< Hioba 9 >

1 I odpowiedział Ijob, a rzekł:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Prawdziwieć wiem, że tak jest; bo jakożby miał być usprawiedliwiony człowiek przed Bogiem?
“kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
3 Jeźliby się z nim chciał spierać, nie odpowie mu z tysiąca na jednę rzecz.
Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
4 Mądry jest sercem, i mocny siłą; któż użył pokoju, stawiwszy się mu upornie?
Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
5 On przenosi góry, a nie wiedzą ludzie, kto je podwraca w gniewie swym.
ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
6 On wzrusza ziemię z miejsca swego, a słupy jej trzęsą się.
ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
7 Gdy on zakaże słońcu, nie wschodzi; i gwiazdy pieczętuje.
Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
8 On sam rozpościera niebiosa, i depcze po wałach morskich.
ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
9 On sprawił wóz niebieski z gwiazd, Oryjona i Hyjady, i inne gwiazdy skryte na południe.
ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
10 On czyni rzeczy wielkie, a niewybadane i dziwne, którym niemasz liczby.
Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
11 Oto, idzieli mimo mię, nie widzę go; a przychodzili, nie baczę go.
Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
12 Oto gdy co porwie, któż go przymusi, aby przywrócił? Albo któż mu rzecze: Cóż czynisz?
Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
13 Gdyby Bóg nie odwrócił gniewu swego, upadliby przed nim pomocnicy hardzi.
Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
14 Jakoż mu ja tedy odpowiem? Jakie słowa obiorę przeciwko niemu?
Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
15 Któremu, chociażbym był sprawiedliwym, nie odpowiem; owszem się sędziemu memu upokorzę.
Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
16 Choćbym go wzywał, a onby mi się ozwał, przecię nie wierzę, aby przypuścił do uszów głos mój:
Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
17 Bo mię starł w wichrze, i rozmnożył rany moje bez przyczyny;
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
18 Nie dopuszcza mi odetchnąć, owszem mię nasyca gorzkościami.
Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
19 Jeźli się udam do mocy, oto on najmocniejszy; a jeźli do sądu, któż mię z nim sprowadzi?
Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
20 Jeźlibym się usprawiedliwiał, usta moje potępią mię; jeźlibym się doskonałym czynił, tedy mię przewrotnym być pokaże.
Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
21 Chociażbym był doskonały, przecież ja tego do siebie znać nie będę; ale dam naganę żywotowi memu.
Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
22 Jedno jest, dla czegom to mówił: że tak doskonałego, jako i niezbożnego on niszczy;
Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
23 Jeźli biczem nagle zabija, z pokuszenia niewinnych naśmiewa się;
Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
24 Ziemia podana bywa w ręce niezbożnika, oblicze sędziów jej zakrywa. A jeźliż nie on, któż tedy inny jest, co to czyni?
Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
25 Ale dni moje prędsze były niż poseł; uciekły, a nie widziały nic dobrego.
Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
26 Przeminęły jako prędkie łodzie, jako orzeł lecący do żeru.
Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
27 Jeźli rzekę: Zapomnę narzekania mego, zaniecham gniewu swego, a posilę się:
Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
28 Tedy się lękam wszystkich boleści moich, widząc, że mię z nich nie wypuścisz.
Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29 Jeźlim ja niezbożny, przeczże próżno pracuję?
Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
30 A choćbym się umywał wodami śnieżnemi, i oczyściłbym mydłem ręce moje:
Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
31 Wszakże w dole zanurzysz mię, i brzydzić się mną będą szaty moje.
Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
32 Albowiem on nie jest człowiekiem jako ja, abym mu śmiał odpowiedzieć, albo żebym z nim miał iść w prawo.
Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
33 Bo nie masz między nami rozjemcy, któryby mógł rozwieść sprawę naszę.
Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
34 Niech tylko zdejmie zemnie rózgę swoję, a strach jego niech mię nie straszy;
Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
35 Tedy będę mówił, a nie będę się go bał; bom ja nie jest taki sam u siebie.
Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.

< Hioba 9 >