< Jeremiasza 39 >
1 Roku dziewiątego Sedekijasza, króla Judzkiego, miesiąca dziesiątego, przyciągnął Nabuchodonozor, król Babiloński, ze wszystkiem wojskiem swojem do Jeruzalemu, i oblegli je.
Hivi ndivyo Yerusalemu ilivyotwaliwa: Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Mfalme Sedekia wa Yuda, katika mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli akiwa na jeshi lake lote alifanya vita dhidi ya Yerusalemu na akauzunguka mji.
2 A jedenastego roku Sedekijasza, miesiąca czwartego, dziewiątego dnia tegoż miesiąca, dobyto miasta.
Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia, ukuta wa mji ulibomolewa.
3 I wpadli do niego wszyscy książęta króla Babilońskiego, i usiedli w bramie średniej: Nergalscharezer, Samgarnebu, Sarsechym, Rabsarys, Nergalscharezer, Rabmag, i wszyscy inni książęta króla Babilońskiego.
Kisha maafisa wote wa mfalme wa Babeli wakaja na kuketi kwenye Lango la Kati, nao ni: Nergal-Shareza wa Samgari, Nebo-Sarsekimu afisa mkuu, Nergal-Shareza afisa mwenye cheo cha juu, na maafisa wengine wote wa mfalme wa Babeli.
4 A gdy ich ujrzał Sedekijasz, król Judzki, i że wszyscy mężowie waleczni uciekli, i wyszli w nocy z miasta drogą ogrodu królewskiego, bramą między dwoma murami, uszedł też i król drogą ku puszczy.
Mfalme Sedekia wa Yuda na askari wote walipowaona, wakakimbia na kuondoka mjini usiku kwa njia ya bustani ya mfalme, kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili, wakaelekea Araba.
5 A wojsko Chaldejczyków goniło ich, i doścignęli Sedekijasza na równinach Jerycha, i wzięli go, i przywiedli go do Nabuchodonozora, króla Babilońskiegp, do Reble, do ziemi Emat, gdzie wydał przeciwko niemu dekret.
Lakini jeshi la Wakaldayo likawafuatia na kumpata Sedekia katika sehemu tambarare za Yeriko. Wakamkamata na kumpeleka kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mahali ambapo alimtangazia hukumu.
6 Bo pomordował król Babiloński synów Sedekijaszowych w Rebli przed oczyma jego, i wszystkich najprzedniejszych z Judy pomordował król Babiloński.
Huko Ribla, mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake, na pia akawaua wakuu wote wa Yuda.
7 Ale oczy Sedekijaszowi wyłupił, a związawszy go łańcuchami miedzianemi prowadził go do Babilonu.
Kisha akayangʼoa macho ya Sedekia na kumfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.
8 Dom także królewski i dom onego ludu spalili Chaldejczycy ogniem, i mury Jeruzalemskie rozwalili.
Jeshi la Wakaldayo likachoma moto jumba la kifalme na nyumba za watu, na kuzibomoa kuta za Yerusalemu.
9 Ale ostatek ludu, który był został w mieście, i zbiegi, którzy byli pouciekali do niego, i inny lud pozostały zawiódł Nabuzardan, hetman żołnierski, do Babilonu.
Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme akawachukua na kuwapeleka uhamishoni Babeli watu waliokuwa wamebaki ndani ya mji, pamoja na wale waliokuwa wamejisalimisha kwake, na watu wengine wote.
10 Tylko najpodlejszych z ludu, którzy nic nie mieli, zastawił Nabuzardan, hetman żołnierski, w ziemi Judzkiej, którym rozdał winnice i role dnia onego.
Lakini Nebuzaradani kiongozi wa walinzi aliwabakiza baadhi ya watu maskini katika nchi ya Yuda, ambao hawakuwa na kitu. Naye wakati huo akawapa mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.
11 A o Jeremijaszu przykazał Nabuchodonozor, król Babiloński, Nabuzardanowi, hetmanowi żołnierskiemu, mówiąc:
Basi, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa ametoa maagizo kuhusu Yeremia kupitia Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme akisema:
12 Weźmij go, a pilnie go doglądaj, a nie czyń mu nic złego, ale jakoć rzekę, tak z nim postąp.
“Mchukue umtunze. Usimdhuru, lakini umfanyie chochote anachotaka.”
13 Przetoż posławszy Nabuzardan, hetman żołnierski, i Nebusasban, Rabsarys i Nergalscharezer, Rabmag, i wszyscy hetmani króla Babilońskiego;
Basi Nebuzaradani kiongozi wa walinzi, Nebushazbani afisa mkuu, Nergal-Shareza afisa wa cheo cha juu, na maafisa wengine wote wa mfalme wa Babeli
14 Posławszy, mówię, wzięli Jeremijasza z sieni straży, i poruczyli go Godolijaszowi, synowi Ahikama, syna Safanowego, aby go dowiódł do domu. A tak mieszkał w pośród ludu.
wakatuma watu kumwondoa Yeremia kutoka ua wa walinzi. Wakamkabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, ili amrudishe nyumbani kwake. Kwa hiyo akabaki miongoni mwa watu wake mwenyewe.
15 I stało się do Jeremijasza słowo Pańskie, gdy jeszcze był zamknięty w sieni straży, mówiąc:
Wakati Yeremia alipokuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi, neno la Bwana lilimjia kusema:
16 Idź, a powiedz Ebedmelechowi Murzynowi, mówiąc: Tak mówi Pan zastępów, Bóg Izraelski: Oto Ja przywiodę słowa moje na to miasto ku złemu a nie ku dobremu, i wypełnią się przed obliczem twojem dnia onego;
“Nenda ukamwambie Ebed-Meleki Mkushi, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kutimiza maneno yangu dhidi ya mji huu kwa njia ya maafa, wala si kwa kuwafanikisha. Wakati huo hayo yatatimizwa mbele ya macho yako.
17 Ale ciebie wybawię onegoż dnia, mówi Pan, i nie będziesz podany w rękę mężów, których się ty oblicza boisz.
Lakini siku hiyo nitakuokoa, asema Bwana; hutatiwa mikononi mwa wale unaowaogopa.
18 Albowiem cię pewnie wyrwę, abyś od miecza nie upadł; ale będziesz miał duszę twoję za korzyść, przeto, żeś położył nadzieję we mnie, mówi Pan.
Nitakuokoa; hutaanguka kwa upanga, lakini maisha yako yatakuwa salama, kwa sababu unanitumaini, asema Bwana.’”