojżesza po wszystkie dni żywota jego.
Siku ile Bwana akamtukuza Yoshua mbele ya Israeli yote, nao wakamheshimu siku zote za maisha yake, kama vile walivyomheshimu Mose.
15 Potem rzekł Pan do Jozuego, mówiąc:
Basi Bwana akamwambia Yoshua,
16 Rozkaż kapłanom, niosącym skrzynię świadectwa, aby wystąpili z Jordanu.
“Waamuru hao makuhani wanaolibeba Sanduku la Ushuhuda, wapande kutoka ndani ya Mto Yordani.”
17 I rozkazał Jozue kapłanom, mówiąc: Wystąpcie z Jordanu.
Kwa hiyo Yoshua akawaamuru hao makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya Mto Yordani.”
18 I stało się, gdy wystąpili kapłani, niosący skrzynię przymierza Pańskiego, z pośrodku Jordanu, a stanęły stopy nóg kapłanów na suszy, wróciły się wody Jordańskie na miejsce swoje, a płynęły, jako przedtem, we wszystkich brzegach swoich.
Nao makuhani wakapanda kutoka ndani ya Mto Yordani wakilibeba hilo Sanduku la Agano la Bwana. Mara tu walipoiweka miguu yao penye kingo, nje ya mto, maji ya Yordani yakarudi kufurika kama ilivyokuwa kabla.
19 A lud, wyszedłszy z Jordanu dziesiątego dnia miesiąca pierwszego, położyli się obozem w Galgal ku stronie wschodniej Jerycha.
Siku ya kumi ya mwezi wa kwanza watu walipanda kutoka Yordani na kupiga kambi huko Gilgali, kwenye mpaka wa mashariki ya Yeriko.
20 A dwanaście onych kamieni, które wynieśli z Jordanu, postawił Jozue w Galgal.
Naye Yoshua akayasimamisha huko Gilgali yale mawe kumi na mawili ambayo walikuwa wameyachukua katikati ya Mto Yordani.
21 I rzekł do synów Izraelskich, mówiąc: Co znaczy ten kamień?
Akawaambia Waisraeli, “Wazao wenu watakapowauliza baba zao siku zijazo wakisema, ‘Mawe haya maana yake ni nini?’
22 Tedy oznajmijcie synom waszym, mówiąc: Po suszy przeszedł Izrael ten Jordan;
Basi waambieni, ‘Israeli ilivukia mahali pakavu katika Mto Yordani.’
23 Albowiem osuszył Pan Bóg wody Jordańskie przed wami, ażeście przeszli, jako uczynił Pan, Bóg wasz, morzu czerwonemu, które wysuszył przed nami, ażeśmy przeszli;
Kwa maana Bwana Mungu wenu alikausha maji ya Yordani mbele yenu, hadi mlipomaliza kuvuka. Bwana Mungu wenu alifanya haya kwa Mto Yordani sawasawa na kile alichoifanyia Bahari ya Shamu wakati alipoikausha mbele yetu hadi tulipomaliza kuvuka.
24 Aby poznali wszyscy narodowie ziemi rękę Pańską, że można jest, żebyście się bali Pana, Boga waszego, po wszystkie dni.
Alifanya hivi ili kwamba mataifa yote ya dunia yapate kujua kuwa mkono wa Bwana ni wenye nguvu, na ili kwamba kila wakati mpate kumcha Bwana Mungu wenu.”