< Jozuego 11 >
1 To gdy usłyszał Jabin, król Hasor, posłał do Johaba, króla Madon, i do króla Symron, i do króla Achsaf,
Ikawa Yabini mfalme wa Hazori aliposikia habari za mambo haya, akatuma ujumbe kwa Yobabu mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na kwa mfalme wa Akishafu,
2 I do królów, którzy byli na północy, na górach i na polach, na południe Cynerot, i w równinach, i w krainach Dor, ku zachodowi;
na pia kwa wafalme wa upande wa kaskazini wale waliokuwa milimani, katika Araba upande wa kusini mwa Kinerethi, kwenye shefela, upande wa magharibi na katika miinuko ya Nafoth-Dori upande wa magharibi;
3 Do Chananejczyka na wschód i na zachód słońca, i do Amorejczyka, i do Hetejczyka, i do Ferezejczyka, i do Jebuzejczyka po górach, i do Hewejczyka pod górą Hermon, w ziemi Maswa.
kwa Wakanaani upande wa mashariki na magharibi; kwa Waamori, Wahiti, Waperizi na Wayebusi katika nchi ya vilima; na kwa Wahivi chini ya Hermoni katika eneo ya Mispa.
4 I wyciągnęli sami, i wszystkie wojska ich z nimi, lud wielki, jako piasek, który jest na brzegu morskim, i koni i wozów bardzo wiele.
Wakaja na vikosi vyao vyote na hesabu kubwa ya farasi na magari ya kuvutwa na farasi, jeshi kubwa, kama wingi wa mchanga ulio pwani ya bahari.
5 A zgromadziwszy się wszyscy oni królowie przyszli, i położyli się pospołu obozem u wód Merom, aby zwiedli bitwę z Izraelem.
Wafalme hawa wote wakaunganisha majeshi yao na kupiga kambi pamoja kwenye Maji ya Meromu, ili kupigana dhidi ya Israeli.
6 I rzekł Pan do Jozuego: Nie bój się ich, albowiem jutro o tym czasie Ja podam te wszystkie pobite przed Izraelem; koniom ich żyły poderzniesz, a wozy ich ogniem spalisz.
Bwana akamwambia Yoshua, “Usiwaogope, kwa sababu kesho saa kama hii nitawatia wote mikononi mwa Israeli, wakiwa wameuawa. Utakata mishipa ya nyuma ya miguu ya farasi wao na kuyachoma moto magari yao ya vita.”
7 Wyciągnął tedy Jozue, i wszystek lud waleczny z nim, przeciwko nim ku wodom Merom z nagła, i uderzyli na nie.
Hivyo Yoshua pamoja na jeshi lake lote wakaja dhidi yao ghafula kwenye Maji ya Meromu kuwashambulia,
8 I podał je Pan w rękę Izraelowi, i porazili je, a gonili je aż do Sydonu wielkiego, i aż do wód gorących, i aż do pola Masfa na wschód słońca, i pobili je, tak iż jednego z nich nie zostawili żywego.
naye Bwana akawatia mikononi mwa Israeli. Wakawashinda na kuwafukuza hadi Sidoni Kuu na kuwafikisha Misrefoth-Maimu, hadi Bonde la Mispa upande wa mashariki, hadi pakawa hakuna yeyote aliyebaki.
9 I uczynił im Jozue, jako mu był rozkazał Pan; koniom ich żyły poderznął, a wozy ich popalił ogniem.
Yoshua akawatendea kama Bwana alivyoamuru. Akakata mishipa ya nyuma ya miguu ya farasi wao na kuchoma moto magari yao ya vita.
10 Potem wróciwszy się Jozue tego czasu wziął Hasor, a króla jego zabił mieczem; a Hasor było przedtem głową wszystkich tych królestw.
Wakati huo Yoshua akarudi na kuuteka mji wa Hazori na kumuua mfalme wake kwa upanga. (Hazori ulikuwa mji mkuu wa falme hizo zote.)
11 Zabili też każdą duszę, która była w niem, ostrzem miecza mordując, tak iż nie zostało nic żywego; a Hasor spalił ogniem.
Kila aliyekuwa ndani yake wakamuua kwa upanga. Wakawaangamiza kabisa, wala hawakusaza chochote chenye pumzi na akauchoma Hazori kwenyewe kwa moto.
12 Także uczynił wszystkim miastom królów onych, i wszystkie króle ich pojmał Jozue, i pobił je ostrzem miecza, mordując je, jako był rozkazał Mojżesz, sługa Pański.
Yoshua akaiteka hii miji yote ya kifalme pamoja na wafalme wake na kuwapiga kwa upanga. Akawaangamiza kabisa wote, jinsi Mose mtumishi wa Bwana alivyowaagiza.
13 Tylko tych wszystkich miast, które były obronne, nie palił Izrael, oprócz samego Hasora, które spalił Jozue.
Lakini Israeli hawakuichoma moto hata mojawapo ya miji iliyojengwa katika vilima vyao vidogo isipokuwa mji wa Hazori ambao Yoshua aliuchoma moto.
14 Wszystkie też łupy miast onych, i bydła, pobrali sobie synowie Izraelscy, tylko wszystkie ludzie zabijali ostrzem miecza, aż je wytracili, nie zostawując nikogo żywego.
Waisraeli wakajichukulia nyara zote na mifugo yote ya miji hii, bali waliwaua watu wote kwa upanga hadi walipowaangamiza kabisa, pasipo kumbakiza yeyote mwenye pumzi.
15 Jako był rozkazał Pan Mojżeszowi, słudze swemu, tak rozkazał Mojżesz Jozuemu; tak też uczynił Jozue, nie opuścił niczego ze wszystkiego, co był rozkazał Pan Mojżeszowi.
Kama vile Bwana alivyomwagiza Mose mtumishi wake, vivyo hivyo Mose alimwagiza Yoshua, naye Yoshua akafanya kama vivyo, hakukosa kufanya lolote katika yale yote Bwana aliyomwagiza Mose.
16 A tak wziął Jozue wszystkę onę ziemię górną, i wszystkę na południe leżącą, i wszystkę ziemię Gosen, i równiny, i pola, i górę Izrael z równiną jej;
Yoshua akaiteka nchi hii yote: nchi ya vilima, Negebu yote, eneo yote ya Gosheni, shefela ya upande wa magharibi, Araba na milima ya Israeli pamoja na shefela zao,
17 Od góry Halak, która idzie ku Seir, aż do Baalgad, w równinie Libańskiej pod górą Hermon; i wszystkie króle ich pojmał, i poraził je, i pozabijał je.
kuanzia Mlima Halaki ambao umeinuka kuelekea Seiri hadi Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni chini ya Mlima Hermoni. Akawateka wafalme wake wote, akawapiga na kuwaua.
18 Przez wiele dni prowadził Jozue z onymi wszystkimi królami wojnę.
Yoshua akapigana vita dhidi ya wafalme hawa wote kwa muda mrefu.
19 A nie było miasta, które by pokój uczyniło z syny Izraelskimi, oprócz Hewejczyków, którzy mieszkali w Gabaon; wszystkie insze wzięli przez wojnę.
Hakuna mji wowote katika eneo hili uliofanya mkataba wa amani na Israeli, isipokuwa hao Wahivi wa Gibeoni. Wengine wote walishindwa katika vita.
20 Albowiem od Pana się to stało, że zatwardził serca ich, aby szli ku bitwie przeciw Izraelowi, żeby je wyniszczył, nie mając nad nimi miłosierdzia, ale żeby je wytracił, jako był rozkazał Pan Mojżeszowi.
Kwa maana Bwana mwenyewe ndiye aliifanya mioyo yao iwe migumu, ili kupigana vita dhidi ya Israeli ili apate kuwafutilia mbali pasipo huruma, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
21 I ciągnął Jozue onegoż czasu, i wybił syny Enakowe z gór, z Hebronu, z Dabiru, z Anab, i ze wszystkich gór Judzkich, i ze wszystkich gór Izraelskich, pospołu z miasty ich wykorzenił je Jozue.
Wakati huo Yoshua akaenda kuwaangamiza Waanaki kutoka nchi ya vilima: kuanzia Hebroni, Debiri na Anabu, na kutoka nchi yote ya vilima ya Yuda na kutoka nchi yote ya vilima ya Israeli. Yoshua akawaangamiza kabisa pamoja na miji yao.
22 Nie został nikt z Enakitów, w ziemi synów Izraelskich; tylko w Gazie, w Gad, i w Azdod zostali.
Hawakubaki Waanaki wowote katika nchi ya Israeli, ila tu katika nchi ya Gaza, Gathi na Ashdodi.
23 Wziął tedy Jozue wszystkę onę ziemię, tak jako mówił Pan do Mojżesza: i podał ją Jozue w dziedzictwo Izraelowi według działów ich, i według pokolenia ich, a uspokoiła się ziemia od wojen.
Hivyo Yoshua akaiteka nchi hiyo yote kama vile Bwana alivyokuwa amemwagiza Mose, naye Yoshua akawapa Israeli kuwa urithi wao, kulingana na walivyogawanyika katika kabila zao. Ndipo nchi ikawa na amani bila vita.