< Habakuka 3 >

1 Modlitwa Abakuka proroka według rozmaitych pieśni złożona.
Maombi ya Habakuki nabii:
2 O Panie! usłyszawszy wyrok twój ulękłem się. O Panie! zachowaj sprawę twoję w pośrodku lat, i objaw ją w pośrodku lat; w gniewie wspomnij na miłosierdzie.
Yahwe, nimesikia taarifa zako, na mimi naogopa. Yahwe, fufua kazi yako katikati wakati; katikati ya muda huu; fanya hiyo ijulikane; kumbuka kuwa na rehema katika ghadhabu yako.
3 Gdy Bóg szedł od południa, a Święty z góry Faran, (Sela) okryła niebiosa sława jego, a chwały jego ziemia pełna była.
Mungu alikuja kutoka Temani, na yule Mtakatifu kutoka Parani. (Sela) Utukufu wake umezifunika mbingu, na dunia ilikuwa imejaa utukufu wake.
4 Jasność jego była jako światłość, rogi były na bokach jego, a tam była skryta siła jego.
Miali miwili ya mikono yake ilikuwa iking'aa kama mwanga, ambapo uweza wake ulifichwa.
5 Przed obliczem jego szedł mór, a węgle pałające szły przed nogami jego.
Ugonjwa wa kuua ulitangulia mbele yake, na adha iliifuta miguu yake.
6 Stanął i rozmierzył ziemię, wejrzał i rozproszył narody, skruszone są góry wieczne, i skłoniły się pagórki dawne: drogi jego są wieczne.
Yeye alisimama na akaipima nchi; aliangalia na aliyatikisa mataifa. Hata milima ya milele iliharibiwa kabisa, na vilima vya milele vilianguka chini. Njia yake ni ya milele.
7 Widziałem namioty Chusan próżności poddane, a opony ziemi Madyjańskiej drżały.
Niliona mahema ya Wakushi katika mateso, na vitambaa vya mahema katika Midiani vinatetema.
8 Izali się na rzeki, o Panie! izali się na rzeki rozpalił gniew twój? Izali na morze rozgniewanie twoje, gdyś jechał na koniach twoich, i na wozach twoich zbawiennych?
Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya mito, au hasira yako dhidi ya bahari, unapopanda juu ya farasi wenye mikokoteni na wa ushindi wako?
9 Jawnie odkryty jest łuk twój dla przysięgi pokoleniom wyrzeczonej, (Sela)
Umeleta upinde wako bila mfuniko; unaweka mishale kwenye upinde wako! (Sela) uliigawa nchi na mito.
10 Rozdzieliłeś rzeki ziemi: widziały cię góry i zadrżały, powódź wód przeminęła; przepaść wydała głos swój, głębokość ręce swoje podniosła.
Milima ilikuona wewe na kugeuka kwa huzuni. Maji yaliyomwagwa chini yalipita juu yao; kina cha bahari kilipaza sauti. Mawimbi yake yakainuka juu.
11 Słońce i miesiąc zastanowił się w mieszkaniu swojem, przy jegoż świetle latały strzały twe, i przy blasku lśniącej się włóczni twojej.
Jua na mwezi vilisimama imara juu mahali pake katika mwanga wa mishale yako na ilipaa, pale katika uangavu wa mwanga wa mikuki yako.
12 W zagniewaniu podeptałeś ziemię, w zapalczywości młóciłeś pogan;
Umetembea juu ya nchi kwa uchungu. Katika ghadhabu umepukuchua mataifa.
13 Wyszedłeś na wybawienie ludu swego, na wybawienie z pomazańcem twoim; przebiłeś głowę z domu niezbożnika, odkrywszy grunt aż do szyi, (Sela)
Ulikwenda nje kwaajili ya wokovu wa watu wako, Kwaajili ya wokovu wa mteule wako. Wewe pondaponda kichwa cha nyumba ya mwovu kuweka wazi msingi wa shingo. (Sela)
14 Potłukłeś kijmi jego głowę wsi jego, gdy się burzyli jako wicher, aby mię rozproszyli; weselili się, jakoby pożreć mieli ubogiego w skrytości.
Umekichoma kichwa cha wapiganaji wake kwa mshale wake mwenyewe sababu walikuja kama upepo kututawanya sisi, wivu wao ulikuwa kama mtu ambaye anamteketeza masikini katika mahali pamaficho.
15 Jechałeś przez morze na koniach twoich, przez gromadę wód wielkich.
Umesafiri juu ya bahari kwa farasi wako, na kuyapita maji makuu.
16 Gdym to słyszał, zatrząsnął się brzuch mój! na ten głos drżały wargi moje, zgniłość weszła w kości moje, i wszystekem się trząsł, słysząc, że mam odpocząć w dzień utrapienia, gdy przyciągnie na ten lud nieprzyjaciel, aby go przez wojnę wygładził.
Nilisikia, na ndani yangu nilitetemeka! midomo yangu ilitetemesha sauti. Uozo unakuja katika mifupa yangu, na chini yangu mwenyewe nilitetemeka kama nasubiri kwaajili ya siku ya kuhuzunisha ifike juu ya watu waliotushambulia sisi.
17 Choćby figowe drzewo nie zakwitnęło i nie było urodzaju na winnicach, choćby i owoc oliwy pochybił, i role nie przyniosłyby pożytku, i z owczarniby owce wybite były, a nie byłoby bydła w oborach;
Ingawa mtini hauchipui na hauzai kutokana na mzababibu; na ingawa kuzaa kwa mti wa mzaituni hakuridhishi na mashamba hayatoi chakula; na ingawa kundi mifugo limetoweka na hakuna ng'ombe katika zizi, hiki ndicho nitakacho kifanya.
18 Wszakże się ja w Panu weselić będę, rozraduję się w Bogu zbawienia mego.
Bado, nitafurahia katika Yahwe. Nitakuwa nafuraha kwa sababu ya Mungu wa wokovu wangu.
19 Panujący Pan jest siłą moją, który czyni nogi moje, jako nogi łani, i po miejscach wysokich poprowadzi mię. Przedniejszemu nad śpiewakami na muzycznem naczyniu mojem.
Bwana Yahwe ni nguvu yangu na anaifanya miguu yangu kama ya kulungu. Ananifanya mimi niende mbele mahali pangu pa juu. - kufuata maelekezo ya muziki, katika vyombo vyangu vya nyuzi.

< Habakuka 3 >