< Hebrajczyków 13 >
1 Miłość braterska niech zostaje.
Endeleeni kupendana kidugu.
2 Nie zapominajcie ochoty ku gościom; albowiem przez tę niektórzy nie wiedząc, Anioły za goście przyjmowali.
Msisahau kuwakaribisha wageni; maana kwa kufanya hivyo watu wengine walipata kuwakaribisha malaika bila kujua.
3 Pamiętajcie na więźniów, jakobyście spółwięźniami byli; na utrapionych, jako ci, którzy też w ciele jesteście.
Wakumbukeni wale waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao. Wakumbukeni wale wanaoteseka kana kwamba nanyi mnateseka kama wao.
4 Uczciwe jest małżeństwo między wszystkimi i łoże niepokalane; ale wszeteczników i cudzołożników Bóg będzie sądził.
Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, na haki zake zitekelezwe kwa uaminifu. Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
5 Obcowanie wasze niech będzie bez łakomstwa, przestwając na tem, co macie; boć sam powiedział: Nie zaniecham cię, ani cię opuszczę:
Msiwe watu wa kupenda fedha; toshekeni na vile vitu mlivyo navyo. Mungu mwenyewe amesema: “Sitakuacha kamwe, wala sitakutupa.”
6 Tak abyśmy śmiele mówić mogli: Pan mi jest pomocnikiem, nie będę się bał, aby mi co miał uczynić człowiek.
Ndiyo maana tunathubutu kusema: “Bwana ndiye msaada wangu, sitaogopa. Binadamu atanifanya nini?”
7 Pamiętajcie na wodzów waszych, którzy wam mówili słowo Boże, których obcowania koniec upatrując naśladujcie wiary ich.
wakumbukeni viongozi wenu waliowatangazieni ujumbe wa Mungu. Fikirieni juu ya mwenendo wao, mkaige imani yao.
8 Jezus Chrystus wczoraj i dziś, tenże i na wieki. (aiōn )
Yesu Kristo ni yuleyule, jana, leo na milele. (aiōn )
9 Za naukami rozmaitemi i obcemi nie unoście się; albowiem dobra rzecz jest, aby łaską było utwierdzone serce a nie pokarmami, które nie pomogły tym, co się nimi bawili.
Msipeperushwe huku na huku kwa mafundisho tofauti ya kigeni. Neema ya Mungu ndiyo inayoimarisha roho zetu na wala si masharti juu ya chakula; masharti hayo hayakumsaidia kamwe mtu yeyote aliyeyafuata.
10 Mamy ołtarz, z którego nie mają wolności jeść ci, którzy przybytkowi służą.
Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaotumikia bado katika hema la Wayahudi, hawana haki ya kula vitu vyake.
11 Albowiem bydląt, których krew bywa wnoszona za grzech do świątnicy przez najwyższego kapłana, tych ciała palone bywają za obozem.
Kuhani Mkuu wa Kiyahudi huleta damu ya wanyama katika Mahali Patakatifu na kuitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi; lakini nyama za hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.
12 Dlatego i Jezus, aby poświęcił lud własną krwią swoją, za bramą ucierpiał.
Ndiyo maana Yesu pia, kusudi apate kuwatakasa watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya mji.
13 Wynijdźmyż tedy do niego za obóz, nosząc urąganie jego.
Basi, tumwendee huko nje ya kambi tukajitwike laana yake.
14 Albowiem nie mamy tu miasta trwałego, ale onego przyszłego szukamy.
Maana hapa duniani hatuna mji wa kudumu; lakini tunautafuta ule unaokuja.
15 Przetoż przez niego ofiarujmy Bogu ofiarę chwały ustawicznie, to jest owoce warg wyznawających imieniowi jego.
Basi, kwa njia ya Yesu, tumtolee Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani sifa zinazotolewa na midomo inayoliungama jina lake.
16 A dobroczynności i udzielania nie przepominajcie; albowiem się Bóg w takowych ofiarach kocha.
Msisahau kutenda mema na kusaidiana, maana hizi ndizo dhabihu zinazompendeza Mungu.
17 Bądźcie posłuszni wodzom waszym i bądźcie im oddani; albowiem oni czują nad duszami waszemi, jako ci, którzy liczbę oddać mają; aby to z radością czynili, a nie z wzdychaniem; boć wam to nie jest pożyteczne.
Watiini viongozi wenu na kushika amri zao; wao huchunga roho zenu usiku na mchana, na watatoa ripoti ya utumishi wao mbele ya Mungu. Kama mkiwatii watafanya kazi zao kwa furaha, la sivyo, watazifanya kwa huzuni, na hiyo haitakuwa na faida kwenu.
18 Módlcie się za nami; albowiem ufamy, iż mamy dobre sumienie, jako ci, którzy się chcemy we wszystkiem dobrze zachować.
Tuombeeni na sisi. Tuna hakika kwamba tunayo dhamiri safi, maana twataka kufanya lililo sawa daima.
19 A tem więcej proszę was, abyście to czynili, abym wam tem rychlej był przywrócony.
Nawasihi sana mniombee ili Mungu anirudishe kwenu upesi iwezekanavyo.
20 A Bóg pokoju, który wywiódł od umarłych we krwi przymierza wiecznego, onego wielkiego pasterza owiec, Pana naszego Jezusa, (aiōnios )
Mungu amemfufua Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ni Mchungaji Mkuu wa kondoo kwa sababu ya kumwaga damu yake iliyothibitisha agano la milele. (aiōnios )
21 Niech was doskonałymi uczyni w każdym uczynku dobrym ku czynieniu woli swojej, sprawując w was to, co przyjemnego przed obliczem jego, przez Jezusa Chrystusa, któremu niech będzie chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Mungu wa amani awakamilishe katika kila tendo jema ili mtekeleze mapenzi yake; yeye na afanye ndani yetu kwa njia ya Kristo yale yanayompendeza mwenyewe. Utukufu uwe kwake, milele na milele! Amina. (aiōn )
22 A proszę was, bracia! znoście cierpliwie słowo napominania tego; bomci do was krótko pisał.
Basi, ndugu, nawasihi mpokee kwa utulivu ujumbe huu wa kuwatieni moyo. Hii ni barua fupi tu ambayo nimewaandikieni.
23 Wiedzcie o bracie Tymoteuszu, że jest wypuszczony, z którym (jeźlibym szybko przyszedł), oglądam was.
Napenda kuwajulisheni kwamba ndugu yetu Timotheo amekwisha funguliwa gerezani. Kama akifika hapa mapema, nitakuja naye nitakapokuja kwenu.
24 Pozdrówcie wszystkich wodzów waszych i wszystkich świętych. Pozdrawiają was bracia z Włoch.
Wasalimieni viongozi wenu wote pamoja na watu wa Mungu! Ndugu wa Italia wanawasalimuni.
25 Łaska niech będzie z wami wszystkimi. Amen.
Tunawatakieni nyote neema ya Mungu.