< Jana 19 >
1 Tedy Piłat wziął Jezusa i ubiczował go.
Basi Pilato alimchukua Yesu na kumchapa.
2 A żołnierze uplótłszy koronę z cierni, włożyli na głowę jego i płaszczem szarłatowym przyodziali go,
Wale maaskari wakasokota miiba na kutengeneza taji. Wakaiweka juu ya kichwa cha Yesu na kumvalisha vazi la rangi ya zambarau.
3 A mówili: Bądź pozdrowiony, królu żydowski! i dawali mu policzki.
Wakamjia na kusema, “Wewe mfalme wa Wayahudi! na kisha kumpiga kwa mikono yao.
4 I zasię wyszedł Piłat na dwór, i rzekł im: Oto go wam wywiodę na dwór, abyście wiedzieli, iż w nim żadnej winy nie znajduję.
Kisha Pilato alitoka nje na kuwaambia watu, “Tazama nawaleteeni huyu mtu kwenu ili mjue kwamba mimi sikuona hatia yoyote ndani yake.”
5 Tedy Jezus wyszedł na dwór, niosąc onę cierniową koronę i on płaszcz szarłatowy; i rzekł im Piłat: Oto człowiek!
Kwa hiyo Yesu akatoka nje; alikuwa amevaa taji ya miiba na vazi la zambarau. Ndipo Pilato akawaambia, “Tazameni mtu huyu hapa!”
6 A gdy go ujrzeli przedniejsi kapłani i słudzy ich, zawołali mówiąc: Ukrzyżuj, ukrzyżuj go! Rzekł im Piłat: Weźmijcie go wy, a ukrzyżujcie, boć ja w nim żadnej winy nie znajduję.
Kwa hiyo wakati kuhani mkuu na wakuu walipomwona Yesu, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe, msulubishe.” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa mimi sioni hatia ndani yake.”
7 Odpowiedzieli mu Żydowie: Myć zakon mamy i według zakonu naszego ma umrzeć; bo się czynił Synem Bożym.
Wayahudi wakamjibu Pilato, “Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”
8 A gdy Piłat usłyszał te słowa, bardziej się uląkł.
Pilato aliposikia maneno haya alizidi kuogopa,
9 I wszedł zasię do ratusza i rzekł do Jezusa: Skądżeś ty jest? Lecz mu Jezus nie dał odpowiedzi.
akaingia Praitorio tena na kumwambia Yesu, “Wewe unatoka wapi? Hata hivyo, Yesu hakumjibu.
10 Tedy mu rzekł Piłat: Nie mówisz ze mną? Nie wiesz, iż mam moc ukrzyżować cię i mam moc wypuścić cię?
Kisha Pilato akamwambia, “Je, wewe huongei na mimi? Je, wewe hujui kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua na mamlakaya kukusulubisha?”
11 Odpowiedział Jezus: Nie miałbyś żadnej mocy nade mną, jeźliby ci nie była dana z góry; przetoż, kto mię tobie wydał, większy grzech ma.
Yesu akamjibu, “Usingekuwa na nguvu dhidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa hiyo, mtu aliyenitoa kwako ana dhambi kubwa.”
12 Odtąd Piłat starał się o to, jakoby go wypuścił; lecz Żydowie wołali mówiąc: Jeźli go wypuścisz, nie jesteś przyjacielem cesarskim; każdy bowiem, co się królem czyni, sprzeciwia się cesarzowi.
Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huru, lakini Wayahudi wakapiga kelele wakisema, “Kama utamwacha huru basi wewe si rafiki wa Kaisari: Kila ajifanyaye kuwa mfalme hunena kinyume cah kaisari.”
13 A przetoż Piłat usłyszawszy te słowa, wywiódł Jezusa na dwór i siadł na stolicy, na miejscu, które zowią Litostrotos, a po żydowsku Gabbata.
Pilato alipoyasikia maneno haya, akamleta Yesu nje kisha akakaa kwenye kiti cha hukumu mahali pale panapojulikana kama sakafu, lakini kwa Kiebrania, Gabatha.
14 A było to w dzień przygotowania przed wielkanocą, około szóstej godziny, i rzekł Piłat Żydom: Oto król wasz!
Siku ya maandalizi ya pasaka ilipofika, panapo muda wa saa ya sita. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni mfalme wenu huyu hapa!”
15 A oni zawołali: Strać, strać! Ukrzyżuj go! Rzekł im Piłat: Królaż waszego ukrzyżuję? Odpowiedzieli przedniejsi kapłani: Nie mamy króla, tylko cesarza.
Wakapiga kelele, “Mwondoshe, mwondoshe, msulubishe!” Pilato akawaambia, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Naye Kuhani mkuu akajibu, “Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari.”
16 Tedy im go wydał, żeby był ukrzyżowany. I wzięli Jezusa i wywiedli.
Ndipo Pilato alipomtoa Yesu kwao ili asulibiwe.
17 A on niosąc krzyż swój, wyszedł na ono miejsce, które zwano trupich głów, a po żydowsku zowią je Golgota;
Nao wakamchukua Yesu, naye akatoka, hali ameubeba msalaba wake mwenyewe mpaka kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa, kwa Kihebrania huitwa Golgotha.
18 Gdzie go ukrzyżowali, a z nim drugich dwóch z obu stron, a w pośrodku Jezusa.
Ndipo walipomsulibisha Yesu, pamoja naye wanaume wawili, mmoja upende huu na mwingine upande huu, na Yesu katikati yao.
19 Napisał też Piłat i napis, i postawił nad krzyżem; a było napisane: Jezus Nazareński, król żydowski.
Kisha Pilato akaandika alama na kuiwekwa juu ya msalaba. Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETH, MFALME WA WAYAHUDI.
20 A ten napis czytało wiele Żydów; bo blisko miasta było ono miejsce, gdzie był ukrzyżowany Jezus; a było napisane po żydowsku, po grecku i po łacinie.
Wengi wa Wayahudi waliisoma alama hiyo kwani mahali pale aliposulibishwa Yesu palikuwa karibu na mji. Alama hiyo iliadikwa kwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.
21 Tedy rzekli Piłatowi przedniejsi kapłani żydowscy: Nie pisz król żydowski; ale iż on powiadał: Jestem królem żydowskim.
Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
22 Odpowiedział Piłat: Com napisał, tom napisał.
Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
23 A gdy żołnierze Jezusa ukrzyżowali, wzięli szaty jego i uczynili cztery części, każdemu żołnierzowi część, i suknią; a była ta suknia nie szyta, ale od wierzchu wszystka dziana.
Baada ya askari kumsulibisha Yesu, walichukua mavazi yake na kuyagawa katika mafungu manne, kila askari fungu moja, vivyo hivyo na kanzo, Sasa ile kanzu haikuwa imeshonwa bali ilkuwa imefumwa yote tokea juu.
24 Tedy rzekli jedni do drugich: Nie krajmy jej, ale o nię rzućmy losy, czyja ma być; aby się Pismo wypełniło, które mówi: Podzielili między się szaty moje, a o odzienie moje los miotali. To tedy uczynili żołnierze.
Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Tusiipasue, bali tupigeni kura ili kuona itakuwa ya nani.” Hili lilitokea ili lile andiko litimizwe, lile lisemalo waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura.”
25 A stały podle krzyża Jezusowego matka jego i siostra matki jego, Maryja, żona Kleofaszowa, i Maryja Magdalena.
Askari walifanya mambo haya. Mama yake Yesu, dada wa mama yake, Mariamu mke wa Kleopa na Mariamu Magdalena - wanawake hawa walikuwa wamesimama karibu na msalaba wa Yesu.
26 Tedy Jezus ujrzawszy matkę i ucznia, którego miłował, tuż stojącego, rzekł matce swojej: Niewiasto, oto syn twój!
Yesu alipomwona mama yake pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wakisimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, tazama, ona mwanao huyu hapa!”
27 Potem rzekł uczniowi: Oto matka twoja! a od onej godziny wziął ją on uczeń do siebie.
Kisha akamwambia yule mwanfunzi, “Tazama, huyu hapa mama yako. “Tokea saa hiyo yule mwanafunzi akamchukua kwenda nyumbani kwake.
28 Potem widząc Jezus, iż się już wszystko wykonało, aby się wypełniło Pismo, rzekł: Pragnę.
Baada ya hilo, Hali Yesu akijua kuwa yote yamekwisha kumalizika ili kutimiza maandiko, akasema, “Naona kiu.”
29 A było tam naczynie postawione octu pełne; tedy oni napełniwszy gąbkę octem, a obłożywszy (ją) hizopem podali do ust jego.
Chombo kilichokuwa kimejaa Siki kilikuwa kimewekwa pale, kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea mdomoni mwake.
30 A gdy Jezus skosztował octu, rzekł: Wykonało się; a nachyliwszy głowę, oddał ducha.
Naye Yesu alipoionja hiyo, akasema, “Imekwisha.” Kisha akainamisha kichwa chake, akaikabidhi roho yake.
31 Tedy Żydowie, aby ciała na krzyżu na sabat nie zostały, ponieważ był dzień przygotowania, (albowiem był wielki on dzień sabatu, ) prosili Piłata, aby im golenie połamano, i zdjęto je.
Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa kubaki juu ya msalaba wakati wa Sabato (kwa kuwa Sabato ilikuwa siku ya muhimu), wayahudi walimwomba Pilato kuwa miguu yao wale wliokuwa wamesulibishwa ivunjwe, na kwamba miili yao ishushwe.
32 Przyszli tedy żołnierze, a pierwszemu wprawdzie złamali golenie i drugiemu, który z nim był ukrzyżowany.
Ndipo askari walipokuja na kuvunja miguu ya mtu wa kwanza na wa pili aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
33 Ale do Jezusa przyszedłszy, gdy ujrzeli, że już umarł, nie łamali goleni jego.
Walipomfikia Yesu, walimkuta tayari alikuwa amekwisha kufa, kwa hiyo hawakuvunja miguu yake.
34 Lecz jeden z żołnierzy włócznią otworzył bok jego, a zarazem wyszła krew i woda.
Hata hivyo, mmoja wa askari alimchoma Yesu ubavuni kwa mkuki, na mara yakatoka maji na damu.
35 A ten, co to widział, świadczył o tem i prawdziwe jest świadectwo jego; a on wie, iż prawdę powiada, abyście wy wierzyli.
Naye aliyeona hili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni wa kweli. Yeye anajua kuwa alichokisema ni cha kweli ili nanyi pia muamini.
36 Albowiem się to stało, aby się wypełniło Pismo: Kość jego nie będzie złamana.
Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, “Hakuna hata wake mmoja utakaovunjwa.”
37 I zasię drugie Pismo mówi: Ujrzą, kogo przebodli.
Tena andiko lingine husema, “Watamtazama yeye waliyemchoma”
38 A potem prosił Piłata Józef z Arymatyi, (który był uczniem Jezusowym, ale tajemnym dla bojaźni żydowskiej), aby zdjął ciało Jezusowe. I pozwolił Piłat. Szedł tedy i zdjął ciało Jezusowe.
Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Yesu, lakini kwa siri kwa kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato kwamba auchukue mwili wa Yesu. Naye Pilato akampa ruhusa. Kwa hiyo Yusufu akaja kuuondoa mwili wa Yesu.
39 Przyszedł też i Nikodem, (który był przedtem przyszedł w nocy do Jezusa), niosąc zmieszanej myrry i aloes, około sta funtów.
Naye Nicodemo ambaye hapo awali alimfuata Yesu usiku naye akaja. Yeye alileta mchanganyiko wa manemane na udi, yapata uzito wa ratili mia moja.
40 Wzięli tedy ciało Jezusowe i uwinęli je w prześcieradła z onemi rzeczami wonnemi, jako jest zwyczaj Żydom umarłe chować.
Kwa hiyo wakauchukua mwili wa Yesu wakaufanga kwenye sanda ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
41 A był na onem miejscu, gdzie był ukrzyżowany, ogród, a w ogrodzie grób nowy, w którym jeszcze nikt nie był położony.
Mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani; ndani ya ile bustani kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakuna mtu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
42 Przetoż tam dla dnia przygotowania żydowskiego, iż on grób był blisko, położyli Jezusa.
Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wakamlaza Yesu ndani yake.