< Hioba 24 >

1 Czemuż od Wszechmocnego nie są zakryte czasy? a którzy go znają, nie widzą dni jego?
“Kwa nini Mwenyezi asiweke nyakati kwa ajili ya hukumu? Kwa nini wale wamjuao wazitafute siku kama hizo bila mafanikio?
2 Niezbożni granice przenoszą, trzody zabierają i pasą.
Watu husogeza mawe ya mpaka; huchunga makundi ya wanyama waliyonyangʼanya kwa nguvu.
3 Osła sierotek zajmują, a wołu od wdowy w zastawie biorą.
Huwanyangʼanya yatima punda wao, na kumchukua rehani fahali wa mjane.
4 Spychają ubogich z drogi; spólnie się muszą nędzni kryć na ziemi.
Humsukuma mhitaji kutoka njia, na kuwafanya maskini wote wa nchi kulazimika kujificha.
5 Oto jako leśne osły w puszczach wychodzą na robotę swoję, wstawając rano na łupiestwo; pustynia jest chlebem ich, i dzieci ich.
Kama punda-mwitu jangwani, maskini huzunguka katika kazi zao za kutafuta chakula; mahali palipo jangwa huwapa chakula cha watoto wao.
6 Na polu ubogiego pożynają zboże, a niepobożni z winnic zbierają.
Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo katika mashamba ya mizabibu ya waovu.
7 Nagich nocować przymuszają bez odzienia, którzy się nie mają czem nakryć na zimnie.
Kwa kukosa nguo, usiku kucha hukaa uchi; hawana chochote cha kujifunika baridi.
8 Powodzią gór zmaczani bywają, nie mając mieszkania przytulają się do skały.
Hutota kwa mvua za mlimani, nao huikumbatia miamba kwa ajili ya kukosa pa kujisitiri.
9 Porywają sierotkę od piersi, a od ubogiego biorą zastaw.
Mtoto yatima hupokonywa matitini; mtoto wachanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni.
10 Nagiemu dopuszczają chodzić bez odzienia, a o głodzie chowają tych, którzy ich snopy noszą.
Kwa kukosa nguo, hutembea uchi; hubeba miganda ya ngano, lakini huwa na njaa.
11 A ci, którzy między murami ich wyciskają oliwę i prasy tłoczą, pragną.
Hukamua zeituni katika mawe ya kusagia; hukanyaga mashinikizo, lakini wanaona kiu.
12 Ludzie w mieście wzdychają, a dusze zabitych wołają, a Bóg temu wstrętu nie czyni.
Kilio cha huzuni cha wanaokufa kinapaa kutoka mjini, nazo nafsi za waliojeruhiwa zinalilia msaada. Lakini Mungu hamlaumu mtu yeyote kwa kutenda mabaya.
13 Cić to są, którzy się sprzeciwiają światłości, a nie znają dróg jej, ani stanęli na ścieszkach jej.
“Wako wale wanaoiasi nuru, wasiofahamu njia zake wala hawakai katika mapito yake.
14 Raniuczko wstaje mężobójca, zabija ubogiego i niedostatecznego, a w nocy jest jako złodziej.
Wakati mwanga wa mchana unapotoweka, muuaji huinuka naye huwaua maskini na mhitaji; wakati wa usiku hunyemelea kama mwizi.
15 Oko cudzołożnika pilnuje zmierzku, mówiąc: Nie ujrzy mię nikt; i zakrywa oblicze swe.
Jicho la mzinzi hungojea wakati wa giza, naye hufikiri, ‘Hakuna jicho litakaloniona,’ naye huuficha uso wake.
16 Podkopywają w ciemności domy, które sobie naznaczyli, i nienawidzą światła.
Katika giza, huvunja majumba, lakini wakati wa mchana hujifungia ndani; hawataki kufanya lolote nuruni.
17 Ale zaranek jest im jako cień śmierci; jeźli ich kto pozna, przypada na nich strach cienia śmierci.
Kwa wote hawa, giza nene ndiyo asubuhi yao; hujifanya rafiki na vitisho vya gizani.
18 Lekkimi są na wodach; przeklęty dział ich na ziemi; nie patrzą na drogę wolną.
“Lakini wao ni povu juu ya maji; sehemu yao juu ya nchi imelaaniwa, hivyo hakuna hata mmoja aendaye kwenye shamba la mizabibu.
19 Jako susza i gorącość trawią wody śnieżne, tak grób grzeszników. (Sheol h7585)
Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka, ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
20 Zapomina go żywot matki jego, a robak słodkość z niego czuje; niemasz więcej pamiątki jego, a nieprawość połamana jest jako drzewo.
Tumbo lililowazaa huwasahau, nao huwa karamu ya mabuu; watu waovu hawakumbukwi tena, lakini huvunjika kama mti.
21 Roztrąca niepłodną, która nierodziła, a wdowie nie czyni dobrze.
Huwafanya mawindo wanawake tasa na wasio na watoto, nao hawaonyeshi huruma kwa wajane.
22 Pociąga też mocarzy możnością swoją: a gdy na nich powstał, zwątpili o żywocie swoim.
Lakini Mungu huwakokota wenye nguvu kwa uwezo wake; ingawa wamestawi, hawana hakika ya maisha.
23 Daje mu Bóg, na czemby bezpiecznie spolegać mógł: wszakże oczy jego patrzą na drogi ich.
Aweza akawaacha wakapumzika wakijihisi salama, lakini macho yake yanaona njia zao.
24 Na chwilę wywyższeni są, alić ich niemasz; zniżeni i ściśnieni będą jako inni wszyscy, a jako wierzch kłosa ścięci będą.
Kwa kitambo kidogo hutukuka, hatimaye hutoweka; hushushwa na kukusanywa kama wengine wote, hukatwa kama masuke ya nafaka.
25 A jeźli nie tak jest, gdzież jest ten, coby mi zadał kłamstwo, a coby obrócił wniwecz słowa moje?
“Kama hili sivyo, ni nani awezaye kunithibitisha kuwa mwongo, na kuyafanya maneno yangu kuwa si kitu?”

< Hioba 24 >