< Izajasza 17 >
1 Brzemię Damaszku. Oto Damaszek przestanie być miastem, a stanie się kupą rumu.
Neno kuhusu Dameski: “Tazama, Dameski haitakuwa tena mji bali itakuwa lundo la magofu.
2 Miasta Aroer opuszczone będą; dla trzód będą, które tam odpoczywać będą, a nie będzie, ktoby je straszył.
Miji ya Aroeri itaachwa na itaachiwa mifugo ambayo italala huko, bila yeyote wa kuyaogopesha.
3 I ustanie obrona od Efraima, i królestwo od Damaszku, i od ostatka Syryjczyków, i jako sława synów Izraelskich zniszczeją, mówi Pan zastępów.
Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu, nao uweza wa ufalme kutoka Dameski; mabaki ya Aramu yatakuwa kama utukufu wa Waisraeli,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
4 I stanie się dnia onego, że umniejszona będzie sława Jakóbowa, a tłustość ciała jego schudnie.
“Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia, unono wa mwili wake utadhoofika.
5 Albowiem Azur będzie jako ten, który w żniwa zboże zbiera, a ramię jego żnie kłosy; i będzie jako ten, co zbiera kłosy w dolinie Refaim.
Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka na kuvuna nafaka kwa mikono yake, kama wakati mtu aokotapo masazo ya masuke katika Bonde la Warefai.
6 Wszakże zostaną na nim pominione grona, jako na otrzęśnionej oliwie dwie albo trzy oliwiki zostaną na wierzchu drzewa, a cztery albo pięć na rodzajnych gałęziach jego, mówi Pan, Bóg Izraelski.
Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki, kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa, kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni, nne au tano katika matawi yazaayo sana,” asema Bwana, Mungu wa Israeli.
7 Dnia onego obejrzy się człowiek na stworzyciela swego, a oczy jego na Świętego Izraelskiego poglądać będą;
Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao, na kuelekeza macho yao kwa yule Aliye Mtakatifu wa Israeli.
8 A nie obejrzy się na ołtarze, sprawę rąk swoich, ani na to, co uczyniły palce jego, patrzyć będzie, ani na gaje poświęcone, ani na obrazy słoneczne.
Hawataziangalia tena madhabahu, kazi za mikono yao, nao hawataheshimu nguzo za Ashera, na madhabahu za kufukizia uvumba zilizofanywa kwa mikono yao.
9 Dnia onego miasta mocy jego będą opuszczone, jako chrościnka i rószczka, które opuszczone będą od synów Izraelskich, i będziesz ziemią spustoszoną.
Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.
10 Boś zapomniała na Boga zbawienia swego, i na skałę mocy twojej nie wspominałaś. Przetoż choć szczepy rozkoszne szczepisz, i latorośli winne obce sadzisz;
Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu, hamkumkumbuka Mwamba aliye ngome yenu. Kwa hiyo, hata ingawa mlipandikiza mimea iliyo mizuri sana na kuotesha mizabibu ya kigeni,
11 Czasu szczepienia twego szczepy aby rosły, opatrujesz; nawet tegoż poranku, co siejesz, aby się puściło, starasz się: wszakże w dzień pożytku gromadno boleść i rozpacz żąć będziesz.
hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote na asubuhi ile ile unayoipanda, unaifanya ichipue, hata hivyo mavuno yatakuwa kama si kitu katika siku ile ya ugonjwa na maumivu yasiyoponyeka.
12 Biada zgrai ludu wielkiego, którzy huczą jako szum morski, i zgiełkowi narodów, które szumią jako szum wód gwałtownych;
Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi, wanaghadhibika kama bahari iliyochafuka! Lo! Makelele ya mataifa wanavuma kama ngurumo za maji mengi!
13 Narodom, które szumią jako szum wód wielkich; bo je Pan sfuka, i uciekną daleko, i gonione będą od wiatru jako plewy po wierzchach gór, a jako wiecheć od wichru.
Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi, wakati anapoyakemea yanakimbia mbali, yanafukuzwa mbele ya upepo kama makapi juu ya milima, kama jani livingirishwapo na dhoruba.
14 Bo czasu wieczornego nastąpi trwoga, a niż poranek przyjdzie, alić go niemasz. Tenci jest dział tych, którzy nas pustoszą, i los tych, którzy nas plundrują.
Wakati wa jioni, hofu ya ghafula! Kabla ya asubuhi, wametoweka! Hili ndilo fungu la wale wanaotupora, fungu la wale wanaotunyangʼanya mali zetu.